< Ayubu 41 >

1 Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
Kan du draga Leviathan med en krok, och fatta hans tungo med ett snöre?
2 Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
Kan du sätta honom en ring i näsona, och borra honom hans kindben igenom med en syl?
3 Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
Menar du, att han skall mycket bedjas före, eller smeka dig?
4 Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
Menar du, att du kan göra ett förbund med honom, att du må hafva honom till en träl evinnerliga?
5 Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
Kan du spela med honom såsom med en fogel; eller binda honom dinom pigom?
6 Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
Menar du, att sällskapet skola skära honom sönder, att han blifver utdelad ibland köpmännerna?
7 Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
Kan du fylla ena not med hans hud, och någon fiskaryssjo med hans hufvud?
8 Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
När du kommer dina hand vid honom, så kom ihåg, att det en strid är, den du icke uthålla kan.
9 Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
Si, hans hopp skall fela honom, och han skall uppenbarligen fördrifven varda.
10 Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
Ingen är så dristig, att han honom uppväcka tör. Ho är då den, som för mig bestå kan?
11 Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
Ho hafver något gifvit mig tillförene, att jag må honom det vedergälla? Mitt är allt det under hela himmelen är.
12 Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
Jag vill icke förtiga hans kraft; ej heller hans magt, eller huru välskapad han är.
13 Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
Ho kan upptäcka honom hans kläde? Eller ho tör vågat, att fatta honom i tänderna?
14 Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
Ho kan öppna hans anletes kindben? Förskräckeliga stå hans tänder allt omkring.
15 Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
Hans fjäll äro lika som sköldar, sammanfäste hvar i annan.
16 Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
Det ena hänger in i det andra, så att vädret icke går deremellan;
17 Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
Det hänger hvar i annan, och hålla sig tillsammans, så att de icke kunna skiljas åt.
18 Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
Hans njusande är såsom ett glimmande ljus; hans ögon äro såsom morgonrodnans ögnahvarf.
19 Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
Utaf hans mun fara bloss och eldbrandar.
20 Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
Utaf hans näso går rök, såsom utaf heta grytor och kettlar.
21 Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
Hans ande är glödande kol, och utu hans mun går låge.
22 Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
Han hafver en starkan hals, och det är honom lust, då han något förderfvar.
23 Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
Hans kötts ledamot hänga vid hvartannat; de äro faste i honom, att han icke rörd varder.
24 Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
Hans hjerta är hårdt såsom sten, och så fast som ett stycke af understenen i qvarnene.
25 Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
När han reser sig, förfära sig de starke; och när han får dem fatt, är der ingen nåde.
26 Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
Om man vill till honom med svärd, så rörer han sig intet; eller med spets, skott och harnesk.
27 Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
Han aktar jern såsom strå, och koppar såsom ruttet trä.
28 Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
Ingen skytte förjagar honom; slungostenar äro honom såsom agnar.
29 Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
Hammaren aktar han såsom strå; han bespottar de bäfvande spetsar.
30 Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
Han kan ligga på skarpt grus; han lägger sig uppå det skarpt är, såsom på dyngo.
31 Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
Han gör, att djupa hafvet sjuder såsom en gryta, och rörer det ihop, såsom man blandar ena salvo.
32 Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
Efter honom är vägen ljus; djupet aktar han såsom en gamlan gråhårotan.
33 Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
På jordene kan ingen liknas honom; han är gjord till att vara utan fruktan.
34 Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”
Han föraktar allt det högt är; han är Konung öfver alla högmodiga.

< Ayubu 41 >