< Joeli 2 >

1 Piga tarumbeta katika Sayuni, na piga kelele juu ya mlima wangu mtakatifu! Wakazi wote wa nchi watetemeke kwa hofu; maana siku ya Bwana inakuja; Hakika iko karibu.
Tiuplah trompet, bunyikan tanda bahaya di bukit Sion yang suci, kediaman Allah. Gemetarlah, hai penduduk Yehuda! Sebab Hari TUHAN dekat dan segera tiba.
2 Ni siku ya giza na weusi, siku ya mawingu na giza nene. Kama asubuhi inayoenea kwenye milima, jeshi kubwa na la nguvu linakaribia. Hakujawahi kuwako jeshi kama hilo, na hakutakuwa tena, hata baada ya vizazi vingi.
Hari itu gelap dan kelam, penuh kabut yang suram. Tentara belalang berdatangan seperti awan yang membentang di atas pegunungan. Peristiwa seperti itu belum pernah ada, dan tak akan terulang selama-lamanya.
3 Moto unatumia kila kitu mbele yake, na nyuma yake moto unawaka. Nchi hiyo ni kama bustani ya Edeni mbele yake, lakini nyuma yake kuna jangwa lililoharibika. Hakika hakuna chochote kitakayotoroka.
Seperti api yang membakar dan menghanguskan mereka musnahkan segala tanaman. Sebelumnya, negeri itu seperti Eden, taman TUHAN, sesudahnya, serupa padang pasir yang kersang. Tak ada sesuatu pun yang tersisa, tak ada yang luput dari serangan mereka.
4 Muonekano wa jeshi ni kama farasi, na wanakimbia kama wapanda farasi.
Rupa mereka seperti kuda; larinya seperti kuda di medan laga.
5 Wanaruka kwa kelele kama ile ya magari juu ya vilele vya milima, kama kelele za muale wa moto ambao huangamiza majani, kama jeshi la nguvu lililo tayari kwa vita.
Mereka melompat-lompat di puncak pegunungan, bunyinya seperti gemeretaknya kereta pertempuran dan seperti gemeletiknya api yang membakar merang. Mereka berbaris seperti pasukan perkasa, yang siap maju ke medan laga.
6 Mbele yao watu wako katika maumivu na nyuso zao zote zinakuwa za rangi.
Waktu mereka menyerbu, semua orang gentar, semua wajah menjadi pucat dan pudar.
7 Wanakimbia kama wapiganaji wenye nguvu; wanapanda kuta kama askari; wanasonga, kila mmoja kwa hatua, na hawavunji safu zao.
Seperti pahlawan, mereka menyerang, dan mendaki tembok seperti pejuang. Mereka berbaris lurus ke depan, tanpa membelok atau mengubah haluan.
8 Wala hakuna mmoja anayemsukuma mwingine kando; wanasonga, kila mmoja katika njia yake; wao huvunja kwa njia ya ulinzi na si kuanguka nje ya mstari.
Mereka tidak berdesak-desakan, di jalurnya sendiri mereka berjalan. Beramai-ramai mereka dobrak segala pertahanan, tak dapat barisan mereka dihentikan.
9 Wanakimbilia jiji, wanakimbia kwenye ukuta, wanapanda ndani ya nyumba, na hupita kupitia madirisha kama wezi.
Mereka menyerbu ke dalam kota, dan berlari di atas temboknya. Mereka memanjat ke dalam rumah-rumah; seperti pencuri, mereka masuk lewat jendela.
10 Nchi hutikisika mbele yao, mbingu hutetemeka, jua na mwezi ni giza, na nyota zinaacha kuangaza.
Sedang mereka maju, bumi gemetar, dan langit pun bergetar. Lalu gelaplah matahari dan bulan, dan cahaya bintang-bintang menghilang.
11 Bwana huinua sauti yake mbele ya jeshi lake; maana wapiganaji wake ni wengi sana; kwa maana wao ni wenye nguvu, wale wanaofanya amri zake. Kwa maana siku ya Bwana ni kubwa na ya kutisha sana. Nani anayeweza kuishi?
Suara TUHAN mengguntur, memberi aba-aba, kepada angkatan perangnya. Betapa besar jumlah laskarnya! Betapa kuat tentara yang melaksanakan perintah-Nya! Sungguh dahsyat dan hebat Hari TUHAN! Tak seorang pun dapat bertahan.
