< Joeli 2 >

1 Piga tarumbeta katika Sayuni, na piga kelele juu ya mlima wangu mtakatifu! Wakazi wote wa nchi watetemeke kwa hofu; maana siku ya Bwana inakuja; Hakika iko karibu.
Zion mon dawk mongka ueng awh haw. Kaie mon kathoung dawkvah kâhruetcuetnae lawk dei pouh haw lah, Khocanaw pueng tâlueng awh naseh, Bangkongtetpawiteh, BAWIPA e hnin teh tho han a hnai toe.
2 Ni siku ya giza na weusi, siku ya mawingu na giza nene. Kama asubuhi inayoenea kwenye milima, jeshi kubwa na la nguvu linakaribia. Hakujawahi kuwako jeshi kama hilo, na hakutakuwa tena, hata baada ya vizazi vingi.
Khohmonae hnin, khokingpâuinae hnin lah ao. Kanî raeng ni monnaw dawk pheng a tue e patetlah miphun kalen naw hoi a tha kaawm naw a tho awh han. Ayan e tueng dawk hottelah awm boihoeh, hma lae tueng dawk hai bout awm mahoeh toe.
3 Moto unatumia kila kitu mbele yake, na nyuma yake moto unawaka. Nchi hiyo ni kama bustani ya Edeni mbele yake, lakini nyuma yake kuna jangwa lililoharibika. Hakika hakuna chochote kitakayotoroka.
Ahnimae hmalah hmai a kak teh a hnuklah hmai a to. Hmalah kaawm e ram teh Eden takha patetlah ao. Ahnimae a hnuk lah, ka nga e thingyei patetlah ao. Atangcalah ahnimae kut dawk hoi bangcahai hlout mahoeh.
4 Muonekano wa jeshi ni kama farasi, na wanakimbia kama wapanda farasi.
Ahnimae meilam teh marang hoi a kâvan. Marang ransa patetlah a yawng awh han.
5 Wanaruka kwa kelele kama ile ya magari juu ya vilele vya milima, kama kelele za muale wa moto ambao huangamiza majani, kama jeshi la nguvu lililo tayari kwa vita.
Rangleng kacai e pawlawk patetlah hai thoseh, songnawng ka kang e pawlawk patetlah hai thoseh, a cai vaiteh, monsomnaw dawk a doukcouk awh han. Tarantuk hanlah, ka kamkhueng e a thakaawmpounge patetlah ao awh han.
6 Mbele yao watu wako katika maumivu na nyuso zao zote zinakuwa za rangi.
Ahnimae hmalah, miphunnaw teh puenghoi a tawn awh vaiteh, minhmai duk a tamang awh han.
7 Wanakimbia kama wapiganaji wenye nguvu; wanapanda kuta kama askari; wanasonga, kila mmoja kwa hatua, na hawavunji safu zao.
Ahnimouh teh, khopui e rapan dawk a luen awh han. Lamthung phen awh laipalah, mamae lamthung dawk athakaawme taminaw patetlah lengkaleng a yawng awh han.
8 Wala hakuna mmoja anayemsukuma mwingine kando; wanasonga, kila mmoja katika njia yake; wao huvunja kwa njia ya ulinzi na si kuanguka nje ya mstari.
Buet touh hoi buet touh kâhmang laipalah, mamae lamthung a dawn awh han. Tahloi e hâ ni na a ei nakunghai hmâ na cat mahoeh.
9 Wanakimbilia jiji, wanakimbia kwenye ukuta, wanapanda ndani ya nyumba, na hupita kupitia madirisha kama wezi.
Kho thung avoivanglah yawng awh vaiteh kho rapannaw tapuet awh vaiteh, lemphu luen awh vaiteh tamru patetlah hlalangaw dawk hoi a kâen awh han.
10 Nchi hutikisika mbele yao, mbingu hutetemeka, jua na mwezi ni giza, na nyota zinaacha kuangaza.
Ahnimae hmalah Tâlî a no vaiteh kalvan a kâhuet han. Kanî hoi thapa a hmo vaiteh âsinaw hai ang mahoeh.
11 Bwana huinua sauti yake mbele ya jeshi lake; maana wapiganaji wake ni wengi sana; kwa maana wao ni wenye nguvu, wale wanaofanya amri zake. Kwa maana siku ya Bwana ni kubwa na ya kutisha sana. Nani anayeweza kuishi?
