< Ayubu 8 >

1 Kisha Bildadi huyo Mshuhi akajibu na kusema,
and to answer Bildad [the] Shuhite and to say
2 “hata lini wewe utasema mambo haya? Kwa muda gani maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo wenye nguvu?
till where? to speak these and spirit: breath mighty word lip your
3 Je Mungu hupotosha hukumu? Je Mwenyezi hupotosha haki?
God to pervert justice and if Almighty to pervert righteousness
4 Watoto wako wametenda dhambi dhidi yake; tunalifahamu hili, kwa kuwa amewatia mkononi kwa makosa yao.
if son: child your to sin to/for him and to send: let go them in/on/with hand: power transgression their
5 Lakini wewe unaonaje ukimtafuta Mungu kwa bidii na kufikisha haja yako kwa huyo Mwenyezi.
if you(m. s.) to seek to(wards) God and to(wards) Almighty be gracious
6 Ukiwa wewe ni msafi na mkamilifu, hakika angeamka mwenyewe kwa niaba yako na kukurudisha kwenye makazi ya haki yako.
if pure and upright you(m. s.) for now to rouse upon you and to complete pasture righteousness your
7 Japokuwa huo mwanzo wako ulikuwa ni mdogo, hata hivyo hali yako ya mwisho itaongezeka sana.
and to be first: beginning your little and end your to increase much
8 Tafadhari uwaulize vizazi vya zamani, na utie bidii katika hayo mababu zetu waliyojifunza.
for to ask please to/for generation first: previous and to establish: right to/for search father their
9 (Sisi ni wa jana tu na hatujui chochote kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli).
for yesterday we and not to know for shadow day our upon land: country/planet
10 Je hawatakufunza wao na kukuambia? Je hawatatamka maneno yatokayo mioyoni mwao?
not they(masc.) to show you to say to/for you and from heart their to come out: speak speech
11 Je hayo mafunjo yaota pasipo matope? Je mafunjo yaota pasipo maji?
to rise up reed in/on/with not swamp to grow meadow without water
12 Wakati yakiwa bado ya kijani na hayajakatwa, hunyauka kabla ya mmea mwingine.
still he in/on/with greenery his not to pluck and to/for face: before all grass to wither
13 Hivyo pia njia ya wote wamsahauo Mungu, na matumaini ya asiyeamini Mungu yatatoweka.
so way all to forget God and hope profane to perish
14 Ujasiri wake utavunjika, na matumaini yake ni dhaifu kama utando wa buibui.
which to cut off loin his and house: home spider confidence his
15 Ataitegemea nyumba yake, lakini haitamsaidia; atashikamana nayo, lakini isidumu.
to lean upon house: home his and not to stand: stand to strengthen: hold in/on/with him and not to arise: establish
16 Yeye huwa mti mbichi chini ya jua, na machipukizi yake huenea katika bustani yake yote.
fresh he/she/it to/for face: before sun and upon garden his shoot his to come out: issue
17 Mizizi yake hujifunga funga kwenye rundo la mawe; huangalia mahali pazuri katikati ya mawe;
upon heap root his to interweave place stone to see
18 Lakini mtu huyu aking'olewa mahali pake, kisha mahali pale patamkana, na kusema, 'mimi sikukuona.'
if to swallow up him from place his and to deceive in/on/with him not to see: see you
19 Tazama, hii ni “furaha” ya mtu mwenye tabia hiyo; mimea mingine itachipuka toka katika udongo ule ule mahali pake.
look! he/she/it rejoicing way: conduct his and from dust another to spring
20 Tazama, Mungu hatamtupa mtu asiye na kosa; wala hatawathibitisha watendao uovu.
look! God not to reject complete and not to strengthen: hold in/on/with hand: power be evil
21 Yeye atakijaza kinywa chako na kicheko, midomo yako na shangwe.
till to fill laughter lip your and lips your shout
22 Wale ambao wanakuchukia wewe watavishwa aibu; nayo hema yake mwovu haitakuwepo tena.
to hate you to clothe shame and tent wicked nothing he

< Ayubu 8 >