< Joeli 2 >
1 Piga tarumbeta katika Sayuni, na piga kelele juu ya mlima wangu mtakatifu! Wakazi wote wa nchi watetemeke kwa hofu; maana siku ya Bwana inakuja; Hakika iko karibu.
Fulabosu (dalabede) dubi amo Saione Goumi (Gode Ea sema agolo) amo da: iya gado sisasu olelema: ne duma. Dilia Yuda fi dunu! Amo fulabobe nabi ea ga: amo nabasea fofogadigili uguguma. Amo da Hina Gode Ea misunu eso gadenebe dafawane ba: mu.
2 Ni siku ya giza na weusi, siku ya mawingu na giza nene. Kama asubuhi inayoenea kwenye milima, jeshi kubwa na la nguvu linakaribia. Hakujawahi kuwako jeshi kama hilo, na hakutakuwa tena, hata baada ya vizazi vingi.
Hina Gode Hina mabe amohaga da gasi bagade ba: mu, amola mu mobi da afadenene bunumai o genesuiai sodomu. Danuba: wa: i bagade misi amo ea bai amo da gegesu dunu gilisisu bagade agoane, ilia da hedolodafa goumi dabua gado heda: i esafulubi sodomu, amola amo da hahabe eso goumi dabua gadodili eso digagala: be agoai ba: mu. Agoai hou da hame ba: su musa: , amola agoai hou da bu hame ba: mu.
3 Moto unatumia kila kitu mbele yake, na nyuma yake moto unawaka. Nchi hiyo ni kama bustani ya Edeni mbele yake, lakini nyuma yake kuna jangwa lililoharibika. Hakika hakuna chochote kitakayotoroka.
Danuba: ilia nabe da ha: i manu sagai huluane da laluga nene ebelei agoane ba: sa. Musa: soge da Idini soge agoai ba: i be ilia da ahoasea amo da bu ha: i manu da heda: be hame ba: mu. Huluane da bione dasagia: i ganumu. Ilia da liligi huluanedafa na dagosa.
4 Muonekano wa jeshi ni kama farasi, na wanakimbia kama wapanda farasi.
Ilia da hosi agoai ba: sa. Ilia da gegesu hosi agoai hehenasa.
5 Wanaruka kwa kelele kama ile ya magari juu ya vilele vya milima, kama kelele za muale wa moto ambao huangamiza majani, kama jeshi la nguvu lililo tayari kwa vita.
Ilia goumi dabua gado heda: le amo da sa: liode emo wagebi ilia genenagenenasa agoai naba. amola laluga samaso bioi nebe ea ga: agoai naba. amola ilia da gegesu gilisisu bagade gegemusa: dadalesa defele ba: sa.
6 Mbele yao watu wako katika maumivu na nyuso zao zote zinakuwa za rangi.
Ilia gadenena mabeba: le, dunu huluane da bagade beda: i amola ilia beda: ga odagi da haliga: la asi agoai ba: sa.
7 Wanakimbia kama wapiganaji wenye nguvu; wanapanda kuta kama askari; wanasonga, kila mmoja kwa hatua, na hawavunji safu zao.
Ilia gegena misi amoha wa: i agoai ba: sa. Ilia dobea salidili heda: i amo da gegesu dunu ilia heda: su agoane heda: sa. Ilia mogodigili bulubulusa ahoa amola hame sinidigisa.
8 Wala hakuna mmoja anayemsukuma mwingine kando; wanasonga, kila mmoja katika njia yake; wao huvunja kwa njia ya ulinzi na si kuanguka nje ya mstari.
Amola ilia ahoabe amo enoga hame damusa. Ilia da gagili sali gagoi amo dusa: le ganodini golili daha. Ilia logo hedofamu da hamedei ba: sa.
9 Wanakimbilia jiji, wanakimbia kwenye ukuta, wanapanda ndani ya nyumba, na hupita kupitia madirisha kama wezi.
Ilia da moilai bai bagadema gegemusa: hehenasa. Ilia hehenaia asili gagoiba: le heda: le, ilia diasua doaga: le fo misa: ne agenesi hamoi amo ganodini wamolasu ilia wamolamusa: heda: be agoane heda: sa.
10 Nchi hutikisika mbele yao, mbingu hutetemeka, jua na mwezi ni giza, na nyota zinaacha kuangaza.
Ilia afia: beba: le, amo osobo amola mu da fofogosa. Eso amola oubi da gasi agoai ba: sa, amola gasumuni da hame nesa.
11 Bwana huinua sauti yake mbele ya jeshi lake; maana wapiganaji wake ni wengi sana; kwa maana wao ni wenye nguvu, wale wanaofanya amri zake. Kwa maana siku ya Bwana ni kubwa na ya kutisha sana. Nani anayeweza kuishi?
Hina Gode da Ea gegesu wa: i dunuma ha: giwane wele sia: sa, amola Ea sia: amo gugelebe gobagala: be agoai naba. Hina Gode Ea gegesu dunu da gilisisu bagadedafa amola ilia da Ea sia: fa: no bobogesa. Dilia! Hina Gode Ea misunu eso hou da beda: ma: ne hisudafa ba: sa. Amaiba: le, nowa da gasa gala esaloma: bela?
