< Ayubu 8 >
1 Kisha Bildadi huyo Mshuhi akajibu na kusema,
Отвещав же Валдад Савхейский, рече: доколе глаголати будеши сия?
2 “hata lini wewe utasema mambo haya? Kwa muda gani maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo wenye nguvu?
Дух многоглаголив во устех твоих.
3 Je Mungu hupotosha hukumu? Je Mwenyezi hupotosha haki?
Еда Господь обидит судяй? Или вся сотворивый возмятет правду?
4 Watoto wako wametenda dhambi dhidi yake; tunalifahamu hili, kwa kuwa amewatia mkononi kwa makosa yao.
Аще сынове твои согрешиша пред Ним, посла руку на беззакония их:
5 Lakini wewe unaonaje ukimtafuta Mungu kwa bidii na kufikisha haja yako kwa huyo Mwenyezi.
ты же утренюй ко Господу Вседержителю моляся:
6 Ukiwa wewe ni msafi na mkamilifu, hakika angeamka mwenyewe kwa niaba yako na kukurudisha kwenye makazi ya haki yako.
аще чист еси и истинен, молитву твою услышит, устроит же ти паки житие правды:
7 Japokuwa huo mwanzo wako ulikuwa ni mdogo, hata hivyo hali yako ya mwisho itaongezeka sana.
будут убо первая твоя мала, последняя же твоя без числа.
8 Tafadhari uwaulize vizazi vya zamani, na utie bidii katika hayo mababu zetu waliyojifunza.
Вопроси бо рода перваго, изследи же по роду отцев:
9 (Sisi ni wa jana tu na hatujui chochote kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli).
вчерашни бо есмы и не вемы, сень бо есть наше житие на земли:
10 Je hawatakufunza wao na kukuambia? Je hawatatamka maneno yatokayo mioyoni mwao?
не сии ли научат тя и возвестят ти и от сердца изнесут словеса?
11 Je hayo mafunjo yaota pasipo matope? Je mafunjo yaota pasipo maji?
Еда произничет рогоз без воды, или растет ситник без напаяния?
12 Wakati yakiwa bado ya kijani na hayajakatwa, hunyauka kabla ya mmea mwingine.
Еще сущу на корени, и не пожнется ли? Прежде напаяния всякое былие не изсыхает ли?
13 Hivyo pia njia ya wote wamsahauo Mungu, na matumaini ya asiyeamini Mungu yatatoweka.
Тако убо будут последняя всех забывающих Господа: надежда бо нечестиваго погибнет:
14 Ujasiri wake utavunjika, na matumaini yake ni dhaifu kama utando wa buibui.
не населен бо будет дом его, паучина же сбудется селение его.
15 Ataitegemea nyumba yake, lakini haitamsaidia; atashikamana nayo, lakini isidumu.
Аще подпрет храмину свою, не станет: емшуся же ему за ню, не пребудет.
16 Yeye huwa mti mbichi chini ya jua, na machipukizi yake huenea katika bustani yake yote.
Влажный бо есть под солнцем, и от тления его леторасль его изыдет:
17 Mizizi yake hujifunga funga kwenye rundo la mawe; huangalia mahali pazuri katikati ya mawe;
на собрании камения спит, посреде же кремения поживет:
18 Lakini mtu huyu aking'olewa mahali pake, kisha mahali pale patamkana, na kusema, 'mimi sikukuona.'
аще поглотит место, солжет ему, не видел еси таковая,
19 Tazama, hii ni “furaha” ya mtu mwenye tabia hiyo; mimea mingine itachipuka toka katika udongo ule ule mahali pake.
яко превращение нечестиваго таково, из земли же инаго произрастит.
20 Tazama, Mungu hatamtupa mtu asiye na kosa; wala hatawathibitisha watendao uovu.
Господь бо не отринет незлобиваго: всякаго же дара от нечестиваго не приимет.
21 Yeye atakijaza kinywa chako na kicheko, midomo yako na shangwe.
Истинным же уста исполнит смеха, устне же их исповедания.
22 Wale ambao wanakuchukia wewe watavishwa aibu; nayo hema yake mwovu haitakuwepo tena.
Врази же их облекутся в студ: жилище же нечестиваго не будет.