< Joeli 3 >
1 Tazama, katika siku hizo na wakati huo, nitakaporudi mateka wa Yuda na Yerusalemu,
That there! in the days those and at the time that when (I will cause to turn back *Q(K)*) [the] captivity of Judah and Jerusalem.
2 Nami nitakusanya mataifa yote, na kuwaleta mpaka bonde la Yehoshafati. Nitawahukumu huko, kwa sababu ya watu wangu na warithi wangu Israeli, ambao waliwatawanya kati ya mataifa, na kwa sababu waligawanya nchi yangu.
And I will gather all the nations and I will bring down them to [the] valley of Jehoshaphat and I will enter into judgment with them there on people my and inheritance my Israel which they have scattered among the nations and land my they have divided up.
3 Wamepiga kura kwa ajili ya watu wangu, walinunua kijana kwa ajili ya kahaba, kuuza msichana kwa divai ili waweze kunywa.
And to people my they have cast a lot and they have exchanged the boy for the prostitute and the girl they have sold for wine and they have drunk.
4 Sasa, kwa nini unanikasirikia, Tiro, Sidoni na mikoa yote ya Wafilisti? Je! mutanirudishia malipo? Hata kama mutanilipa, mara moja nitawarudishia malipo yenu juu ya vichwa vyenu wenyewe.
And also what? [are] you to me O Tyre and Sidon and all [the] territories of Philistia ¿ recompense [are] you repaying to me and or? making recompense [are] you to me swift quickly I will return recompense your on head your.
5 Kwa maana mumechukua fedha zangu na dhahabu zangu, nanyi mukachukua hazina zangu za thamani na kuzileta katika hekalu zenu.
That silver my and gold my you took and desirable things my good you took to own temples your.
6 Mumewauza watu wa Yuda na Yerusalemu kwa Wayunani, ili kuwaondoa mbali na maeneo yao.
And [the] people of Judah and [the] people of Jerusalem you sold to [the] people of the Greeks so as to remove far away them from on own territory their.
7 Tazama, nitawaamsha, watoke mahali ambako muliwauza, na nitawarudishia malipo juu ya vichwa vyenu wenyewe.
Here I [am] about to rouse them from the place where you sold them there and I will return recompense your on head your.
8 Nitawauza wana wako na binti zako, kwa mkono wa watu wa Yuda. Wao watawauza Sheba, kwa taifa mbali. Kwa maana Bwana amesema.
And I will sell sons your and daughters your in [the] hand of [the] people of Judah and they will sell them to [the] Sabeans to a nation distant for Yahweh he has spoken.
9 Tangaza hii kati ya mataifa, 'Jitayarisheni wenyewe kwa ajili ya vita, waamsheni mashujaa, waacheni wakaribie, mashujaa wote wa vita wapande juu.
Proclaim this among the nations consecrate a war rouse the warriors let them draw near let them go up all [the] men of war.
10 Yafueni majembe yenu kuwa panga na visu vyenu vya kuchongea kuwa mikuki. Basi wadhaifu waseme, 'Nina nguvu.'
Beat plowshares your into swords and pruning knives your into spears the weak [man] let him say [am] a warrior I.
11 Haraka na mje, mataifa yote ya karibu, jikusanyeni pamoja huko. Ee Bwana, washushe mashujaa wako.
Hurry and come O all the nations from round about and they will gather there bring down O Yahweh warriors your.
12 Naam, mataifa yajihimize yenyewe kuja hadi bonde la Yehoshafati. Kwa maana nitakaa huko kuhukumu mataifa yote ya jirani.
Let them be roused and they may go up the nations to [the] valley of Jehoshaphat for there I will sit to judge all the nations from round about.
13 Wekeni katiki mundu, kwa maana mavuno yameiva. Njoo, muponde zabibu, kwa ajiri pipa la divai limejaa. Vipuri vilivyofurika, kwa sababu uovu wao ni mkubwa sana.
Send out [the] sickle for it has grown ripe [the] harvest come tread for it is full [the] winepress they are overflowing the wine-vats for [is] great evil their.
14 Kuna mshtuko, mshtuko katika bonde la Hukumu. Kwa maana siku ya Bwana i karibu katika bonde la hukumu.
Multitudes multitudes [are] in [the] valley of decision for [is] near [the] day of Yahweh in [the] valley of decision.
15 Jua na mwezi vinakuwa giza, nyota zimeacha kuangaza.
Sun and moon they have become dark and [the] stars they have withdrawn brightness their.
16 Bwana ataunguruma kutoka Sayuni, na kuinua sauti yake kutoka Yerusalemu. Mbingu na nchi zitatikisika, lakini Bwana atakuwa makao kwa ajili ya watu wake, na ngome kwa wana wa Israeli.
And Yahweh from Zion he will roar and from Jerusalem he will give forth voice his and they will shake heaven and earth and Yahweh [will be] a refuge for people his and a stronghold for [the] people of Israel.
17 Kwa hiyo mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wenu, anayeishi Sayuni, mlima wangu mtakatifu. Kisha Yerusalemu itakuwa takatifu, na hakuna jeshi litaklozunguka tena.
And you will know that I [am] Yahweh God your [who] dwells in Zion [the] mountain of holiness my and it will be Jerusalem a holy place and strangers not they will pass in it again.
18 Katika siku hiyo, milima itatayarisha divai nzuri, milima itatiririsha maziwa, miito yote ya Yuda itapita katikati ya maji, na chemchemi zitakuja kutoka nyumba ya Bwana na maji ya bonde la Shitimu.
And it will be on the day that they will drip the mountains sweet wine and the hills they will go milk and all [the] ravines of Judah they will go water and a spring from [the] house of Yahweh it will go forth and it will water [the] wadi of Shittim.
19 Misri itakuwa ukiwa, na Edomu itakuwa jangwa tupu, kwa sababu ya vurugu iliyofanyika kwa watu wa Yuda, kwa sababu walimwaga damu isiyo na hatia katika nchi yao.
Egypt a desolation it will become and Edom a wilderness of desolation it will become from [the] violence of [the] people of Judah whom they shed blood innocent in land their.
20 Lakini Yuda utakua mwenyeji milele, na Yerusalemu itakuwa kizazi hata kizazi.
And Judah for ever it will remain and Jerusalem to a generation and a generation.
21 Nitawalipizia damu yao, ambayo sijajilipizia kisasi, kwa maana Bwana anaishi Sayuni.
And I will leave unpunished blood their [which] not I left unpunished and Yahweh [is] dwelling in Zion.