< Ayubu 9 >
1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Potem je Job odgovoril in rekel:
2 “kweli najua kwamba ndivyo hivyo. Lakini ni kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu?
»Vem, to je tako res. Toda kako bi človek mogel biti pravičen z Bogom?
3 Kama akitaka kujibishana na Mungu, hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi.
Če se hoče pričkati z njim, mu ne more odgovoriti eno od tisočih.
4 Mungu ni mwenye hekima moyoni na ukuu katika nguvu; ni nani daima aliyejifanya mwenyewe kuwa mgumu dhidi yake na akafanikiwa? -
On je moder v srcu in mogočen v moči; kdo se je utrdil zoper njega in je uspel?
5 ambaye huiondoa milima bila kumtahadharisha yeyote wakati akiipindua katika hasira zake -
Ki odstranja gore in ne vedo, ki jih prevrača v svoji jezi.
6 ambaye huitikisa nchi itoke mahali pake na mihimili yake hutikisika.
Ki trese zemljo iz njenega kraja in njeni stebri trepetajo.
7 Ni Mungu yule yule ambaye huliamuru jua lisichomoze, nalo halichomozi, na ambaye huzihifadhi nyota,
Ki zapoveduje soncu in ta ne vzhaja in pečati zvezde.
8 ambaye peke yake ni mwenye kupanua mbingu na kuyatuliza mawimbi ya bahari,
Ki sam razprostira nebo in stopa po valovih morja.
9 ambaye huumba Dubu, Orioni, kilima, na makundi ya nyota ya kusini.
Ki dela Arktur, Orion, Gostosevce in južne sobe.
10 Ni Mungu yule yule atendaye mambo makuu, mambo yasiyofahamika - hasa, mambo ya ajabu yasiyohesabika.
Ki dela velike stvari neodkrite, da, in čudeže brez števila.
11 Tazama, huenda karibu nami, na siwezi kumuona yeye; pia hupita kwenda mbele, lakini ni simtambue.
Glej! Hodi poleg mene, jaz pa ga ne vidim; gre tudi naprej, toda jaz ga ne zaznavam.
12 Kama akichukua kitu chochote, nani atamzuia? Nani awezaye kumuuliza, 'unafanya nini?'
Glej, odvzema, kdo ga lahko ovira? Kdo mu bo rekel: ›Kaj delaš?‹
13 Mungu hataondoa hasira yake; wamsaidiao Rahabu huinama chini yake.
Če Bog ne bo umaknil svoje jeze, se ponosni pomočniki sklonijo pod njim.
14 Je ni upungufu kiasi gani mimi nitamjibu, je nichague maneno kuhojiana naye?
Kako mnogo manj bi mu jaz mogel odgovoriti in izbrati svoje besede, da razpravljam z njim?
15 Hata kama ni mwenye haki, nisingelimjibu; ningeomba msamaha tu kwa hukumu yangu.
Kateremu, čeprav bi bil pravičen, vendar ne bi mogel odgovoriti, temveč bi naredil ponižno prošnjo svojemu sodniku.
16 Hata kama ningelimwita na yeye akanitikia, nisingeamini kuwa ameisikia sauti yangu.
Če sem klical in mi je odgovoril, vendar ne bi verjel, da je prisluhnil mojemu glasu.
17 kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba na kuyaongeza majeraha yangu pasipo sababu.
Kajti lomi me z viharjem in brez razloga množi moje rane.
18 Yeye hataki hata kuniruhusu nipate kuvuta pumzi; badala yake, hunijaza uchungu.
Ne bo mi pustil, da zajamem sapo, temveč me napolnjuje z grenkobo.
19 Kama ni habari ya nguvu, tazama! yeye ni mwenye uwezo! Kama ni habari ya haki, ni nani atakaye mhukumu?
Če govorim o moči, glej, on je močan, če pa o sodbi, kdo mi bo določil čas zagovarjanja?
20 Ingawa ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; na ingawa ni mtakatifu, maneno yangu yatashuhudia kuwa ni mwenye kosa.
Če jaz sebe opravičim, me bodo moja lastna usta obsodila. Če rečem: ›Jaz sem popoln, ‹ se bo izkazalo, da sem sprevržen.
21 Mimi ni mtakatifu, lakini siijali zaidi nafsi yangu; Naudharau uhai wangu mwenyewe.
Čeprav bi bil popoln, vendar ne bi poznal svoje duše; preziral bi svoje življenje.
22 Haileti tofauti yoyote, kwa sababu hiyo nasema kwamba yeye huangamiza watu wasio na makosa na waovu pia.
To je ena stvar, zato sem rekel to: ›On uničuje popolnega in zlobnega.‹
23 Kama hilo pigo likiua ghafla, yeye atafurahi mateso yake mtu asiye na kosa.
Če nadloga nenadoma ubije, se bo posmehoval ob sojenju nedolžnih.
24 Dunia imetiwa mkononi mwa watu waovu; Mungu hufunika nyuso za waamuzi wake. kama si yeye hufanya, ni nani basi?
Zemlja je dana v roko zlobnega. On zakriva obličja njenih sodnikov. Če ne, kje in kdo je on?
25 Siku zangu zinapita haraka kuliko tarishi akimbiae; siku zangu zinakimbia mbali; wala hazioni mema mahali popote.
Torej moji dnevi so hitrejši kakor tekač. Odletijo proč, ničesar dobrega ne vidijo.
26 Zinapita kama mashua zilizoundwa kwa mafunjo ziendazo kwa kasi, na zinakasi kama tai ashukaye upesi katika mawindo yake.
Minili so kakor nagle ladje, kakor orel, ki hiti k plenu.
27 Kama ni kisema kwamba mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu, kwamba nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha,
Če rečem: ›Pozabil bom svojo pritožbo, prenehal bom s svojo potrtostjo in se potolažil, ‹
28 Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote kwa sababu nafahamu kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.
se bojim vseh svojih bridkosti, vem, da me ne boš imel za nedolžnega.
29 Nitahukumiwa; kwa nini, basi, nitaabike bure?
Če sem zloben, zakaj se potem trudim zaman?
30 Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluji na kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi,
Če se umijem s snežnico in svoje roke naredim čiste kot še nikoli,
31 Mungu atanitumbukiza shimoni, na nguo zangu mwenyewe zitanichukia.
me boš vendar pahnil v jarek in moja lastna oblačila me bodo prezirala.
32 Kwa kuwa Mungu si mtu, kama mimi, kwamba naweza kumjibu, hata tukaribiane katika hukumu.
Kajti on ni človek, kakor sem jaz, da bi mu odgovoril in bi skupaj prišla na sodbo.
33 Hakuna hakimu baina yetu awezaye kuweka mkono wake juu yetu sote.
Niti ni tukaj kakršnegakoli razsodnika med nama, da bi lahko svojo roko položil na naju oba.
34 Hakuna hakimu mwingine ambaye anaweza kuniondolea fimbo ya Mungu, awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu. kisha ningesema na nisimuogope.
Naj svojo palico vzame od mene in naj me njegov strah ne straši.
35 Lakini kama mambo yalivyo sasa, sitaweza kufanya hivyo.
Potem bi govoril in se ga ne bi bal, toda z menoj ni tako.