12 “Lakini hata sasa,” asema Bwana, “Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote. Haraka, lia na omboleza.”
Hina Gode da amane sia: sa, “Dafawane, goe hou da doaga: mu. Amaiba: le dilia wahadafa dilia wadela: i hou yolesili Nama sinidigima. amo dilia ha: i mae nawene amola digini misini, Nama fa: no bobogema.
13 Rarueni miyoyo yenu, si mavazi yenu tu, na kurudi kwa Bwana Mungu wenu. Kwa maana ni mwenye neema na mwenye huruma, si mwepesi wa hasira na wingi katika uaminifu wa agano, na angependa kugeuka kutokana na adhabu.
Dilia gasa fi hou fisili, da: i dioiwane masa. Dilia abula gadelabe fawane da dabua gado hou fawane amola Na da amo da defele hame ba: sa. Dilia Hina Godema sinidigili misa. Ea hou da asigidafa amola asigiba: le gogolema: ne olofosu dawa: E da mae ougili noga: le ouesala, amola Ea ilegele imunu sia: i amo didili hamosa. E da eso huluane dunu ilia wadela: i hou amo gogolema: ne olofomusa: olelesa amola hame se nabasimu iaha.
14 Nani anajua? Labda angegeuka na kuwa na huruma, na kuacha baraka nyuma yake, sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji kwa Bwana, Mungu wenu?
Be dilia bu Hina Godema sinidigili masea, Hina Gode Ea da Ea ilegesu afadenema: bela: ? Amola dilima hahawane ba: mu, amola ha: i manu bagade imunu. Amasea, dilia gagoma amola waini hano amo Hina Godema gobele salasu hamomu.
15 Piga tarumbeta huko Sayuni, itisha kwa ajili ya funga takatifu, na itisheni kusanyiko takatifu.
Dilia Saione Goumi dabua gado dalabede fulaboma amola ha: i mae nawane gilisisu hamoma: ne wele sia: ma.
16 Kusanyeni watu, wito kwa kusanyiko takatifu. Kusanya wazee, kukusanya watoto na watoto wachanga. Bwana arusi waweze kutoka nje ya vyumba vyao, na bibi arusi kutoka kwenye vyumba vyao.
Dunu fi huluane amo Godema fada: i sia: sa: ima ia adomusa: gilisima: ne sia: ma. Dunu da: i hamoi, mano fonobahadi, mano dudubu amola uda gaheabolo lai dunu huluanedafa ilia diasu yolesili misa: ne sia: ma.
17 Basi makuhani, watumishi wa Bwana, waliao kati ya patakatifu na madhabahu. Wawaambie, Waitie watu wako, Ee Bwana, wala usitoe urithi wako kwa aibu, ili mataifa watawawale juu yao. Kwa nini wanapaswa kusema kati ya mataifa, “Yuko wapi Mungu wao?”
Gobele Salasu dunu huluane ilia da Debolo diasu ganodini oloda amola logo holeiga sogebiga dogoa Hina Gode Ea hawa: hamonana, ilia da misini amola Hina Godema sia: ne gadomu amola dini imunu da defea amane, “Hina Gode! Dia fidafa dunuma asigima! Fifi asi gala eno ilia da nini higasa amola ninima da: da: losa. Ilia da amane sia: sa, “Dilia Gode da habi esalabala?” Amaiba: le, ilia logo hedofama!
18 Ndipo Bwana alikuwa mwenye bidii kwa nchi yake na kuwahurumia watu wake.
Amalalu, Hina Gode da bu Ea soge amo dawa: i. Ea da Ea dunu ilima bu asigi.
19 Bwana akawajibu watu wake, Tazama, nitawaletea nafaka, divai mpya, na mafuta. Utaridhishwa nao, wala sitawafanya kuwa aibu kati ya mataifa.
E da ilia sia: ne gadosu amoma bu amane adole i, “Waha Na da diligili waini amola olife susuligi dili sadima: ne imunu. Amola dunu fifi asi gala oda ilia da dili hame higale ba: mu.
20 Nitawaondoa washambuliaji wa kaskazini mbali nanyi, na nitawapitisha katika nchi kavu na iliyoachwa. Sehemu ya mbele ya jeshi lao itaingia bahari ya mashariki, na sehemuya nyuma itaingia bahari ya magharibi. Uvundo wake utainuka juu, na harufu yake mbaya itainuka juu. Hakika, amefanya mambo makuu.
Na da danuba: gilisisu goega mabe amo lale galagamu. Na ili mogili hafoga: i soge badilia amoga sefasimu. Ilia bisili danuba: dadalesu, Na da amo huluane Bogoi Hano amoga lale sanasimu, amola fa: no mabe amo da Medidela: inia Wayabo Bagade sali hano amoga ladili ha: digimu. Ilia bogogia: i da: i amo da dasale gaha bagade nabimu. Ilia da dilima se bagade iabeba: le, Na da ili huluane gugunufinisimu.
