< Ayubu 6 >
1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Da tok Job til orde og sa:
2 “Oo, laiti maumivu yangu makubwa yangepimwa; laiti misiba yangu yote mikubwa ingewekwa kwenye mizani!
Gid min gremmelse blev veid, og min ulykke samtidig lagt på vekten!
3 Kwa kuwa sasa ungekuwa mzito kuliko mchanga wa baharini. Kwa sababu hiyo maneno yangu yamekuwa ya haraka.
For nu er den tyngre enn havets sand; derfor var mine ord tankeløse.
4 Kwa kuwa mishale ya Mwenyezi ipo ndani yangu, moyo wangu umelewa sumu; Vitisho vya Mungu vimejipanga vyenyewe dhidi yangu.
For den Allmektiges piler sitter i mig, og min ånd drikker deres gift; Guds redsler stiller sig op imot mig.
5 Je punda mwitu hulia akiwa na malisho? Au ng'ombe huwa dhaifu wakati wa njaa ambapo anachakula?
Skriker vel et villesel midt i det grønne gress? Eller brøler en okse foran sitt fôr?
6 Je inawezekana kitu kisicho na ladha kulika bila chumvi? Au kuna radha yoyote katika ute mweupe wa yai?
Hvem vil ete det som det ingen smak er i, uten salt? Eller er det smak i eggehvite?
7 Nakataa kuvigusa; kwangu mimi vinafanana na chakula kichukizacho.
Det byr mig imot å røre ved det; det er for mig som utskjemt mat.
8 Oo, kama nigeweza kupata haja yangu; oo, kama Mungu angeridhia jambo nilitamanilo sana:
Gid min bønn måtte bli hørt, og Gud vilde opfylle mitt håp!
9 kama Mungu ingempendeza kuniangamiza mara moja, kwamba angeulegeza mkono wake na kuyakatilia mbali maisha yangu!
Og måtte det behage Gud å knuse mig, å slippe løs sin hånd og avskjære min livstråd!
10 Hii ingeweza kuwa faraja yangu hata sasa - hata kama nafurahia sana maumivu yasiyopungua: kwa kuwa sikuyakana maneno yake Mtakatifu.
Da hadde jeg ennu en trøst, og jeg skulde springe av glede midt i den skånselløse smerte; for jeg har ikke fornektet den Helliges ord.
11 Nguvu yangu ni ipi, hata nijaribu kusubiri? Mwisho wangu ni upi, utakao refusha maisha yangu?
Hvad kraft har jeg, så jeg kunde holde ut, og hvad blir enden med mig, så jeg kunde være tålmodig?
12 Je nguvu zangu ni nguvu za mawe? Au mwili wangu umeumbwa kwa shaba nyeusi?
Er da min kraft som stenens kraft? Eller er mitt kjøtt av kobber?
13 Je si kweli kwamba sina msaada ndani yangu, na kwamba hekima imeondolewa mbali nami?
Er jeg da ikke aldeles hjelpeløs? Er ikke all utsikt til frelse fratatt mig?
14 Kwa mtu ambaye yu karibu kuzirai, inapasa uaminifu uonyeshwe na rafiki zake; hata kwake yeye aachaye kumcha Mwenyezi.
Den ulykkelige burde møte kjærlighet hos sin venn, selv om han opgir frykten for den Allmektige.
15 Lakini ndugu zangu wamekuwa waaminifu kwangu kama mkondo wa maji jangwani, mfano wa mifereji ya maji ipitayo mpaka pasipo kitu,
Men mine brødre har sviktet som en bekk, som strømmer hvis vann skyller over,
16 ambayo imekuwa mieusi kwa sababu ya barafu juu yake, na kwa sababu ya theluji ambayo hujificha yenyewe ndani yake.
som er grumset av is, og som det skjuler sig sne i;
17 Wakati zikiyeyuka, hutoweka; kukiwa na joto, hutoweka mahali hapo.
men på den tid de treffes av solens glød, tørkes de ut; når det blir hett, svinner de bort.
18 Misafara ambayo husafiri kwa njia yao hugeuka na maji; huzurura jangwani na kisha hupotea.
Karavaner som er på veien til dem, bøier av; de drar op i ørkenen og omkommer.
19 Misafara kutoka Tema huitazama, wakati majeshi ya Sheba huitarajia.
Temas karavaner speidet efter dem, Sjebas reisefølger satte sitt håp til dem;
20 Wamevunjika moyo kwa sababu walitumaini kupata maji. Wakaenda huko, lakini walidanganywa.
de blev til skamme, fordi de stolte på dem; de kom dit og blev skuffet.
21 Kwa sasa ninyi rafiki si kitu kwangu; mmeona hali yangu ya kutisha nanyi mwaogopa.
Således er I nu blitt til intet; I ser ulykken og blir redde.
22 Je nilisema kwenu, 'Nipeni kitu furani?' Au, 'nitoleeni zawadi katika mali zenu?'
Har jeg vel bedt eder at I skulde gi mig noget eller bruke noget av eders gods til beste for mig,
23 Au, 'Niokoeni toka mkononi mwa mtesi wangu?' Au, 'Nitoleeni fidia kwa watesi wangu?'
at I skulde frelse mig av fiendens hånd og løskjøpe mig fra voldsmenn?
24 Nifundishe, nami nitaishika amani yangu; nifanye nifahamu wapi nilipokosea.
Lær mig, så skal jeg tie, og vis mig hvori jeg har faret vill!
25 Jinsi gani maneno ya kweli yanavyo umiza! Lakini hoja zenu, jee hasa zimenionya nini mimi?
Hvor kraftige er ikke rettsindige ord! Men hvad gagn er det i en refselse fra eder?
26 Je mnapanga kuyakemea maneno yangu, mnayachukulia maneno ya mtu mwenye kukata tamaa sawa na upepo?
Tenker I på å refse ord? Ord av en fortvilet mann hører jo vinden til.
27 Hasa, mna piga kura kwa ajili ya yatima, na kupatana bei juu ya rafiki yenu kama bidhaa.
Endog om en farløs kunde I kaste lodd og kjøpslå om eders venn.
28 Sasa, kwa sababu hiyo, tafadhari nitazame, kwa hakika sitasema uongo usoni penu.
Men gjør nu så vel å se på mig! Skulde jeg vel ville lyve eder midt op i ansiktet?
29 Rudini, nawasihi; lisiwepo neno la uonevu na nyinyi; Hasa, rudini, sababu zangu ni za haki.
Vend om, la det ikke skje urett! Vend om, jeg har ennu rett i dette.
30 Je mna uovu ulimini mwangu? Je kinywa changu hakiwezi kungundua madhara?
Er det urett på min tunge, eller skulde min gane ikke merke hvad som er ondt?