< Ayubu 8 >

1 Kisha Bildadi huyo Mshuhi akajibu na kusema,
آنگاه بلدد شوحی پاسخ داد:
2 “hata lini wewe utasema mambo haya? Kwa muda gani maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo wenye nguvu?
ای ایوب، تا به کی به این حرفها ادامه می‌دهی؟ حرفهای تو باد هواست!
3 Je Mungu hupotosha hukumu? Je Mwenyezi hupotosha haki?
آیا خدای قادر مطلق عدالت و انصاف را زیر پا می‌گذارد؟
4 Watoto wako wametenda dhambi dhidi yake; tunalifahamu hili, kwa kuwa amewatia mkononi kwa makosa yao.
فرزندانت به خدا گناه کردند و او به حق، ایشان را مجازات نمود.
5 Lakini wewe unaonaje ukimtafuta Mungu kwa bidii na kufikisha haja yako kwa huyo Mwenyezi.
ولی اکنون تو به درگاه خدای قادر مطلق دعا کن.
6 Ukiwa wewe ni msafi na mkamilifu, hakika angeamka mwenyewe kwa niaba yako na kukurudisha kwenye makazi ya haki yako.
اگر آدم پاک و خوبی باشی، او دعایت را می‌شنود و تو را اجابت می‌کند و خانهٔ تو را برکت می‌دهد.
7 Japokuwa huo mwanzo wako ulikuwa ni mdogo, hata hivyo hali yako ya mwisho itaongezeka sana.
عاقبت تو آنچنان از خیر و برکت سرشار خواهد شد که زندگی گذشته‌ات در برابر آن ناچیز به نظر خواهد آمد.
8 Tafadhari uwaulize vizazi vya zamani, na utie bidii katika hayo mababu zetu waliyojifunza.
از سالخوردگان بپرس تا از تجربهٔ خود به تو بیاموزند.
9 (Sisi ni wa jana tu na hatujui chochote kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli).
ما آنقدر زندگی نکرده‌ایم که همه چیز را بدانیم.
10 Je hawatakufunza wao na kukuambia? Je hawatatamka maneno yatokayo mioyoni mwao?
تو می‌توانی از حکمت گذشتگان درس عبرت بگیری و آنها به تو خواهند گفت که
11 Je hayo mafunjo yaota pasipo matope? Je mafunjo yaota pasipo maji?
آیا گیاه پاپیروس می‌تواند خارج از مرداب بروید؟ آیا علف مرداب بدون آب نمی‌میرد؟
12 Wakati yakiwa bado ya kijani na hayajakatwa, hunyauka kabla ya mmea mwingine.
آیا در حالی که هنوز سبز است و آماده بریدن نیست پژمرده نمی‌شود؟
13 Hivyo pia njia ya wote wamsahauo Mungu, na matumaini ya asiyeamini Mungu yatatoweka.
همچنین است سرنوشت آنانی که خدا را فراموش می‌کنند. امید شخص بی‌خدا ناپایدار است.
14 Ujasiri wake utavunjika, na matumaini yake ni dhaifu kama utando wa buibui.
شخص بی‌خدا مانند کسی است که به تار عنکبوت اعتماد کند.
15 Ataitegemea nyumba yake, lakini haitamsaidia; atashikamana nayo, lakini isidumu.
اگر به آن تکیه نماید، می‌افتد و اگر از آن آویزان شود، آن تار او را نگه نمی‌دارد.
16 Yeye huwa mti mbichi chini ya jua, na machipukizi yake huenea katika bustani yake yote.
او مانند گیاهی است که صبحگاهان تر و تازه می‌شود و شاخه‌هایش در باغ گسترده می‌گردند.
17 Mizizi yake hujifunga funga kwenye rundo la mawe; huangalia mahali pazuri katikati ya mawe;
در میان سنگها ریشه می‌دواند و خود را محکم نگه می‌دارد.
18 Lakini mtu huyu aking'olewa mahali pake, kisha mahali pale patamkana, na kusema, 'mimi sikukuona.'
ولی وقتی آن را از ریشه می‌کنند دیگر کسی آن را به یاد نمی‌آورد،
19 Tazama, hii ni “furaha” ya mtu mwenye tabia hiyo; mimea mingine itachipuka toka katika udongo ule ule mahali pake.
و گیاهان دیگری روییده جای آن را می‌گیرند. چنین است عاقبت شخص بی‌خدا.
20 Tazama, Mungu hatamtupa mtu asiye na kosa; wala hatawathibitisha watendao uovu.
ولی بدان که خدا نیکان را ترک نمی‌گوید و بدکاران را کامیاب نمی‌گرداند.
21 Yeye atakijaza kinywa chako na kicheko, midomo yako na shangwe.
او بار دیگر دهانت را از خنده و فریادهای شادی پر خواهد کرد،
22 Wale ambao wanakuchukia wewe watavishwa aibu; nayo hema yake mwovu haitakuwepo tena.
و دشمنانت را رسوا و خانهٔ شریران را خراب خواهد نمود.

< Ayubu 8 >