< Ayubu 5 >
1 Ita sasa; je kuna yeyote ambaye atakujibu? Utamrudia yupi katika watakatifu hao?
你且呼求,有誰答應你? 諸聖者之中,你轉向哪一位呢?
2 Kwa kuwa hasira huua mtu mpumbavu; wivu huua mjinga.
忿怒害死愚妄人; 嫉妒殺死癡迷人。
3 Nimemuona mtu mpumbavu akishika mzizi, lakini ghafla niliyalaani makazi yake.
我曾見愚妄人扎下根, 但我忽然咒詛他的住處。
4 Watoto wake wako mbali na uzima; wameangamia langoni mwa mji. Hakuna yeyote atakaye waponya.
他的兒女遠離穩妥的地步, 在城門口被壓,並無人搭救。
5 Mwenye njaa hula mavuno yao; hata huyachukua katikati ya miiba. Wenye kiu huzihemea mali zao.
他的莊稼有飢餓的人吃盡了, 就是在荊棘裏的也搶去了; 他的財寶有網羅張口吞滅了。
6 Kwa kuwa magumu hayatoki udongoni; wala taabu haichipuki katika nchi.
禍患原不是從土中出來; 患難也不是從地裏發生。
7 Badala yake, wanadamu huzaliwa kwaajili ya taabu, kama tu cheche za moto zirukavyo juu.
人生在世必遇患難, 如同火星飛騰。
8 Lakini kwa mimi, ningemrudia Mungu mwenyewe; kwake ningeaminisha kusudi langu -
至於我,我必仰望上帝, 把我的事情託付他。
9 yeye afanyae makuu na mambo yasiyochunguzika, mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.
他行大事不可測度, 行奇事不可勝數:
10 Hutoa mvua juu ya nchi, na huyapeleka maji mashambani.
降雨在地上, 賜水於田裏;
11 Hufanya haya kwaajili ya kuwainua juu hao walio chini; huwapandisha sehemu salama hao waombolezao.
將卑微的安置在高處, 將哀痛的舉到穩妥之地;
12 Yeye huharibu mipango ya watu wenye hila, ili mikono yao isipate mafanikio.
破壞狡猾人的計謀, 使他們所謀的不得成就。
13 Yeye huwanasa watu wenye hekima katika matendo ya hila zao wenyewe; mipango ya watu waliogeuzwa huharibika haraka.
他叫有智慧的中了自己的詭計, 使狡詐人的計謀速速滅亡。
14 Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, na hupapasa mchana kama vile ni usiku.
他們白晝遇見黑暗, 午間摸索如在夜間。
15 Lakini yeye huokoa maskini kwa upanga wa vinywa vyao na mhitaji kwa mkono wa mtu mwenye nguvu.
上帝拯救窮乏人 脫離他們口中的刀和強暴人的手。
16 Hivyo mtu maskini ana matumaini, na udhalimu hufumba kinywa chake mwenyewe.
這樣,貧寒的人有指望, 罪孽之輩必塞口無言。
17 Tazama, amebarikiwa mtu ambaye hutiwa adabu na Mungu; kwa sababu hiyo, usidharau uongozi wa Mwenyezi.
上帝所懲治的人是有福的! 所以你不可輕看全能者的管教。
18 Kwa kuwa yeye hujeruhi na kisha huuguza; yeye hutia jeraha na kisha mikono yake huponya.
因為他打破,又纏裹; 他擊傷,用手醫治。
19 Yeye atakuokoa na mateso sita; kweli, katika mateso saba, hakuna uovu utakao kugusa.
你六次遭難,他必救你; 就是七次,災禍也無法害你。
20 Wakati wa njaa atakukomboa na kifo, na kwa uwezo wa upanga wakati wa vita.
在饑荒中,他必救你脫離死亡; 在爭戰中,他必救你脫離刀劍的權力。
21 Wewe utafichwa na mateso ya ulimi; na usitishike na uharibifu utakapokuja.
你必被隱藏,不受口舌之害; 災殃臨到,你也不懼怕。
22 Wewe utaufurahia uharibifu na njaa, na hutatishika na wanyama wakali wa nchi.
你遇見災害饑饉,就必嬉笑; 地上的野獸,你也不懼怕。
23 Kwa kuwa wewe utakuwa na mapatano na mawe ya shambani mwako, na wanyama wa mwituni watakuwa na amani na wewe.
因為你必與田間的石頭立約; 田裏的野獸也必與你和好。
24 Wewe utajua kwamba hema lako lina usalama; utatembelea zizi la kondoo wako na hutakosa kitu chochote.
你必知道你帳棚平安, 要查看你的羊圈,一無所失;
25 Pia utafahamu kwamba uzao wako utakuwa mwingi, na vizazi vyako vitakuwa kama nyasi ardhini.
也必知道你的後裔將來發達, 你的子孫像地上的青草。
26 Wewe utafika kaburini kwako mwenye umri kamili, kama vile rundo la mashuke ya nafaka liendavyo juu wakati wake.
你必壽高年邁才歸墳墓, 好像禾捆到時收藏。
27 Tazama, tumelipeleleza jambo hili; ndivyo lilivyo; lisikie, na ulifahamu kwa ajili yako mwenyewe.”
這理,我們已經考察,本是如此。 你須要聽,要知道是與自己有益。