< Ayubu 8 >

1 Kisha Bildadi huyo Mshuhi akajibu na kusema,
Da svarede Bildad, Sukiten, og sagde:
2 “hata lini wewe utasema mambo haya? Kwa muda gani maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo wenye nguvu?
Hvor længe vil du tale disse Ting, og hvor længe skal din Munds Taler være et mægtigt Vejr?
3 Je Mungu hupotosha hukumu? Je Mwenyezi hupotosha haki?
Mon Gud skulde forvende Retten, og mon den Almægtige skulde forvende Retfærdighed?
4 Watoto wako wametenda dhambi dhidi yake; tunalifahamu hili, kwa kuwa amewatia mkononi kwa makosa yao.
Dersom dine Sønner have syndet imod ham, da har han givet dem hen i deres Overtrædelsers Vold.
5 Lakini wewe unaonaje ukimtafuta Mungu kwa bidii na kufikisha haja yako kwa huyo Mwenyezi.
Men vil du søge hen til Gud og bede den Almægtige om Naade,
6 Ukiwa wewe ni msafi na mkamilifu, hakika angeamka mwenyewe kwa niaba yako na kukurudisha kwenye makazi ya haki yako.
og er du ren og oprigtig, da skal han vaage over dig og gøre, at din Retfærdigheds Bolig skal have Fred.
7 Japokuwa huo mwanzo wako ulikuwa ni mdogo, hata hivyo hali yako ya mwisho itaongezeka sana.
Og var dit første lidet, saa skal dit sidste blive saare stort.
8 Tafadhari uwaulize vizazi vya zamani, na utie bidii katika hayo mababu zetu waliyojifunza.
Thi, kære, spørg den henfarne Slægt og agt paa det, som deres Fædre have udgrundet;
9 (Sisi ni wa jana tu na hatujui chochote kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli).
— thi vi ere fra i Gaar og vide intet; thi en Skygge ere vore Dage paa Jorden; —
10 Je hawatakufunza wao na kukuambia? Je hawatatamka maneno yatokayo mioyoni mwao?
skulle de ikke belære dig, ja sige dig det, og fremføre Ord ud af deres Hjerte?
11 Je hayo mafunjo yaota pasipo matope? Je mafunjo yaota pasipo maji?
Kan et Siv opvokse uden af Sump? kan Enggræs gro op uden Vand?
12 Wakati yakiwa bado ya kijani na hayajakatwa, hunyauka kabla ya mmea mwingine.
Endnu staar det i sin Grøde, det rykkes ikke op; men før alt andet Græs borttørres det.
13 Hivyo pia njia ya wote wamsahauo Mungu, na matumaini ya asiyeamini Mungu yatatoweka.
Saa ere alle deres Veje, som glemme Gud; og den vanhelliges Haab slaar fejl.
14 Ujasiri wake utavunjika, na matumaini yake ni dhaifu kama utando wa buibui.
Thi hans Haab skal briste, og hans Tillid er som en Spindelvæv.
15 Ataitegemea nyumba yake, lakini haitamsaidia; atashikamana nayo, lakini isidumu.
Han forlader sig fast paa sit Hus, men det skal ikke blive staaende; han holder sig til det, men det skal ikke staa fast.
16 Yeye huwa mti mbichi chini ya jua, na machipukizi yake huenea katika bustani yake yote.
Han skyder frodigt op for Solen; og hans unge Skud brede sig ud over hans Have.
17 Mizizi yake hujifunga funga kwenye rundo la mawe; huangalia mahali pazuri katikati ya mawe;
Hans Rødder gro i hverandre om Stendyngen; han skuer op imod Stenhuset.
18 Lakini mtu huyu aking'olewa mahali pake, kisha mahali pale patamkana, na kusema, 'mimi sikukuona.'
Men oprykkes han fra sit Sted, da skal dette fornægte ham og sige: Jeg har ikke set dig.
19 Tazama, hii ni “furaha” ya mtu mwenye tabia hiyo; mimea mingine itachipuka toka katika udongo ule ule mahali pake.
Se, det er Glæden af hans Vej, og en anden vokser frem af Støvet.
20 Tazama, Mungu hatamtupa mtu asiye na kosa; wala hatawathibitisha watendao uovu.
Se, Gud forkaster ikke den retsindige og holder ikke fast ved de ondes Haand.
21 Yeye atakijaza kinywa chako na kicheko, midomo yako na shangwe.
Endnu skal han fylde din Mund med Latter og dine Læber med Frydeskrig.
22 Wale ambao wanakuchukia wewe watavishwa aibu; nayo hema yake mwovu haitakuwepo tena.
De, som hade dig, skulle klædes med Skam, og de ugudeliges Telt skal ikke mere findes.

< Ayubu 8 >