12 “Lakini hata sasa,” asema Bwana, “Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote. Haraka, lia na omboleza.”
TUHAN berkata, "Tetapi sekarang ini, kembalilah kepada-Ku dengan sepenuh hati, sambil berpuasa, meratap dan menangis.
13 Rarueni miyoyo yenu, si mavazi yenu tu, na kurudi kwa Bwana Mungu wenu. Kwa maana ni mwenye neema na mwenye huruma, si mwepesi wa hasira na wingi katika uaminifu wa agano, na angependa kugeuka kutokana na adhabu.
Koyakkanlah hatimu dan jangan pakaianmu." Berpalinglah kepada TUHAN Allahmu. Ia panjang sabar dan penyayang murah hati dan penuh kasihan. Senang mengampuni dan tak suka menjalankan hukuman.
14 Nani anajua? Labda angegeuka na kuwa na huruma, na kuacha baraka nyuma yake, sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji kwa Bwana, Mungu wenu?
Barangkali TUHAN Allahmu berubah pendirian, dan memberkati kamu dengan berkelimpahan. Sehingga kamu dapat mempersembahkan kurban anggur dan gandum bagi TUHAN, Allahmu.
15 Piga tarumbeta huko Sayuni, itisha kwa ajili ya funga takatifu, na itisheni kusanyiko takatifu.
Tiuplah trompet di Sion, gunung Allah, umumkanlah hari puasa, adakanlah pertemuan raya.
16 Kusanyeni watu, wito kwa kusanyiko takatifu. Kusanya wazee, kukusanya watoto na watoto wachanga. Bwana arusi waweze kutoka nje ya vyumba vyao, na bibi arusi kutoka kwenye vyumba vyao.
Kumpulkanlah seluruh rakyat, kerahkanlah himpunan umat. Suruhlah datang orang-orang tua, anak-anak dan bayi-bayi juga. Bahkan para pengantin baru harus datang pula. Suruhlah mereka meninggalkan kamarnya.
17 Basi makuhani, watumishi wa Bwana, waliao kati ya patakatifu na madhabahu. Wawaambie, Waitie watu wako, Ee Bwana, wala usitoe urithi wako kwa aibu, ili mataifa watawawale juu yao. Kwa nini wanapaswa kusema kati ya mataifa, “Yuko wapi Mungu wao?”
Suruhlah para imam yang melayani TUHAN, menangis di antara mezbah dan serambi depan, sambil berkata, "Sayangilah umat-Mu, ya TUHAN; jangan biarkan milik-Mu menjadi cela," sehingga bangsa-bangsa lain menyindir dan berkata, "Di mana Allah mereka?"
18 Ndipo Bwana alikuwa mwenye bidii kwa nchi yake na kuwahurumia watu wake.
Lalu TUHAN memperhatikan tanah-Nya, dan mengasihani umat-Nya.
19 Bwana akawajibu watu wake, Tazama, nitawaletea nafaka, divai mpya, na mafuta. Utaridhishwa nao, wala sitawafanya kuwa aibu kati ya mataifa.
Ia menjawab mereka begini, "Sekarang kamu semua Kuberikan: gandum, anggur dan minyak zaitun untuk makanan, supaya kamu sekalian dikenyangkan. Aku tak akan membiarkan kamu dihina atau ditertawakan oleh bangsa-bangsa.
20 Nitawaondoa washambuliaji wa kaskazini mbali nanyi, na nitawapitisha katika nchi kavu na iliyoachwa. Sehemu ya mbele ya jeshi lao itaingia bahari ya mashariki, na sehemuya nyuma itaingia bahari ya magharibi. Uvundo wake utainuka juu, na harufu yake mbaya itainuka juu. Hakika, amefanya mambo makuu.
Pasukan belalang dari utara akan Kuusir, sebagian Kuhalau ke padang pasir. Ke Laut Mati Kudesak barisan depannya, ke Laut Tengah Kutolak barisan belakangnya. Bangkai-bangkainya akan berbau. Mereka Kubinasakan sebab telah menyiksa kamu.
21 Msiogope, nchi, shangilieni na kufurahi, kwa kuwa Bwana atafanya mambo makuu.
Jangan takut, hai ladang, senangkan hatimu; ingat akan hal besar yang dikerjakan TUHAN bagimu!
