< Ayubu 41 >

1 Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
Чи левіята́на потя́гнеш гачко́м, і йому язика стягнеш шну́ром?
2 Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
Чи очерети́ну вкладеш йому в ні́здря, чи терни́ною що́ку йому продіра́виш?
3 Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
Чи він бу́де багато благати тебе, чи бу́де тобі говорити лагі́дне?
4 Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
Чи складе він умову з тобою, і ти ві́зьмеш його за раба собі вічного?
5 Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
Чи ним ба́витись будеш, як пта́хом, і прив'яжеш його для дівча́ток своїх?
6 Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
Чи ним спільники́ торгува́тимуть, чи поділять його між купців -ханане́їв?
7 Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
Чи шпилька́ми проко́лиш ти шкіру його, а остро́гою ри́б'ячою — його го́лову?
8 Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
Поклади ж свою ру́ку на нього, й згадай про війну, — і більше того не чини!
9 Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
Тож наді́я твоя неправдива, — на сам ви́гляд його упаде́ш.
10 Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
Нема смільчака́, щоб його він збудив, — а хто ж перед обличчям Моїм зможе стати?
11 Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
Хто ви́йде навпроти Мене́ — й буде ці́лий? Що під небом усім — це Моє!
12 Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
Не буду мовчати про чле́ни його, про стан його сили й красу́ його складу.
13 Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
Хто відкриє пове́рхню одежі його? Хто піді́йде коли до двійни́х його ще́лепів?
14 Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
Двері обличчя його хто відчи́нить? Навко́ло зубів його жах!
15 Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
Його спи́на — канали щитів, поє́днання їх — крем'яна́я печать.
16 Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
Одне до одно́го дохо́дить, а вітер між ними не про́йде.
17 Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
Одне до одно́го притве́рджені, сполучені, і не відді́ляться.
18 Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
Його чха́ння засвічує світло, а очі його — як пові́ки зорі́ світово́ї!
19 Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
Бу́хає по́лум'я з па́щі його, вириваються і́скри огне́нні!
20 Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
Із ні́здер його валить дим, немов з то́го горшка, що кипить та біжить.
21 Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
Його по́дих розпалює ву́гіль, і бу́хає по́лум'я з па́щі його.
22 Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
Сила ночує на шиї його, а страх перед ним утікає.
23 Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
М'ясо нутра́ його міцно тримається, — воно в ньому тверде́, не хитається.
24 Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
Його серце, мов з каменя вилите, і тверде́, як те долішнє жо́рно!
25 Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
Як підво́диться він, перелякуються силачі́, та й ховаються з жа́ху.
26 Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
Той меч, що дося́гне його, не встої́ть, ані спис, ані ра́тище й па́нцер.
27 Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
За солому залізо вважає, а мідь — за гнилу́ дереви́ну!
28 Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
Син лука, стріла, не приму́сит увтікати його, камі́ння із пра́щі для нього зміняється в сіно.
29 Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
Булаву́ уважає він за соломи́нку, і сміється із по́свисту ра́тища.
30 Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
Під ним гостре чере́п'я, — лягає на го́стре, немов у болото.
31 Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
Чинить він, що кипить глибочі́нь, мов горня́, і обе́ртає море в окрі́п.
32 Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
Стежка світить за ним, а безо́дня здається йому́ сиви́ною.
33 Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
Немає подоби йому на землі, він безстрашним створений,
34 Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”
він бачить усе, що висо́ке, він цар над усім пишним зві́р'ям!“

< Ayubu 41 >