< Joeli 2 >
1 Piga tarumbeta katika Sayuni, na piga kelele juu ya mlima wangu mtakatifu! Wakazi wote wa nchi watetemeke kwa hofu; maana siku ya Bwana inakuja; Hakika iko karibu.
Sonnez de la trompette du haut de Sion, publiez à grands cris sur la montagne sainte; et que tous ceux qui habitent la terre soient confondus, parce que voilà le jour du Seigneur; il est près de vous,
2 Ni siku ya giza na weusi, siku ya mawingu na giza nene. Kama asubuhi inayoenea kwenye milima, jeshi kubwa na la nguvu linakaribia. Hakujawahi kuwako jeshi kama hilo, na hakutakuwa tena, hata baada ya vizazi vingi.
ce jour d'obscurité et de ténèbres, ce jour de nuées et de brouillards. Un peuple nombreux et puissant va se répandre sur les montagnes, comme la lumière du matin; jamais, dans les temps passés, on n'a vu son pareil, et après lui on n'en verra point de semblable durant les années, de générations en générations.
3 Moto unatumia kila kitu mbele yake, na nyuma yake moto unawaka. Nchi hiyo ni kama bustani ya Edeni mbele yake, lakini nyuma yake kuna jangwa lililoharibika. Hakika hakuna chochote kitakayotoroka.
Ce qui marche devant lui est un feu dévorant; ce qui marche à sa suite est une flamme ardente. La terre, avant qu'il arrive, était comme un jardin de délices; quand il fut passé, c'était un champ désert, et nul ne lui échappera.
4 Muonekano wa jeshi ni kama farasi, na wanakimbia kama wapanda farasi.
Ils apparaîtront comme une vision de chevaux; ils courront comme des cavaliers.
5 Wanaruka kwa kelele kama ile ya magari juu ya vilele vya milima, kama kelele za muale wa moto ambao huangamiza majani, kama jeshi la nguvu lililo tayari kwa vita.
Ils s'élanceront sur les cimes des montagnes, comme un bruit de chars, comme un bruit de flammes dévorant des maisons, comme un peuple puissant et nombreux se rangeant en bataille.
6 Mbele yao watu wako katika maumivu na nyuso zao zote zinakuwa za rangi.
Devant leur force, les peuples seront broyés; tout visage sera comme le côté brûlé d'une chaudière.
7 Wanakimbia kama wapiganaji wenye nguvu; wanapanda kuta kama askari; wanasonga, kila mmoja kwa hatua, na hawavunji safu zao.
Ils courront comme des combattants; ils escaladeront les murailles comme des hommes de guerre; et chacun d'eux marchera dans sa voie, et ils ne dévieront pas de leurs sentiers;
8 Wala hakuna mmoja anayemsukuma mwingine kando; wanasonga, kila mmoja katika njia yake; wao huvunja kwa njia ya ulinzi na si kuanguka nje ya mstari.
et nul ne s'écartera de son frère; ils marcheront chargés de leurs armes; ils tomberont avec leurs traits, et ils ne seront pas détruits.
9 Wanakimbilia jiji, wanakimbia kwenye ukuta, wanapanda ndani ya nyumba, na hupita kupitia madirisha kama wezi.
Ils prendront la ville; ils courront sur les remparts; ils monteront sur les maisons; ils entreront comme des larrons par les fenêtres.
10 Nchi hutikisika mbele yao, mbingu hutetemeka, jua na mwezi ni giza, na nyota zinaacha kuangaza.
Devant leur face, la terre sera confondue, et le ciel tremblera. le soleil et la lune seront voilés de ténèbres, et les étoiles retireront leur lumière.
11 Bwana huinua sauti yake mbele ya jeshi lake; maana wapiganaji wake ni wengi sana; kwa maana wao ni wenye nguvu, wale wanaofanya amri zake. Kwa maana siku ya Bwana ni kubwa na ya kutisha sana. Nani anayeweza kuishi?
Et le Seigneur fera entendre Sa voix devant Son armée, car Son camp est très nombreux, et les œuvres qui accomplissent Ses paroles sont puissantes, et le jour du Seigneur est un grand jour: il est éclatant; et qui sera capable de le soutenir?
