< Ayubu 5 >

1 Ita sasa; je kuna yeyote ambaye atakujibu? Utamrudia yupi katika watakatifu hao?
Ded zazivlji! Zar će ti se tko odazvat'? Kojem li se svecu misliš sad obratit'?
2 Kwa kuwa hasira huua mtu mpumbavu; wivu huua mjinga.
Doista, budalu njegov bijes ubija, luđaka će sasvim skončat ljubomora.
3 Nimemuona mtu mpumbavu akishika mzizi, lakini ghafla niliyalaani makazi yake.
Bezumnika vidjeh kako korijen pušta, al' prokletstvo skoro na kuću mu pade.
4 Watoto wake wako mbali na uzima; wameangamia langoni mwa mji. Hakuna yeyote atakaye waponya.
Njegovi su sinci daleko od spasa, njih nezaštićene na Vratima tlače.
5 Mwenye njaa hula mavuno yao; hata huyachukua katikati ya miiba. Wenye kiu huzihemea mali zao.
Ljetinu njihovu pojedoše gladni, sam Bog ju je njima oteo iz usta, a žedni hlepe za njihovim dobrima.
6 Kwa kuwa magumu hayatoki udongoni; wala taabu haichipuki katika nchi.
Ne, opačina ne izbija iz zemlje, nit' nevolja iz tla može nići sama,
7 Badala yake, wanadamu huzaliwa kwaajili ya taabu, kama tu cheche za moto zirukavyo juu.
nego čovjek rađa muku i nevolju kao što let orlov teži u visinu.
8 Lakini kwa mimi, ningemrudia Mungu mwenyewe; kwake ningeaminisha kusudi langu -
Al' ja bih se ipak Bogu utekao i pred njime stvar bih svoju razložio.
9 yeye afanyae makuu na mambo yasiyochunguzika, mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.
Nedokučiva on djela silna stvori, čudesa koja se izbrojit' ne mogu.
10 Hutoa mvua juu ya nchi, na huyapeleka maji mashambani.
On kišom rosi po svem licu zemljinu i vodu šalje da nam polja natapa.
11 Hufanya haya kwaajili ya kuwainua juu hao walio chini; huwapandisha sehemu salama hao waombolezao.
Da bi ponižene visoko digao, da bi ojađene srećom obdario,
12 Yeye huharibu mipango ya watu wenye hila, ili mikono yao isipate mafanikio.
redom ruši ono što lukavci smisle, što god započeli, on im izjalovi.
13 Yeye huwanasa watu wenye hekima katika matendo ya hila zao wenyewe; mipango ya watu waliogeuzwa huharibika haraka.
On hvata mudre u njihovu lukavstvu, naume spletkara obraća u ništa.
14 Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, na hupapasa mchana kama vile ni usiku.
Posred bijela dana zapadnu u tamu, pipaju u podne kao usred noći.
15 Lakini yeye huokoa maskini kwa upanga wa vinywa vyao na mhitaji kwa mkono wa mtu mwenye nguvu.
On iz njinih ralja izbavlja jadnika, iz silničkih ruku diže siromaha.
16 Hivyo mtu maskini ana matumaini, na udhalimu hufumba kinywa chake mwenyewe.
Tako se pokaže nada nevoljniku, i nepravda mora zatvoriti usta.
17 Tazama, amebarikiwa mtu ambaye hutiwa adabu na Mungu; kwa sababu hiyo, usidharau uongozi wa Mwenyezi.
Da, blago čovjeku koga Bog odbaci! Stoga ti ne prezri karanje Svesilnog!
18 Kwa kuwa yeye hujeruhi na kisha huuguza; yeye hutia jeraha na kisha mikono yake huponya.
On ranjava, ali i ranu povija, udara i svojom zacjeljuje rukom.
19 Yeye atakuokoa na mateso sita; kweli, katika mateso saba, hakuna uovu utakao kugusa.
Iz šest će nevolja tebe izbaviti, ni u sedmoj zlo te dotaknuti neće.
20 Wakati wa njaa atakukomboa na kifo, na kwa uwezo wa upanga wakati wa vita.
U gladi, od smrti on će te spasiti, a u ratu, oštru će te otet maču.
21 Wewe utafichwa na mateso ya ulimi; na usitishike na uharibifu utakapokuja.
Biču zla jezika uklonit će tebe, ispred otimača bez straha ćeš biti.
22 Wewe utaufurahia uharibifu na njaa, na hutatishika na wanyama wakali wa nchi.
Suši i studeni ti ćeš se smijati i od divljih zvijeri strahovati nećeš.
23 Kwa kuwa wewe utakuwa na mapatano na mawe ya shambani mwako, na wanyama wa mwituni watakuwa na amani na wewe.
Sklopit' ti ćeš savez s kamenjem na njivi, zvjerad divlja s tobom u miru će biti.
24 Wewe utajua kwamba hema lako lina usalama; utatembelea zizi la kondoo wako na hutakosa kitu chochote.
U šatoru svome mir ćeš uživati, dom svoj kad pohodiš netaknut će stajat.
25 Pia utafahamu kwamba uzao wako utakuwa mwingi, na vizazi vyako vitakuwa kama nyasi ardhini.
Koljeno ćeš svoje gledat' gdje se množi i potomstvo gdje ti kao trava raste.
26 Wewe utafika kaburini kwako mwenye umri kamili, kama vile rundo la mashuke ya nafaka liendavyo juu wakati wake.
U grob ti ćeš leći kada budeš zreo, kao što se žito snosi kad dozori.
27 Tazama, tumelipeleleza jambo hili; ndivyo lilivyo; lisikie, na ulifahamu kwa ajili yako mwenyewe.”
Sve motrismo ovo: istina je živa! zato sve za dobro svoje ti poslušaj.”

< Ayubu 5 >