< Ayubu 8 >

1 Kisha Bildadi huyo Mshuhi akajibu na kusema,
Entonces Bildad el suhita respondió y dijo:
2 “hata lini wewe utasema mambo haya? Kwa muda gani maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo wenye nguvu?
¿Cuánto tiempo dirás estas cosas y cuánto tiempo serán las palabras de tu boca como un viento fuerte?
3 Je Mungu hupotosha hukumu? Je Mwenyezi hupotosha haki?
¿Dios da decisiones equivocadas? ¿O es el Dios Todopoderoso no recto en su juicio?
4 Watoto wako wametenda dhambi dhidi yake; tunalifahamu hili, kwa kuwa amewatia mkononi kwa makosa yao.
Si tus hijos hicieron lo malo contra él, entonces él los entregó a su castigo.
5 Lakini wewe unaonaje ukimtafuta Mungu kwa bidii na kufikisha haja yako kwa huyo Mwenyezi.
Si buscas a Dios con cuidado, y pones tu súplica ante él Dios Todopoderoso;
6 Ukiwa wewe ni msafi na mkamilifu, hakika angeamka mwenyewe kwa niaba yako na kukurudisha kwenye makazi ya haki yako.
Si eres limpio y recto; entonces, ciertamente, será movido y prosperará, y tu justicia será tu morada.
7 Japokuwa huo mwanzo wako ulikuwa ni mdogo, hata hivyo hali yako ya mwisho itaongezeka sana.
Y aunque tu comienzo fue pequeño, tu final será muy grande.
8 Tafadhari uwaulize vizazi vya zamani, na utie bidii katika hayo mababu zetu waliyojifunza.
Consulta ahora a las generaciones pasadas y presta atención a lo que han buscado sus padres:
9 (Sisi ni wa jana tu na hatujui chochote kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli).
Porque somos de ayer, y no tenemos conocimiento, porque nuestros días en la tierra se han ido como una sombra.
10 Je hawatakufunza wao na kukuambia? Je hawatatamka maneno yatokayo mioyoni mwao?
¿No te darán enseñanza y sabiduría, te dirán palabras de todo corazón?
11 Je hayo mafunjo yaota pasipo matope? Je mafunjo yaota pasipo maji?
¿Crecerá él papiro sin pantanos? ¿Él junco crecerá sin agua?
12 Wakati yakiwa bado ya kijani na hayajakatwa, hunyauka kabla ya mmea mwingine.
Sin embargo estando verde, sin ser cortado, se seca y muere antes que cualquier otra planta.
13 Hivyo pia njia ya wote wamsahauo Mungu, na matumaini ya asiyeamini Mungu yatatoweka.
Así es el fin de todos los que no tienen a Dios en mente; y la esperanza del malvado no llega a nada:
14 Ujasiri wake utavunjika, na matumaini yake ni dhaifu kama utando wa buibui.
Cuya esperanza se corta, y cuya esperanza no es más fuerte que una telaraña.
15 Ataitegemea nyumba yake, lakini haitamsaidia; atashikamana nayo, lakini isidumu.
Él está buscando a su casa por apoyo, pero no está allí; Él pone su esperanza en su casa, pero se convierte en nada.
16 Yeye huwa mti mbichi chini ya jua, na machipukizi yake huenea katika bustani yake yote.
Está lleno de fuerza ante el sol, y sus ramas salen por su jardín.
17 Mizizi yake hujifunga funga kwenye rundo la mawe; huangalia mahali pazuri katikati ya mawe;
Sus raíces están retorcidas alrededor de las piedras, forzándose su camino entre ellas.
18 Lakini mtu huyu aking'olewa mahali pake, kisha mahali pale patamkana, na kusema, 'mimi sikukuona.'
Si lo sacan de su lugar, entonces dirá: No te he visto.
19 Tazama, hii ni “furaha” ya mtu mwenye tabia hiyo; mimea mingine itachipuka toka katika udongo ule ule mahali pake.
Tal es el gozo de su camino, y del polvo otro brota para tomar su lugar.
20 Tazama, Mungu hatamtupa mtu asiye na kosa; wala hatawathibitisha watendao uovu.
En verdad, Dios no renunciará al que está sin pecado, y no tomará de la mano a los que hacen el mal.
21 Yeye atakijaza kinywa chako na kicheko, midomo yako na shangwe.
Llegará el momento en que tu boca se llenará de risas y de tus labios saldrán gritos de alegría.
22 Wale ambao wanakuchukia wewe watavishwa aibu; nayo hema yake mwovu haitakuwepo tena.
Tus enemigos serán cubiertos de vergüenza, y la casa del pecador no volverá a ser vista.

< Ayubu 8 >