< Ayubu 6 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
و ایوب جواب داده، گفت:۱
2 “Oo, laiti maumivu yangu makubwa yangepimwa; laiti misiba yangu yote mikubwa ingewekwa kwenye mizani!
«کاش که غصه من سنجیده شود. و مشقت مرا درمیزان با آن بگذارند.۲
3 Kwa kuwa sasa ungekuwa mzito kuliko mchanga wa baharini. Kwa sababu hiyo maneno yangu yamekuwa ya haraka.
زیرا که الان از ریگ دریاسنگینتر است. از این سبب سخنان من بیهوده می‌باشد.۳
4 Kwa kuwa mishale ya Mwenyezi ipo ndani yangu, moyo wangu umelewa sumu; Vitisho vya Mungu vimejipanga vyenyewe dhidi yangu.
زیرا تیرهای قادرمطلق در اندرون من است. و روح من زهر آنها را می‌آشامد، و ترسهای خدا بر من صف آرایی می‌کند.۴
5 Je punda mwitu hulia akiwa na malisho? Au ng'ombe huwa dhaifu wakati wa njaa ambapo anachakula?
آیا گورخر باداشتن علف عرعر می‌کند؟ و یا گاو بر آذوقه خودبانگ می‌زند؟۵
6 Je inawezekana kitu kisicho na ladha kulika bila chumvi? Au kuna radha yoyote katika ute mweupe wa yai?
آیا چیز بی‌مزه، بی‌نمک خورده می‌شود؟ و یا در سفیده تخم، طعم می‌باشد؟۶
7 Nakataa kuvigusa; kwangu mimi vinafanana na chakula kichukizacho.
جان من از لمس نمودن آنها کراهت دارد. آنهابرای من مثل خوراک، زشت است.۷
8 Oo, kama nigeweza kupata haja yangu; oo, kama Mungu angeridhia jambo nilitamanilo sana:
«کاش که مسالت من برآورده شود، و خداآرزوی مرا به من بدهد!۸
9 kama Mungu ingempendeza kuniangamiza mara moja, kwamba angeulegeza mkono wake na kuyakatilia mbali maisha yangu!
و خدا راضی شود که مرا خرد کند، و دست خود را بلند کرده، مرامنقطع سازد!۹
10 Hii ingeweza kuwa faraja yangu hata sasa - hata kama nafurahia sana maumivu yasiyopungua: kwa kuwa sikuyakana maneno yake Mtakatifu.
آنگاه معهذا مرا تسلی می‌شد ودر عذاب الیم شاد می‌شدم، چونکه کلمات حضرت قدوس را انکار ننمودم.۱۰
11 Nguvu yangu ni ipi, hata nijaribu kusubiri? Mwisho wangu ni upi, utakao refusha maisha yangu?
من چه قوت دارم که انتظار بکشم و عاقبت من چیست که صبرنمایم؟۱۱
12 Je nguvu zangu ni nguvu za mawe? Au mwili wangu umeumbwa kwa shaba nyeusi?
آیا قوت من قوت سنگها است؟ و یاگوشت من برنج است؟۱۲
13 Je si kweli kwamba sina msaada ndani yangu, na kwamba hekima imeondolewa mbali nami?
آیا بالکل بی‌اعانت نیستم؟ و مساعدت از من مطرود نشده است؟۱۳
14 Kwa mtu ambaye yu karibu kuzirai, inapasa uaminifu uonyeshwe na rafiki zake; hata kwake yeye aachaye kumcha Mwenyezi.
حق شکسته دل از دوستش ترحم است، اگر‌چه هم ترس قادر مطلق را ترک نماید.۱۴
15 Lakini ndugu zangu wamekuwa waaminifu kwangu kama mkondo wa maji jangwani, mfano wa mifereji ya maji ipitayo mpaka pasipo kitu,
اما برادران من مثل نهرها مرا فریب دادند، مثل رودخانه وادیها که می‌گذرند.۱۵
16 ambayo imekuwa mieusi kwa sababu ya barafu juu yake, na kwa sababu ya theluji ambayo hujificha yenyewe ndani yake.
که از یخ سیاه فام می‌باشند، و برف در آنها مخفی است.۱۶
17 Wakati zikiyeyuka, hutoweka; kukiwa na joto, hutoweka mahali hapo.
وقتی که آب از آنها می‌رود، نابود می‌شوند. و چون گرماشود، از جای خود ناپدید می‌گردند.۱۷
18 Misafara ambayo husafiri kwa njia yao hugeuka na maji; huzurura jangwani na kisha hupotea.
کاروانیان از راه خود منحرف می‌شوند، و در بیابان داخل شده، هلاک می‌گردند.۱۸
19 Misafara kutoka Tema huitazama, wakati majeshi ya Sheba huitarajia.
کاروانیان تیما به آنهانگران بودند. قافله های سبا امید آن را داشتند.۱۹
20 Wamevunjika moyo kwa sababu walitumaini kupata maji. Wakaenda huko, lakini walidanganywa.
از امید خود خجل گردیدند. به آنجا رسیدند وشرمنده گشتند.۲۰
21 Kwa sasa ninyi rafiki si kitu kwangu; mmeona hali yangu ya kutisha nanyi mwaogopa.
زیرا که الان شما مثل آنهاشده‌اید، مصیبتی دیدید و ترسان گشتید.۲۱
22 Je nilisema kwenu, 'Nipeni kitu furani?' Au, 'nitoleeni zawadi katika mali zenu?'
آیاگفتم که چیزی به من ببخشید؟ یا ارمغانی از اموال خود به من بدهید؟۲۲
23 Au, 'Niokoeni toka mkononi mwa mtesi wangu?' Au, 'Nitoleeni fidia kwa watesi wangu?'
یا مرا از دست دشمن رهاکنید؟ و مرا از دست ظالمان فدیه دهید؟۲۳
24 Nifundishe, nami nitaishika amani yangu; nifanye nifahamu wapi nilipokosea.
«مرا تعلیم دهید و من خاموش خواهم شد، و مرا بفهمانید که در چه چیز خطا کردم.۲۴
25 Jinsi gani maneno ya kweli yanavyo umiza! Lakini hoja zenu, jee hasa zimenionya nini mimi?
سخنان راستی چقدر زورآور است! اما تنبیه شما چه نتیجه می‌بخشد؟۲۵
26 Je mnapanga kuyakemea maneno yangu, mnayachukulia maneno ya mtu mwenye kukata tamaa sawa na upepo?
آیا گمان می‌برید که سخنان را تنبیه می‌نمایید و سخنان مایوس را که مثل باد است؟۲۶
27 Hasa, mna piga kura kwa ajili ya yatima, na kupatana bei juu ya rafiki yenu kama bidhaa.
یقین برای یتیم قرعه می‌اندازیدو دوست خود را مال تجارت می‌شمارید.۲۷
28 Sasa, kwa sababu hiyo, tafadhari nitazame, kwa hakika sitasema uongo usoni penu.
پس الان التفات کرده، بر من توجه نمایید، و روبه‌روی شما دروغ نخواهم گفت.۲۸
29 Rudini, nawasihi; lisiwepo neno la uonevu na nyinyi; Hasa, rudini, sababu zangu ni za haki.
برگردید و بی‌انصافی نباشد، و باز برگردید زیرا عدالت من قایم است.۲۹
30 Je mna uovu ulimini mwangu? Je kinywa changu hakiwezi kungundua madhara?
آیا در زبان من بی‌انصافی می‌باشد؟ و آیا کام من چیزهای فاسد را تمیز نمی دهد؟۳۰

< Ayubu 6 >