< Ayubu 7 >

1 Je mtu hana kazi ngumu juu ya nchi? Je siku zake si kama siku za mwajiriwa?
Nije l' vojska život čovjekov na zemlji? Ne provodi l' dane poput najamnika?
2 Kama mtumwa atamaniye sana kivuli cha jioni, kama mwajiriwa atafutaye ujira wake -
Kao što trudan rob za hladom žudi, poput nadničara štono plaću čeka,
3 hivyo nami nimeumbwa kuvumilia miezi ya taabu; Nami nimepewa taabu - zimeujaza usiku.
mjeseci jada tako me zapadoše i noći su mučne meni dosuđene.
4 Hapo nilalapo chini, najiuliza mwenyewe, 'Lini nitatoka kitandani na lini usiku utatoweka?' Nimejawa na kujitupa huku na huko hadi mwanzo wa siku.
Liježuć' mislim svagda: 'Kada ću ustati?' A dižuć se: 'Kada večer dočekati!' I tako se kinjim sve dok se ne smrkne.
5 Mwili wangu umevikwa minyoo na madonda yenye vumbi; maumivu katika ngozi yangu yamekuwa magumu na kisha hutoweka na huendelea tena.
PÓut moju crvi i blato odjenuše, koža na meni puca i raščinja se.
6 Siku zangu zinakimbia kuliko chombo cha kufumia; zinapita bila tumaini.
Dani moji brže od čunka prođoše, promakoše hitro bez ikakve nade.
7 Mungu, anakumbuka kwamba maisha yangu ni pumzi tu; jicho langu halitaona mema tena.
Spomeni se: život moj je samo lahor i oči mi neće više vidjet' sreće!
8 Jicho lake Mungu, huyo anionaye mimi, halitaniangalia tena; Macho ya Mungu yatanitazama, lakini sitakuwako.
Prijateljsko oko neće me gledati; pogled svoj u mene upro si te sahnem.
9 kama vile wingu liishavyo na kutoweka, hivyo wale waendao sheoli hawatarudi tena kabisa. (Sheol h7585)
Kao što se oblak gubi i raspline, tko u Šeol siđe, više ne izlazi. (Sheol h7585)
10 Yeye hatarudi tena nyumbani kwake, wala mahali pake hapatamtambua tena.
Domu svome natrag ne vraća se nikad, njegovo ga mjesto više ne poznaje.
11 Kwa sababu hiyo sitakizuia kinywa changu; Nitasema juu ya maumivu makubwa ya roho yangu; Nitanung'unika juu ya uchungu wa nafsi yangu.
Ustima ja svojim stoga branit' neću, u tjeskobi duha govorit ću sada, u gorčini duše ja ću zajecati.
12 Je mimi ni bahari au kiumbe cha kutisha baharini hata ukaweka mlinzi juu yangu?
Zar sam more ili neman morska, pa si stražu nada mnom stavio?
13 Hapo nisemapo, 'kitanda changu kitanifariji, na malazi yangu yatatuliza manung'uniko yangu,'
Kažem li: 'Na logu ću se smirit', ležaj će mi olakšati muke',
14 halafu unitishapo kwa ndoto na kunitisha kwa maono,
snovima me prestravljuješ tada, prepadaš me viđenjima mučnim.
15 ili nichague kunyongwa na kufa kuliko kulinda mifupa yangu hii.
Kamo sreće da mi se zadavit'! Smrt mi je od patnja mojih draža.
16 Ninayachukia kabisa maisha yangu; sitamani siku zote kuwa hai; usinisumbue maana siku zangu hazifai.
Ja ginem i vječno živjet neću; pusti me, tek dah su dani moji!
17 Je mtu ni nini hata ukatia bidii kwake, na ukaweka akili yako kwake,
Što je čovjek da ga toliko ti cijeniš, da je srcu tvojem tako prirastao
18 na kumwangalia kila asubuhi, na kumjaribu kila mara?
i svakoga jutra da njega pohodiš i svakoga trena da ga iskušavaš?
19 Je itachukuwa muda gani kabla hujaacha kuniangalia, wala kunisumbua muda wa kutosha kwaajili ya kumeza mate yangu?
Kada ćeš svoj pogled skinuti sa mene i dati mi barem pljuvačku progutat'?
20 Hata kama nimefanya dhambi, itakusaidia nini, wewe ulindaye wanadamu? Kwa nini umenifanya shabaha yako, kiasi kwamba nimekuwa mzigo kwako?
Ako sam zgriješio, što učinih tebi, o ti koji pomno nadzireš čovjeka? Zašto si k'o metu mene ti uzeo, zbog čega sam tebi na teret postao?
21 Kwa nini hunisamehi makosa yangu na kuniondolea uovu wangu? kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; na wewe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwako.”
Zar prijestupa moga ne možeš podnijeti i ne možeš prijeći preko krivnje moje? Jer, malo će proći i u prah ću leći, ti ćeš me tražiti, al' me biti neće.”

< Ayubu 7 >