12 “Lakini hata sasa,” asema Bwana, “Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote. Haraka, lia na omboleza.”
Et maintenant le Seigneur Dieu vous dit: Convertissez-vous à Moi de toute votreâme; jeûnez, pleurez, frappez-vous la poitrine.
13 Rarueni miyoyo yenu, si mavazi yenu tu, na kurudi kwa Bwana Mungu wenu. Kwa maana ni mwenye neema na mwenye huruma, si mwepesi wa hasira na wingi katika uaminifu wa agano, na angependa kugeuka kutokana na adhabu.
Déchirez vos cœurs, et non vos vêtements. Et convertissez-vous au Seigneur votre Dieu, parce qu'Il est plein de clémence et de compassion, patient, abondant en miséricorde, et repentant des maux qu'Il fait en punissant.
14 Nani anajua? Labda angegeuka na kuwa na huruma, na kuacha baraka nyuma yake, sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji kwa Bwana, Mungu wenu?
Qui sait s'Il ne Se repentira pas, s'Il ne laissera pas après Lui des bénédictions, des offrandes et des libations pour le Seigneur votre Dieu.
15 Piga tarumbeta huko Sayuni, itisha kwa ajili ya funga takatifu, na itisheni kusanyiko takatifu.
Sonnez de la trompette en Sion; sanctifiez le jeûne; publiez le service de Dieu;
16 Kusanyeni watu, wito kwa kusanyiko takatifu. Kusanya wazee, kukusanya watoto na watoto wachanga. Bwana arusi waweze kutoka nje ya vyumba vyao, na bibi arusi kutoka kwenye vyumba vyao.
réunissez le peuple; sanctifiez l'Église; rassemblez les anciens; rassemblez les enfants à la mamelle; que l'époux quitte sa couche, et la femme son lit nuptial.
17 Basi makuhani, watumishi wa Bwana, waliao kati ya patakatifu na madhabahu. Wawaambie, Waitie watu wako, Ee Bwana, wala usitoe urithi wako kwa aibu, ili mataifa watawawale juu yao. Kwa nini wanapaswa kusema kati ya mataifa, “Yuko wapi Mungu wao?”
Que les prêtres qui servent le Seigneur pleurent au pied de l'autel; qu'ils disent: Seigneur, épargne Ton peuple; ne livre pas Ton héritage à l'opprobre; ne laisse pas les gentils dominer sur lui, de peur que l'on ne dise parmi les nations: Où est leur Dieu?
18 Ndipo Bwana alikuwa mwenye bidii kwa nchi yake na kuwahurumia watu wake.
Mais le Seigneur a été jaloux de Sa terre, et Il a épargné Son peuple.
19 Bwana akawajibu watu wake, Tazama, nitawaletea nafaka, divai mpya, na mafuta. Utaridhishwa nao, wala sitawafanya kuwa aibu kati ya mataifa.
Et le Seigneur a parlé, et Il a dit à Son peuple: Voilà que Je vous enverrai du blé, du vin et de l'huile, et vous vous en rassasierez, et Je ne vous livrerai pas plus longtemps aux opprobres des gentils.
20 Nitawaondoa washambuliaji wa kaskazini mbali nanyi, na nitawapitisha katika nchi kavu na iliyoachwa. Sehemu ya mbele ya jeshi lao itaingia bahari ya mashariki, na sehemuya nyuma itaingia bahari ya magharibi. Uvundo wake utainuka juu, na harufu yake mbaya itainuka juu. Hakika, amefanya mambo makuu.
Et Je chasserai loin de vous celui qui est venu de l'aquilon; Je le repousserai dans une contrée aride, et Je ferai disparaître sa tête dans la première mer, et sa queue dans la dernière; et sa pourriture montera, et son infection s'élèvera; car il s'est glorifié de ses œuvres.
21 Msiogope, nchi, shangilieni na kufurahi, kwa kuwa Bwana atafanya mambo makuu.
Rassure-toi, terre; réjouis-toi et tressaille d'allégresse, parce que le Seigneur se glorifie d'agir.