22 Usiogope, wanyama wa kondeni, kwa kuwa malisho ya jangwa yatakua, miti itazaa matunda yake, na miti ya mizabibu na mizabibu itazaa mavuno yao yote.
Hai binatang-binatang, janganlah risau. Padang-padang rumput kini menghijau. Dengan lebat pohon-pohon berbuah, buah anggur dan ara berlimpah-limpah.
23 Furahini, enyi watu wa Sayuni, na kufurahi katika Bwana, Mungu wenu. Kwa maana atakupa mvua ya vuli kwa kiasi na kuleta mvua kwa ajili yenu, mvua ya vuli na mvua ya masika kama hapo awali.
Hai rakyat Sion, bergembiralah! Bersukaria dan bersoraklah! karena segala kebaikan dari TUHAN Allahmu. Di musim gugur diberinya cukup hujan kepadamu. Di musim dingin hujan dicurahkan-Nya, juga di musim semi seperti sediakala.
24 Sakafu ya kupepetea zitajaa ngano, na vyombo vitafurika kwa divai mpya na mafuta.
Maka gandum akan mengisi lagi tempat pengirikan; anggur dan minyak zaitun akan meluap dari tempat pemerasan.
25 “Nitawawezesha miaka ya mazao ambayo nzige walikula, Palale, nzige, na nzige wakuteketeza - jeshi langu lenye nguvu ambalo nimelituma kati yenu.
Aku akan mengganti segala kerugianmu pada tahun-tahun ketika belalang makan hasil panenmu. Sebab Akulah yang mengirim pasukan belalang itu kepadamu.
26 Mutakula chakula tele na kushiba, na kulitukuza jina la Bwana, Mungu wenu, aliyefanya miujiza kati yenu, wala sitawaletea tena watu wangu.
Kamu akan cukup makanan dan merasa kenyang. TUHAN Allahmu akan kamu muliakan, sebab bagimu dilakukan-Nya banyak keajaiban. Umat-Ku tak akan lagi menjadi bahan ejekan!
27 Utajua ya kwamba mimi niko kati ya Israeli, na kwamba mimi ni Bwana, Mungu wako, wala hakuna mwingine, wala sitawaletea aibu watu wangu.
Maka tahulah kamu, Israel, bahwa Aku ada di tengah-tengahmu, dan bahwa Aku, TUHAN, adalah Allahmu. Tidak ada Allah lain, kecuali Aku sendiri. Umat-Ku tak akan dipermalukan lagi!"
28 Itakuwa baada ya hayo nitamimina Roho yangu juu ya wenye mwili yote, na wana wenu na binti zenu watatabiri. Wazee wenu wataota ndoto, vijana wenu wataona maono.
"Setelah itu kelak semua orang akan Kulimpahi dengan roh-Ku. Maka putra-putrimu akan menyampaikan pesan-pesan-Ku; orang tua-tua di antaramu akan mendapat mimpi penglihatan akan diberi kepada pemuda-pemudi.
29 Pia juu ya watumishi na watumishi wa kike, siku hizo nitaimimina Roho wangu.
Pada waktu itu roh-Ku akan Kucurahkan juga ke atas pelayan-pelayan pria dan wanita."
30 Nitaonyesha maajabu mbinguni na duniani, damu, moto na nguzo za moshi.
Di langit dan bumi akan Kulakukan banyak keajaiban. Akan ada pertumpahan darah, nyala api dan gumpalan asap.
31 Jua litakuwa giza na mwezi kuwa damu, kabla ya siku kuu na ya kutisha ya Bwana itakapokuja.
Matahari akan menjadi gelap dan bulan menjadi merah seperti darah. Semua itu akan terjadi sebelum Hari TUHAN tiba, hari yang dahsyat dan mengerikan!
32 Itakuwa kwamba kila mtu anayeita jina la Yahweh ataokolewa. Kwa maana juu ya Mlima Sayuni na Yerusalemu watakuwa na wale waliokoka, kama Bwana alivyosema, na kati ya wale walisalia, wale ambao Bwana anawaita.
Tetapi barangsiapa yang memohon pertolongan TUHAN, akan diselamatkan. TUHAN berkata, "Di Yerusalem orang-orang yang Kupilih akan selamat."

< Joeli 2 >