21 Msiogope, nchi, shangilieni na kufurahi, kwa kuwa Bwana atafanya mambo makuu.
Bugili nasu soge huluane! Mae beda: ma! Be hahawane galoma amola nodoma! Abuliba: le? Hina Gode Hi fawane da amo hou hahamoi.
22 Usiogope, wanyama wa kondeni, kwa kuwa malisho ya jangwa yatakua, miti itazaa matunda yake, na miti ya mizabibu na mizabibu itazaa mavuno yao yote.
Ohe fi! Mae beda: ma! Ohe fofole nasu soge da mola: ya: i, ifa da fage legesa, figi ifa amola waini efe da gilisili fage bagohame legesa.
23 Furahini, enyi watu wa Sayuni, na kufurahi katika Bwana, Mungu wenu. Kwa maana atakupa mvua ya vuli kwa kiasi na kuleta mvua kwa ajili yenu, mvua ya vuli na mvua ya masika kama hapo awali.
Saione fi dunu! Dilia Hina Gode da dili fidima: ne gasa bagade hou hamoi dagoiba: le, hahawane bagade nodoma! Ea da anegagi oubi gibu defele i dagoi amola anegagi oubi dagoloba musa: gibu iasu defele dilima i.
24 Sakafu ya kupepetea zitajaa ngano, na vyombo vitafurika kwa divai mpya na mafuta.
Gala: ine dabimusa: diasu da gagoma amola eno gala: ine amoga nabai ba: mu. Amola uli dogoi amo da waini hano banenesisu dafululi gala amo da waini amola olife susuligi ifa amoga nabane adugagala: i ba: mu.
25 “Nitawawezesha miaka ya mazao ambayo nzige walikula, Palale, nzige, na nzige wakuteketeza - jeshi langu lenye nguvu ambalo nimelituma kati yenu.
Liligi dia adi fisi amo Na bu imunu amola danuba: ilia ode musa: ga na ebelei, amo gegesu wa: i amo da Na dilima gegema: ne asunasi.
26 Mutakula chakula tele na kushiba, na kulitukuza jina la Bwana, Mungu wenu, aliyefanya miujiza kati yenu, wala sitawaletea tena watu wangu.
Waha dilia da ha: i manu bagade ba: mu amola sadimu. amola dilia da dilia Hina Godema bagade nodomu. Bai E da dili fidima: ne hou noga: idafa hahamoi. amola eno dunu fi ilia da Na dunu fi bu hamedafa higale ba: mu.
27 Utajua ya kwamba mimi niko kati ya Israeli, na kwamba mimi ni Bwana, Mungu wako, wala hakuna mwingine, wala sitawaletea aibu watu wangu.
Amaiba: le, Isala: ili fi dilia da dawa: mu amo Na da dili amo gilisili esala, amola Na da Hina Gode. Na da dilia Hina Gode amola goe da Hina Gode eno hame. Dunu fi oda da Na dunu fi bu eno hame higale ba: mu.
28 Itakuwa baada ya hayo nitamimina Roho yangu juu ya wenye mwili yote, na wana wenu na binti zenu watatabiri. Wazee wenu wataota ndoto, vijana wenu wataona maono.
Hobea, Na da Na A: silibu Hadigidafa Gala dunu huluanema soga: digimu. Dilia dunu mano amola didiwi ilia da Na sia: olelemu amola dilia da: i hamoi dunu ilia da simasia ba: mu amola goi ayeligi amola uda a: fini ilia da esalawane siga ba: su sodomu.
29 Pia juu ya watumishi na watumishi wa kike, siku hizo nitaimimina Roho wangu.
Amo esoga Na da Na A: silibu Hadigidafa Gala, amo hawa: hamosu dunu (dunu amola uda defele) ilima amolawane sogadigimu.
30 Nitaonyesha maajabu mbinguni na duniani, damu, moto na nguzo za moshi.
Na da dawa: ma: ne sisasu hou amo esoga hahamomu. Muagado amola osobo bagadega, musa: hame ba: su dawa: digima: ne olelesu hou, amo maga: me, laluga nebe amola mobi heda: be ba: mu.
31 Jua litakuwa giza na mwezi kuwa damu, kabla ya siku kuu na ya kutisha ya Bwana itakapokuja.
Eso digagala: i da gasi agoane ba: mu amola oubi da afadenene maga: me agoane ba: mu. Hina Gode da misunu gala be hidadea amo sisasu da ba: mu.
32 Itakuwa kwamba kila mtu anayeita jina la Yahweh ataokolewa. Kwa maana juu ya Mlima Sayuni na Yerusalemu watakuwa na wale waliokoka, kama Bwana alivyosema, na kati ya wale walisalia, wale ambao Bwana anawaita.
Be nowa dunu da Hina Godema, E fidima: ne wele sia: sea e da Hina Gode Ea gaga: su ba: mu. Hina Gode Ea sia: i defele, Saione Goumi amola Yelusaleme moilai bai bagadega amola da Gode Ea gaga: su ba: mu. Mogili da gugunufinisisu hame ba: mu. Amola nowa dunu Hina Gode da ilegei, amo da gaga: su ba: mu.”