22 Usiogope, wanyama wa kondeni, kwa kuwa malisho ya jangwa yatakua, miti itazaa matunda yake, na miti ya mizabibu na mizabibu itazaa mavuno yao yote.
Rassurez-vous, bêtes des champs, les plaines du désert ont bourgeonné; les arbres ont porté leurs fruits; le figuier et la vigne ont donné toute leur force.
23 Furahini, enyi watu wa Sayuni, na kufurahi katika Bwana, Mungu wenu. Kwa maana atakupa mvua ya vuli kwa kiasi na kuleta mvua kwa ajili yenu, mvua ya vuli na mvua ya masika kama hapo awali.
Et vous, enfants de Sion, réjouissez-vous, tressaillez d'allégresse dans le Seigneur votre Dieu; Il vous a donné abondance de vivres; Il fera pleuvoir pour vous, comme autrefois, les pluies du printemps et de l'automne.
24 Sakafu ya kupepetea zitajaa ngano, na vyombo vitafurika kwa divai mpya na mafuta.
Et vos granges seront remplies de blé; et vos pressoirs regorgeront de vin et d'huile.
25 “Nitawawezesha miaka ya mazao ambayo nzige walikula, Palale, nzige, na nzige wakuteketeza - jeshi langu lenye nguvu ambalo nimelituma kati yenu.
Et Je vous dédommagerai des ravages que pendant des années ont faits la sauterelle et la grande sauterelle, la nielle et la chenille, Ma grande armée que J'ai envoyée contre vous.
26 Mutakula chakula tele na kushiba, na kulitukuza jina la Bwana, Mungu wenu, aliyefanya miujiza kati yenu, wala sitawaletea tena watu wangu.
Et vous mangerez, et vous serez rassasiés, et vous louerez le Nom du Seigneur votre Dieu, à cause des prodiges qu'en votre faveur Il aura faits. Et Mon peuple ne sera plus humilié.
27 Utajua ya kwamba mimi niko kati ya Israeli, na kwamba mimi ni Bwana, Mungu wako, wala hakuna mwingine, wala sitawaletea aibu watu wangu.
Et vous connaîtrez que Je suis au milieu d'Israël, et que Je suis le Seigneur votre Dieu, et qu'il n'est point d'autre Dieu que Moi, et Mon peuple ne sera plus humilié à jamais.
28 Itakuwa baada ya hayo nitamimina Roho yangu juu ya wenye mwili yote, na wana wenu na binti zenu watatabiri. Wazee wenu wataota ndoto, vijana wenu wataona maono.
Et ensuite, voici ce qui arrivera: Je répandrai Mon Esprit sur toute chair; et vos fils prophétiseront, et vos anciens auront des songes, et vos jeunes hommes des visions.
29 Pia juu ya watumishi na watumishi wa kike, siku hizo nitaimimina Roho wangu.
Et en ce jour-là Je répandrai Mon Esprit sur Mes serviteurs et sur Mes servantes.
30 Nitaonyesha maajabu mbinguni na duniani, damu, moto na nguzo za moshi.
Et Je mettrai des signes au ciel; et sur la terre, du sang, du feu et de la fumée.
31 Jua litakuwa giza na mwezi kuwa damu, kabla ya siku kuu na ya kutisha ya Bwana itakapokuja.
Le soleil sera changé en ténèbres, et la lune en sang, avant qu'arrive le grand jour, le jour éclatant du Seigneur.
32 Itakuwa kwamba kila mtu anayeita jina la Yahweh ataokolewa. Kwa maana juu ya Mlima Sayuni na Yerusalemu watakuwa na wale waliokoka, kama Bwana alivyosema, na kati ya wale walisalia, wale ambao Bwana anawaita.
Et il arrivera que quiconque invoquera le Nom du Seigneur sera sauvé; car alors sera sauvé tout ce qui sera sur la montagne de Sion et de Jérusalem, et avec eux tous les évangélisés que le Seigneur a élus, comme l'a dit le Seigneur.