< Ayubu 5 >

1 Ita sasa; je kuna yeyote ambaye atakujibu? Utamrudia yupi katika watakatifu hao?
Zovi; hoæe li ti se ko odazvati? i komu æeš se izmeðu svetijeh obratiti?
2 Kwa kuwa hasira huua mtu mpumbavu; wivu huua mjinga.
Doista bezumnoga ubija gnjev, i ludoga usmræuje srdnja.
3 Nimemuona mtu mpumbavu akishika mzizi, lakini ghafla niliyalaani makazi yake.
Ja vidjeh bezumnika gdje se ukorijenio; ali odmah prokleh stan njegov.
4 Watoto wake wako mbali na uzima; wameangamia langoni mwa mji. Hakuna yeyote atakaye waponya.
Sinovi su njegovi daleko od spasenja i satiru se na vratima a nema ko da izbavi.
5 Mwenye njaa hula mavuno yao; hata huyachukua katikati ya miiba. Wenye kiu huzihemea mali zao.
Ljetinu njegovu jede gladni i ispred trnja kupi je, i lupež ždere blago njihovo.
6 Kwa kuwa magumu hayatoki udongoni; wala taabu haichipuki katika nchi.
Jer muka ne izlazi iz praha niti nevolja iz zemlje nièe.
7 Badala yake, wanadamu huzaliwa kwaajili ya taabu, kama tu cheche za moto zirukavyo juu.
Nego se èovjek raða na nevolju, kao što iskre iz ugljevlja uzlijeæu u vis.
8 Lakini kwa mimi, ningemrudia Mungu mwenyewe; kwake ningeaminisha kusudi langu -
Ali ja bih Boga tražio, i pred Boga bih iznio stvar svoju,
9 yeye afanyae makuu na mambo yasiyochunguzika, mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.
Koji èini stvari velike i neispitljive, divne, kojima nema broja;
10 Hutoa mvua juu ya nchi, na huyapeleka maji mashambani.
Koji spušta dažd na zemlju i šalje vodu na polja;
11 Hufanya haya kwaajili ya kuwainua juu hao walio chini; huwapandisha sehemu salama hao waombolezao.
Koji podiže ponižene, i žalosne uzvišuje k spasenju;
12 Yeye huharibu mipango ya watu wenye hila, ili mikono yao isipate mafanikio.
Koji rasipa misli lukavijeh da ruke njihove ne svrše ništa;
13 Yeye huwanasa watu wenye hekima katika matendo ya hila zao wenyewe; mipango ya watu waliogeuzwa huharibika haraka.
Koji hvata mudre u njihovu lukavstvu, i namjeru opakih obara;
14 Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, na hupapasa mchana kama vile ni usiku.
Danju nailaze na mrak, i u podne pipaju kao po noæi.
15 Lakini yeye huokoa maskini kwa upanga wa vinywa vyao na mhitaji kwa mkono wa mtu mwenye nguvu.
On izbavlja ubogoga od maèa, od usta njihovijeh i od ruke silnoga.
16 Hivyo mtu maskini ana matumaini, na udhalimu hufumba kinywa chake mwenyewe.
Tako ima nadanja siromahu, a zloæa zatiskuje usta svoja.
17 Tazama, amebarikiwa mtu ambaye hutiwa adabu na Mungu; kwa sababu hiyo, usidharau uongozi wa Mwenyezi.
Gle, blago èovjeku koga Bog kara; i zato ne odbacuj karanja svemoguæega.
18 Kwa kuwa yeye hujeruhi na kisha huuguza; yeye hutia jeraha na kisha mikono yake huponya.
Jer on zadaje rane, i zavija; on udara, i ruke njegove iscjeljuju.
19 Yeye atakuokoa na mateso sita; kweli, katika mateso saba, hakuna uovu utakao kugusa.
Iz šest nevolja izbaviæe te; ni u sedmoj neæe te se zlo dotaæi.
20 Wakati wa njaa atakukomboa na kifo, na kwa uwezo wa upanga wakati wa vita.
U gladi izbaviæe te od smrti i u ratu od maèa.
21 Wewe utafichwa na mateso ya ulimi; na usitishike na uharibifu utakapokuja.
Kad jezik šiba, biæeš sakriven, niti æeš se bojati pustoši kad doðe.
22 Wewe utaufurahia uharibifu na njaa, na hutatishika na wanyama wakali wa nchi.
Smijaæeš se pustoši i gladi, niti æeš se bojati zvijerja zemaljskoga.
23 Kwa kuwa wewe utakuwa na mapatano na mawe ya shambani mwako, na wanyama wa mwituni watakuwa na amani na wewe.
Jer æeš s kamenjem poljskim biti u vjeri, i zvijerje æe poljsko biti u miru s tobom.
24 Wewe utajua kwamba hema lako lina usalama; utatembelea zizi la kondoo wako na hutakosa kitu chochote.
I vidjeæeš da je mir u šatoru tvom, kuæiæeš kuæu svoju i neæeš se prevariti.
25 Pia utafahamu kwamba uzao wako utakuwa mwingi, na vizazi vyako vitakuwa kama nyasi ardhini.
Vidjeæeš kako æe ti se umnožiti sjeme tvoje, i porod æe tvoj biti kao trava na zemlji.
26 Wewe utafika kaburini kwako mwenye umri kamili, kama vile rundo la mashuke ya nafaka liendavyo juu wakati wake.
Star æeš otiæi u grob kao što se žito snosi u stog u svoje vrijeme.
27 Tazama, tumelipeleleza jambo hili; ndivyo lilivyo; lisikie, na ulifahamu kwa ajili yako mwenyewe.”
Eto, razgledasmo to, tako je; poslušaj i razumij.

< Ayubu 5 >