< Ayubu 8 >

1 Kisha Bildadi huyo Mshuhi akajibu na kusema,
Darauf erwidert Bildad von Schuach:
2 “hata lini wewe utasema mambo haya? Kwa muda gani maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo wenye nguvu?
"Wie lange willst du solches reden und wüten mit der Worte Sturm?
3 Je Mungu hupotosha hukumu? Je Mwenyezi hupotosha haki?
Ist Gott etwa ein Rechtsverdreher? Und beugt gerechte Sache der Allmächtige?
4 Watoto wako wametenda dhambi dhidi yake; tunalifahamu hili, kwa kuwa amewatia mkononi kwa makosa yao.
Wenn deine Kinder gegen ihn gesündigt und er sie um der Sünde willen in den Tod geschickt,
5 Lakini wewe unaonaje ukimtafuta Mungu kwa bidii na kufikisha haja yako kwa huyo Mwenyezi.
so solltest du an Gott dich wenden und zum Allmächtigen um Gnade flehen.
6 Ukiwa wewe ni msafi na mkamilifu, hakika angeamka mwenyewe kwa niaba yako na kukurudisha kwenye makazi ya haki yako.
Dann würde er dir Schutz gewähren, falls du nur rein und lauter bist, und stellte auch die Wohnung wieder her, die dir gebührt.
7 Japokuwa huo mwanzo wako ulikuwa ni mdogo, hata hivyo hali yako ya mwisho itaongezeka sana.
Dann würde auch dein früheres Los gering erscheinen, die Zukunft aber herrlich für dich sein.
8 Tafadhari uwaulize vizazi vya zamani, na utie bidii katika hayo mababu zetu waliyojifunza.
Befrage dich bei den vergangenen Zeiten; gib auf der Väter Weisheit acht!
9 (Sisi ni wa jana tu na hatujui chochote kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli).
Wir sind von gestern, unerfahren; denn wie ein Schatten sind auf Erden unsere Tage.
10 Je hawatakufunza wao na kukuambia? Je hawatatamka maneno yatokayo mioyoni mwao?
Doch jene, können sie dich nicht belehren? Sie geben tiefgeschöpftes Wissen.
11 Je hayo mafunjo yaota pasipo matope? Je mafunjo yaota pasipo maji?
Wird etwa Schilfkraut ohne Sumpf sehr hoch? Wird Gras, wo Wasser fehlt, recht groß?
12 Wakati yakiwa bado ya kijani na hayajakatwa, hunyauka kabla ya mmea mwingine.
Noch ist's im Trieb, nicht reif zum Schnitt, und schon ist's dürr, grünt alles andere noch.
13 Hivyo pia njia ya wote wamsahauo Mungu, na matumaini ya asiyeamini Mungu yatatoweka.
So geht's mit allen Gottvergessenen. So wird des Frevlers Stolz vernichtet,
14 Ujasiri wake utavunjika, na matumaini yake ni dhaifu kama utando wa buibui.
er, dessen Zuversicht nur Sommerfäden und dessen Hoffnung Spinngewebe sind.
15 Ataitegemea nyumba yake, lakini haitamsaidia; atashikamana nayo, lakini isidumu.
Er stützt sich auf sein Haus; doch hält's nicht stand. Er hält sich fest daran; doch bleibt's nicht stehen.
16 Yeye huwa mti mbichi chini ya jua, na machipukizi yake huenea katika bustani yake yote.
Wenn er auch in der Sonne grünt und seine Ranken weit in seinen Garten gehen,
17 Mizizi yake hujifunga funga kwenye rundo la mawe; huangalia mahali pazuri katikati ya mawe;
Verflechten seine Wurzeln sich zuhauf, wie ein Gemäuer anzusehen,
18 Lakini mtu huyu aking'olewa mahali pake, kisha mahali pale patamkana, na kusema, 'mimi sikukuona.'
wenn er von seinem Ort ihn tilgt, verleugnet dieser ihn: 'Ich habe niemals dich gesehen!'
19 Tazama, hii ni “furaha” ya mtu mwenye tabia hiyo; mimea mingine itachipuka toka katika udongo ule ule mahali pake.
Das ist da seines Schicksals 'Wonne', und andere steigen aus dem Staub empor.
20 Tazama, Mungu hatamtupa mtu asiye na kosa; wala hatawathibitisha watendao uovu.
Den Frommen kann Gott nicht verachten; der Übeltäter Hand hält er nicht fest. -
21 Yeye atakijaza kinywa chako na kicheko, midomo yako na shangwe.
Dein Mund wird noch des Lachens voll und voll von Jubel deine Lippen.
22 Wale ambao wanakuchukia wewe watavishwa aibu; nayo hema yake mwovu haitakuwepo tena.
Und deine Hasser kleiden sich in Schande, und nicht mehr ist der Bösen Zelt."

< Ayubu 8 >