< Ayubu 9 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Job prit la parole et dit:
2 “kweli najua kwamba ndivyo hivyo. Lakini ni kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu?
Je sais bien qu’il en est ainsi; Comment l’homme serait-il juste devant Dieu?
3 Kama akitaka kujibishana na Mungu, hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi.
S’il voulait contester avec lui, Sur mille choses il ne pourrait répondre à une seule.
4 Mungu ni mwenye hekima moyoni na ukuu katika nguvu; ni nani daima aliyejifanya mwenyewe kuwa mgumu dhidi yake na akafanikiwa? -
A lui la sagesse et la toute-puissance: Qui lui résisterait impunément?
5 ambaye huiondoa milima bila kumtahadharisha yeyote wakati akiipindua katika hasira zake -
Il transporte soudain les montagnes, Il les renverse dans sa colère.
6 ambaye huitikisa nchi itoke mahali pake na mihimili yake hutikisika.
Il secoue la terre sur sa base, Et ses colonnes sont ébranlées.
7 Ni Mungu yule yule ambaye huliamuru jua lisichomoze, nalo halichomozi, na ambaye huzihifadhi nyota,
Il commande au soleil, et le soleil ne paraît pas; Il met un sceau sur les étoiles.
8 ambaye peke yake ni mwenye kupanua mbingu na kuyatuliza mawimbi ya bahari,
Seul, il étend les cieux, Il marche sur les hauteurs de la mer.
9 ambaye huumba Dubu, Orioni, kilima, na makundi ya nyota ya kusini.
Il a créé la Grande Ourse, l’Orion et les Pléiades, Et les étoiles des régions australes.
10 Ni Mungu yule yule atendaye mambo makuu, mambo yasiyofahamika - hasa, mambo ya ajabu yasiyohesabika.
Il fait des choses grandes et insondables, Des merveilles sans nombre.
11 Tazama, huenda karibu nami, na siwezi kumuona yeye; pia hupita kwenda mbele, lakini ni simtambue.
Voici, il passe près de moi, et je ne le vois pas, Il s’en va, et je ne l’aperçois pas.
12 Kama akichukua kitu chochote, nani atamzuia? Nani awezaye kumuuliza, 'unafanya nini?'
S’il enlève, qui s’y opposera? Qui lui dira: Que fais-tu?
13 Mungu hataondoa hasira yake; wamsaidiao Rahabu huinama chini yake.
Dieu ne retire point sa colère; Sous lui s’inclinent les appuis de l’orgueil.
14 Je ni upungufu kiasi gani mimi nitamjibu, je nichague maneno kuhojiana naye?
Et moi, comment lui répondre? Quelles paroles choisir?
15 Hata kama ni mwenye haki, nisingelimjibu; ningeomba msamaha tu kwa hukumu yangu.
Quand je serais juste, je ne répondrais pas; Je ne puis qu’implorer mon juge.
16 Hata kama ningelimwita na yeye akanitikia, nisingeamini kuwa ameisikia sauti yangu.
Et quand il m’exaucerait, si je l’invoque, Je ne croirais pas qu’il eût écouté ma voix,
17 kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba na kuyaongeza majeraha yangu pasipo sababu.
Lui qui m’assaille comme par une tempête, Qui multiplie sans raison mes blessures,
18 Yeye hataki hata kuniruhusu nipate kuvuta pumzi; badala yake, hunijaza uchungu.
Qui ne me laisse pas respirer, Qui me rassasie d’amertume.
19 Kama ni habari ya nguvu, tazama! yeye ni mwenye uwezo! Kama ni habari ya haki, ni nani atakaye mhukumu?
Recourir à la force? Il est tout-puissant. A la justice? Qui me fera comparaître?
20 Ingawa ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; na ingawa ni mtakatifu, maneno yangu yatashuhudia kuwa ni mwenye kosa.
Suis-je juste, ma bouche me condamnera; Suis-je innocent, il me déclarera coupable.
21 Mimi ni mtakatifu, lakini siijali zaidi nafsi yangu; Naudharau uhai wangu mwenyewe.
Innocent! Je le suis; mais je ne tiens pas à la vie, Je méprise mon existence.
22 Haileti tofauti yoyote, kwa sababu hiyo nasema kwamba yeye huangamiza watu wasio na makosa na waovu pia.
Qu’importe après tout? Car, j’ose le dire, Il détruit l’innocent comme le coupable.
23 Kama hilo pigo likiua ghafla, yeye atafurahi mateso yake mtu asiye na kosa.
Si du moins le fléau donnait soudain la mort!… Mais il se rit des épreuves de l’innocent.
24 Dunia imetiwa mkononi mwa watu waovu; Mungu hufunika nyuso za waamuzi wake. kama si yeye hufanya, ni nani basi?
La terre est livrée aux mains de l’impie; Il voile la face des juges. Si ce n’est pas lui, qui est-ce donc?
25 Siku zangu zinapita haraka kuliko tarishi akimbiae; siku zangu zinakimbia mbali; wala hazioni mema mahali popote.
Mes jours sont plus rapides qu’un courrier; Ils fuient sans avoir vu le bonheur;
26 Zinapita kama mashua zilizoundwa kwa mafunjo ziendazo kwa kasi, na zinakasi kama tai ashukaye upesi katika mawindo yake.
Ils passent comme les navires de jonc, Comme l’aigle qui fond sur sa proie.
27 Kama ni kisema kwamba mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu, kwamba nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha,
Si je dis: Je veux oublier mes souffrances, Laisser ma tristesse, reprendre courage,
28 Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote kwa sababu nafahamu kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.
Je suis effrayé de toutes mes douleurs. Je sais que tu ne me tiendras pas pour innocent.
29 Nitahukumiwa; kwa nini, basi, nitaabike bure?
Je serai jugé coupable; Pourquoi me fatiguer en vain?
30 Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluji na kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi,
Quand je me laverais dans la neige, Quand je purifierais mes mains avec du savon,
31 Mungu atanitumbukiza shimoni, na nguo zangu mwenyewe zitanichukia.
Tu me plongerais dans la fange, Et mes vêtements m’auraient en horreur.
32 Kwa kuwa Mungu si mtu, kama mimi, kwamba naweza kumjibu, hata tukaribiane katika hukumu.
Il n’est pas un homme comme moi, pour que je lui réponde, Pour que nous allions ensemble en justice.
33 Hakuna hakimu baina yetu awezaye kuweka mkono wake juu yetu sote.
Il n’y a pas entre nous d’arbitre, Qui pose sa main sur nous deux.
34 Hakuna hakimu mwingine ambaye anaweza kuniondolea fimbo ya Mungu, awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu. kisha ningesema na nisimuogope.
Qu’il retire sa verge de dessus moi, Que ses terreurs ne me troublent plus;
35 Lakini kama mambo yalivyo sasa, sitaweza kufanya hivyo.
Alors je parlerai et je ne le craindrai pas. Autrement, je ne suis point à moi-même.

< Ayubu 9 >