BAWIPA teh a ransanaw hmalah lawk a pathang. A ransanaw teh moiapap. A lawk patetlah lawk ka ceng e teh a bahu a len toungloung. BAWIPA e hnin teh a lenpoung teh takikathopounge hnin lah ao. Apinimouh a khang thai han.
12 “Lakini hata sasa,” asema Bwana, “Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote. Haraka, lia na omboleza.”
Hatdawkvah BAWIPA ni a dei e teh, atuvah rawcahainae, khuikanae hoi lungthin abuemlahoi kai koe bout ban awh.
13 Rarueni miyoyo yenu, si mavazi yenu tu, na kurudi kwa Bwana Mungu wenu. Kwa maana ni mwenye neema na mwenye huruma, si mwepesi wa hasira na wingi katika uaminifu wa agano, na angependa kugeuka kutokana na adhabu.
Na khohna e phi laipalah na lungthin hah phi awh nateh, BAWIPA koelah bout ban awh. Lungkâpatawnae hoi kawi nateh lungsawnae hnokahawi saknae, rek han tangcoung e bout pahrennae lungthin a tawn.
14 Nani anajua? Labda angegeuka na kuwa na huruma, na kuacha baraka nyuma yake, sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji kwa Bwana, Mungu wenu?
Nangmouh teh namamae Cathut BAWIPA koe canei kawi pasoumhno hah na poe awh navah, a kamlang teh yawhawinae a ceitakhai hoi a ceitakhai hoeh hane apinimaw a panue.
15 Piga tarumbeta huko Sayuni, itisha kwa ajili ya funga takatifu, na itisheni kusanyiko takatifu.
Zion mon dawkvah mongka ueng awh. Rawcahainae atueng khoe awh nateh, pathang awh.
16 Kusanyeni watu, wito kwa kusanyiko takatifu. Kusanya wazee, kukusanya watoto na watoto wachanga. Bwana arusi waweze kutoka nje ya vyumba vyao, na bibi arusi kutoka kwenye vyumba vyao.
Taminaw pueng kaw awh nateh kamkhuengnaw thoungsak awh. A kum kacuenaw thoseh, a kum kanaw naw hoi sanukanetnaw hai thoseh kamkhueng sak awh. Yu kalatkung thoundoun ni amae irakhan dawk hoi thoseh, vâ ka sak e napui ni amae rakhan dawk hoi thoseh tâcawt naseh.
17 Basi makuhani, watumishi wa Bwana, waliao kati ya patakatifu na madhabahu. Wawaambie, Waitie watu wako, Ee Bwana, wala usitoe urithi wako kwa aibu, ili mataifa watawawale juu yao. Kwa nini wanapaswa kusema kati ya mataifa, “Yuko wapi Mungu wao?”
BAWIPA e thaw ka tawk e vaihma teh im takhang hoi thuengnae rahak vah a ka teh, Oe! na taminaw hah lungma haw. Alouke miphunnaw ni a uk teh a pacekpahlek awh. Nâmaw nangmae BAWIPA teh ao telah alouke miphunnaw ni bangkongmaw a dei awh vaw telah a ti.
18 Ndipo Bwana alikuwa mwenye bidii kwa nchi yake na kuwahurumia watu wake.
Hottelah sak pawiteh, BAWIPA ni a ram hah a kabawp vaiteh a taminaw a rungngang han.
19 Bwana akawajibu watu wake, Tazama, nitawaletea nafaka, divai mpya, na mafuta. Utaridhishwa nao, wala sitawafanya kuwa aibu kati ya mataifa.
Atangcalah BAWIPA ni na pato teh kai ni cakang, misur tui, satui na poe awh vaiteh nangmouh teh na von a paha han. Alouke miphunnaw ni dudam kawi lah kai ni bout na tat mahoeh toe.
20 Nitawaondoa washambuliaji wa kaskazini mbali nanyi, na nitawapitisha katika nchi kavu na iliyoachwa. Sehemu ya mbele ya jeshi lao itaingia bahari ya mashariki, na sehemuya nyuma itaingia bahari ya magharibi. Uvundo wake utainuka juu, na harufu yake mbaya itainuka juu. Hakika, amefanya mambo makuu.
Atunglae ransanaw hah nangmouh koehoi kai ni ka takhoe han. Kingdinae ram koelah ka pâlei han. Kanîtholah e tuipui koelah ka kangvawi vaiteh kanîloumlae tuipui teh ka hnamthun takhai han. Ka pawk hmui a tho han. Cathut ni kalenpounge hno ka sak han telah ati han.
