< Ayubu 6 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Respondens autem Iob, dixit:
2 “Oo, laiti maumivu yangu makubwa yangepimwa; laiti misiba yangu yote mikubwa ingewekwa kwenye mizani!
Utinam appenderentur peccata mea, quibus iram merui: et calamitas, quam patior, in statera.
3 Kwa kuwa sasa ungekuwa mzito kuliko mchanga wa baharini. Kwa sababu hiyo maneno yangu yamekuwa ya haraka.
Quasi arena maris haec gravior appareret: unde et verba mea dolore sunt plena:
4 Kwa kuwa mishale ya Mwenyezi ipo ndani yangu, moyo wangu umelewa sumu; Vitisho vya Mungu vimejipanga vyenyewe dhidi yangu.
Quia sagittae Domini in me sunt, quarum indignatio ebibit spiritum meum, et terrores Domini militant contra me.
5 Je punda mwitu hulia akiwa na malisho? Au ng'ombe huwa dhaifu wakati wa njaa ambapo anachakula?
Numquid rugiet onager cum habuerit herbam? aut mugiet bos cum ante praesepe plenum steterit?
6 Je inawezekana kitu kisicho na ladha kulika bila chumvi? Au kuna radha yoyote katika ute mweupe wa yai?
Aut poterit comedi insulsum, quod non est sale conditum? aut potest aliquis gustare, quod gustatum affert mortem?
7 Nakataa kuvigusa; kwangu mimi vinafanana na chakula kichukizacho.
Quae prius nolebat tangere anima mea, nunc prae angustia, cibi mei sunt.
8 Oo, kama nigeweza kupata haja yangu; oo, kama Mungu angeridhia jambo nilitamanilo sana:
Quis det ut veniat petitio mea: et quod expecto, tribuat mihi Deus?
9 kama Mungu ingempendeza kuniangamiza mara moja, kwamba angeulegeza mkono wake na kuyakatilia mbali maisha yangu!
Et qui coepit, ipse me conterat: solvat manum suam, et succidat me?
10 Hii ingeweza kuwa faraja yangu hata sasa - hata kama nafurahia sana maumivu yasiyopungua: kwa kuwa sikuyakana maneno yake Mtakatifu.
Et haec mihi sit consolatio ut affligens me dolore, non parcat, nec contradicam sermonibus Sancti.
11 Nguvu yangu ni ipi, hata nijaribu kusubiri? Mwisho wangu ni upi, utakao refusha maisha yangu?
Quae est enim fortitudo mea ut sustineam? aut quis finis meus, ut patienter agam?
12 Je nguvu zangu ni nguvu za mawe? Au mwili wangu umeumbwa kwa shaba nyeusi?
Nec fortitudo lapidum fortitudo mea, nec caro mea aenea est.
13 Je si kweli kwamba sina msaada ndani yangu, na kwamba hekima imeondolewa mbali nami?
Ecce, non est auxilium mihi in me, et necessarii quoque mei recesserunt a me.
14 Kwa mtu ambaye yu karibu kuzirai, inapasa uaminifu uonyeshwe na rafiki zake; hata kwake yeye aachaye kumcha Mwenyezi.
Qui tollit ab amico suo misericordiam, timorem Domini derelinquit.
15 Lakini ndugu zangu wamekuwa waaminifu kwangu kama mkondo wa maji jangwani, mfano wa mifereji ya maji ipitayo mpaka pasipo kitu,
Fratres mei praeterierunt me, sicut torrens qui raptim transit in convallibus.
16 ambayo imekuwa mieusi kwa sababu ya barafu juu yake, na kwa sababu ya theluji ambayo hujificha yenyewe ndani yake.
Qui timent pruinam, irruet super eos nix.
17 Wakati zikiyeyuka, hutoweka; kukiwa na joto, hutoweka mahali hapo.
Tempore, quo fuerint dissipati, peribunt: et ut incaluerint, solventur de loco suo.
18 Misafara ambayo husafiri kwa njia yao hugeuka na maji; huzurura jangwani na kisha hupotea.
Involutae sunt semitae gressuum eorum: ambulabunt in vacuum, et peribunt.
19 Misafara kutoka Tema huitazama, wakati majeshi ya Sheba huitarajia.
Considerate semitas Thema, itinera Saba, et expectate paulisper.
20 Wamevunjika moyo kwa sababu walitumaini kupata maji. Wakaenda huko, lakini walidanganywa.
Confusi sunt, quia speravi: venerunt quoque usque ad me, et pudore cooperti sunt.
21 Kwa sasa ninyi rafiki si kitu kwangu; mmeona hali yangu ya kutisha nanyi mwaogopa.
Nunc venistis: et modo videntes plagam meam timetis.
22 Je nilisema kwenu, 'Nipeni kitu furani?' Au, 'nitoleeni zawadi katika mali zenu?'
Numquid dixi: Afferte mihi, et de substantia vestra donate mihi?
23 Au, 'Niokoeni toka mkononi mwa mtesi wangu?' Au, 'Nitoleeni fidia kwa watesi wangu?'
Vel, Liberate me de manu hostis, et de manu robustorum eruite me?
24 Nifundishe, nami nitaishika amani yangu; nifanye nifahamu wapi nilipokosea.
Docete me, et ego tacebo: et siquid forte ignoravi, instruite me.
25 Jinsi gani maneno ya kweli yanavyo umiza! Lakini hoja zenu, jee hasa zimenionya nini mimi?
Quare detraxistis sermonibus veritatis, cum e vobis nullus sit qui possit arguere me?
26 Je mnapanga kuyakemea maneno yangu, mnayachukulia maneno ya mtu mwenye kukata tamaa sawa na upepo?
Ad increpandum tantum eloquia concinnatis, et in ventum verba profertis.
27 Hasa, mna piga kura kwa ajili ya yatima, na kupatana bei juu ya rafiki yenu kama bidhaa.
Super pupillum irruitis, et subvertere nitimini amicum vestrum.
28 Sasa, kwa sababu hiyo, tafadhari nitazame, kwa hakika sitasema uongo usoni penu.
Verumtamen quod coepistis explete: praebete aurem, et videte an mentiar.
29 Rudini, nawasihi; lisiwepo neno la uonevu na nyinyi; Hasa, rudini, sababu zangu ni za haki.
Respondete obsecro absque contentione: et loquentes id quod iustum est, iudicate.
30 Je mna uovu ulimini mwangu? Je kinywa changu hakiwezi kungundua madhara?
Et non invenietis in lingua mea iniquitatem, nec in faucibus meis stultitia personabit.

< Ayubu 6 >