< Ayubu 6 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Allora Giobbe rispose:
2 “Oo, laiti maumivu yangu makubwa yangepimwa; laiti misiba yangu yote mikubwa ingewekwa kwenye mizani!
Se ben si pesasse il mio cruccio e sulla stessa bilancia si ponesse la mia sventura...
3 Kwa kuwa sasa ungekuwa mzito kuliko mchanga wa baharini. Kwa sababu hiyo maneno yangu yamekuwa ya haraka.
certo sarebbe più pesante della sabbia del mare! Per questo temerarie sono state le mie parole,
4 Kwa kuwa mishale ya Mwenyezi ipo ndani yangu, moyo wangu umelewa sumu; Vitisho vya Mungu vimejipanga vyenyewe dhidi yangu.
perché le saette dell'Onnipotente mi stanno infitte, sì che il mio spirito ne beve il veleno e terrori immani mi si schierano contro!
5 Je punda mwitu hulia akiwa na malisho? Au ng'ombe huwa dhaifu wakati wa njaa ambapo anachakula?
Raglia forse il somaro con l'erba davanti o muggisce il bue sopra il suo foraggio?
6 Je inawezekana kitu kisicho na ladha kulika bila chumvi? Au kuna radha yoyote katika ute mweupe wa yai?
Si mangia forse un cibo insipido, senza sale? O che gusto c'è nell'acqua di malva?
7 Nakataa kuvigusa; kwangu mimi vinafanana na chakula kichukizacho.
Ciò che io ricusavo di toccare questo è il ributtante mio cibo!
8 Oo, kama nigeweza kupata haja yangu; oo, kama Mungu angeridhia jambo nilitamanilo sana:
Oh, mi accadesse quello che invoco, e Dio mi concedesse quello che spero!
9 kama Mungu ingempendeza kuniangamiza mara moja, kwamba angeulegeza mkono wake na kuyakatilia mbali maisha yangu!
Volesse Dio schiacciarmi, stendere la mano e sopprimermi!
10 Hii ingeweza kuwa faraja yangu hata sasa - hata kama nafurahia sana maumivu yasiyopungua: kwa kuwa sikuyakana maneno yake Mtakatifu.
Ciò sarebbe per me un qualche conforto e gioirei, pur nell'angoscia senza pietà, per non aver rinnegato i decreti del Santo.
11 Nguvu yangu ni ipi, hata nijaribu kusubiri? Mwisho wangu ni upi, utakao refusha maisha yangu?
Qual la mia forza, perché io possa durare, o qual la mia fine, perché prolunghi la vita?
12 Je nguvu zangu ni nguvu za mawe? Au mwili wangu umeumbwa kwa shaba nyeusi?
La mia forza è forza di macigni? La mia carne è forse di bronzo?
13 Je si kweli kwamba sina msaada ndani yangu, na kwamba hekima imeondolewa mbali nami?
Non v'è proprio aiuto per me? Ogni soccorso mi è precluso?
14 Kwa mtu ambaye yu karibu kuzirai, inapasa uaminifu uonyeshwe na rafiki zake; hata kwake yeye aachaye kumcha Mwenyezi.
A chi è sfinito è dovuta pietà dagli amici, anche se ha abbandonato il timore di Dio.
15 Lakini ndugu zangu wamekuwa waaminifu kwangu kama mkondo wa maji jangwani, mfano wa mifereji ya maji ipitayo mpaka pasipo kitu,
I miei fratelli mi hanno deluso come un torrente, sono dileguati come i torrenti delle valli,
16 ambayo imekuwa mieusi kwa sababu ya barafu juu yake, na kwa sababu ya theluji ambayo hujificha yenyewe ndani yake.
i quali sono torbidi per lo sgelo, si gonfiano allo sciogliersi della neve,
17 Wakati zikiyeyuka, hutoweka; kukiwa na joto, hutoweka mahali hapo.
ma al tempo della siccità svaniscono e all'arsura scompaiono dai loro letti.
18 Misafara ambayo husafiri kwa njia yao hugeuka na maji; huzurura jangwani na kisha hupotea.
Deviano dalle loro piste le carovane, avanzano nel deserto e vi si perdono;
19 Misafara kutoka Tema huitazama, wakati majeshi ya Sheba huitarajia.
le carovane di Tema guardano là, i viandanti di Saba sperano in essi:
20 Wamevunjika moyo kwa sababu walitumaini kupata maji. Wakaenda huko, lakini walidanganywa.
ma rimangono delusi d'avere sperato, giunti fin là, ne restano confusi.
21 Kwa sasa ninyi rafiki si kitu kwangu; mmeona hali yangu ya kutisha nanyi mwaogopa.
Così ora voi siete per me: vedete che faccio orrore e vi prende paura.
22 Je nilisema kwenu, 'Nipeni kitu furani?' Au, 'nitoleeni zawadi katika mali zenu?'
Vi ho detto forse: «Datemi qualcosa» o «dei vostri beni fatemi un regalo»
23 Au, 'Niokoeni toka mkononi mwa mtesi wangu?' Au, 'Nitoleeni fidia kwa watesi wangu?'
o «liberatemi dalle mani di un nemico» o «dalle mani dei violenti riscattatemi»?
24 Nifundishe, nami nitaishika amani yangu; nifanye nifahamu wapi nilipokosea.
Istruitemi e allora io tacerò, fatemi conoscere in che cosa ho sbagliato.
25 Jinsi gani maneno ya kweli yanavyo umiza! Lakini hoja zenu, jee hasa zimenionya nini mimi?
Che hanno di offensivo le giuste parole? Ma che cosa dimostra la prova che viene da voi?
26 Je mnapanga kuyakemea maneno yangu, mnayachukulia maneno ya mtu mwenye kukata tamaa sawa na upepo?
Forse voi pensate a confutare parole, e come sparsi al vento stimate i detti di un disperato!
27 Hasa, mna piga kura kwa ajili ya yatima, na kupatana bei juu ya rafiki yenu kama bidhaa.
Anche sull'orfano gettereste la sorte e a un vostro amico scavereste la fossa.
28 Sasa, kwa sababu hiyo, tafadhari nitazame, kwa hakika sitasema uongo usoni penu.
Ma ora degnatevi di volgervi verso di me: davanti a voi non mentirò.
29 Rudini, nawasihi; lisiwepo neno la uonevu na nyinyi; Hasa, rudini, sababu zangu ni za haki.
Su, ricredetevi: non siate ingiusti! Ricredetevi; la mia giustizia è ancora qui!
30 Je mna uovu ulimini mwangu? Je kinywa changu hakiwezi kungundua madhara?
C'è forse iniquità sulla mia lingua o il mio palato non distingue più le sventure?

< Ayubu 6 >