21 Msiogope, nchi, shangilieni na kufurahi, kwa kuwa Bwana atafanya mambo makuu.
Oe, Judah ram na lungpuen hanh. Na konawm awh nateh na lunghawi awh, BAWIPA ni hno kalen a sak han.
22 Usiogope, wanyama wa kondeni, kwa kuwa malisho ya jangwa yatakua, miti itazaa matunda yake, na miti ya mizabibu na mizabibu itazaa mavuno yao yote.
Oe kahrawng e sarangnaw, puen awh hanh. Pho a paw vaiteh thingkungnaw ni a paw paw vaiteh, thaibunglung hoi misurkungnaw ni hai tha a patho awh han.
23 Furahini, enyi watu wa Sayuni, na kufurahi katika Bwana, Mungu wenu. Kwa maana atakupa mvua ya vuli kwa kiasi na kuleta mvua kwa ajili yenu, mvua ya vuli na mvua ya masika kama hapo awali.
Oe Zion canaw na lunghawi awh nateh namamae BAWIPA kâuep laihoi na lungnawm awh. Bangkongtetpawiteh, phung kadeikung na patoun pouh vaiteh apasuek e ratui hoi a hnukteng e ratui, nangmouh koe ka rak sak han.
24 Sakafu ya kupepetea zitajaa ngano, na vyombo vitafurika kwa divai mpya na mafuta.
Cangkatinnae hah cakang hoi akawi vaiteh, misur katinnae tangkom hai misur hoi satui akawi vaiteh, a poum han.
25 “Nitawawezesha miaka ya mazao ambayo nzige walikula, Palale, nzige, na nzige wakuteketeza - jeshi langu lenye nguvu ambalo nimelituma kati yenu.
A kum moi kasawlah kai ni ka patoun e ransahu awsinaw ni a ca e bout na patho han.
26 Mutakula chakula tele na kushiba, na kulitukuza jina la Bwana, Mungu wenu, aliyefanya miujiza kati yenu, wala sitawaletea tena watu wangu.
Nangmouh teh ka boum lah na ca awh han. Nangmouh hanelah kângairu hno ka sak e na Cathut BAWIPA e a min hateh na pholen awh han. Ka taminaw teh yeirai bout po mahoeh toe.
27 Utajua ya kwamba mimi niko kati ya Israeli, na kwamba mimi ni Bwana, Mungu wako, wala hakuna mwingine, wala sitawaletea aibu watu wangu.
Kai teh Isarel miphunnaw koe kaawm e, nangmae Cathut BAWIPA lah ka o teh alouk awm hoeh tie hah na panue awh han. Taminaw teh yeirai bout po awh mahoeh toe.
28 Itakuwa baada ya hayo nitamimina Roho yangu juu ya wenye mwili yote, na wana wenu na binti zenu watatabiri. Wazee wenu wataota ndoto, vijana wenu wataona maono.
Hathnukkhu vah Ka miphun pueng koe ka muitha ka awi han. Na canaw ni profet lawk a dei awh han. Matawng kacuenaw ni mang a mang awh han. Camonaw ni hai visionnaw a hmu awh han.
29 Pia juu ya watumishi na watumishi wa kike, siku hizo nitaimimina Roho wangu.
Kaie thaw ka tawk e tongpa napuinaw lathueng ka Muitha ka awi vaiteh ahnimouh ni profet lawk lahoi a pâpho awh han.
30 Nitaonyesha maajabu mbinguni na duniani, damu, moto na nguzo za moshi.
Kalvan thoseh, talai van thoseh, kângairu kawi thi, hmaito, hmaikhu khomnaw hah ka kamnue sak han.
31 Jua litakuwa giza na mwezi kuwa damu, kabla ya siku kuu na ya kutisha ya Bwana itakapokuja.
Taki ka tho e BAWIPA e a hnin a pha hoehnahlan, kanî teh a hmo han, thapa hai thi lah ao han.
32 Itakuwa kwamba kila mtu anayeita jina la Yahweh ataokolewa. Kwa maana juu ya Mlima Sayuni na Yerusalemu watakuwa na wale waliokoka, kama Bwana alivyosema, na kati ya wale walisalia, wale ambao Bwana anawaita.
Hatnavah BAWIPA e min ka kaw e pueng teh a hlout awh han. Bangkongtetpawiteh, Zion mon, Jerusalem kho dawk kacawinaw teh rungngang lah ao awh han.

< Joeli 2 >