< Ayubu 41 >

1 Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
Boni, okoki koloba ngando na ndobo? Okoki kokanga lolemo na yango na singa?
2 Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
Okoki kokanga yango singa ya kekele na zolo? Okoki kotobola mbanga na yango na ndobo?
3 Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
Boni, ekobondela yo mingi? Ekoloba na yo maloba ya boboto?
4 Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
Ekoki kosala boyokani elongo na yo mpo ete ekoma mowumbu na yo mpo na libela?
5 Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
Okoki kosakana na yango lokola ndeke? Okoki kokanga yango na singa mpo na kosepelisa bana na yo ya basi?
6 Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
Boni, lisanga ya balobi mbisi bakoki kosala na yango mombongo? Bakoki kokabola yango epai ya bateki?
7 Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
Okoki kotobola mokongo na yango na makonga? Okoki kotobola moto na yango na ndobo oyo bakangelaka bambisi?
8 Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
Tia loboko na yo na likolo na yango: soki okanisi etumba oyo okutani na yango, okozongela lisusu te kotia loboko na yo na likolo na yango.
9 Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
Liboso ya ngando yango, elikya nyonso ya kolonga ekomaka pamba; soki kaka omoni yango, okweyi na somo.
10 Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
Moto moko te ya tembe akoki kotungisa yango; boye nani akoki kotelemela ngai?
11 Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
Nani adefisaki ngai eloko mpo ete nafuta niongo na ye? Nyonso oyo ezali na se ya Lola ezali ya ngai.
12 Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
Nakoki kokanga monoko te mpo na kozanga kolobela biteni na yango ya nzoto, makasi na yango mpe kitoko ya nzoto na yango.
13 Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
Nani asila kolongola ngando poso na yango ya nzoto? Nani asila kokatisa kati-kati ya milongo mibale ya minu na yango?
14 Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
Nani asila kofungola bibebu ya monoko na yango? Minu na yango etonda na somo.
15 Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
Mokongo na yango esalema na milongo mibale ya nguba, ekangama elongo na ezipelo ya mabanga.
16 Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
Ekangama moko na mosusu, mpe mopepe ekoki koleka kati na yango te.
17 Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
Ekangama moko na mosusu, esimbama elongo mpe ekoki kokabwana te.
18 Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
Soki ekosoli, zolo na yango ekobimisa pole; mbuma ya miso na yango ezali lokola moyi ya tongo.
19 Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
Moto makasi mpe moto mike-mike ebimaka na monoko na yango.
20 Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
Milinga ebimaka na zolo na yango lokola na mbeki oyo ezali kotoka to lokola nzungu ya ebende ya moto.
21 Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
Pema na yango epelisaka makala ya moto, lolemo ya moto ebimaka na monoko na yango.
22 Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
Makasi na yango evandi na kingo na yango, mpe somo ebimaka liboso na yango.
23 Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
Masusa ya poso ya nzoto na yango ekangama elongo, elendisama makasi mpe eninganaka te.
24 Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
Motema na yango ezali makasi lokola libanga, makasi lokola libanga oyo banikelaka bambuma.
25 Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
Soki etelemi, bato ya makasi babangaka, mpe somo ekimisaka bango.
26 Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
Soki obeti yango ezala mopanga, likonga to mbeli, ekosala yango eloko te.
27 Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
Emonaka ebende lokola lititi, bronze lokola nzete epola.
28 Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
Mbanzi ekimisaka yango te, mpe mabanga oyo babwakaka na nzela ya ebambelo mabanga ezali lokola poso ya loso mpo na yango.
29 Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
Makonga ezali lokola matiti mpo na yango, mpe esekaka makelele ya makonga mike-mike.
30 Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
Se ya libumu na yango etonda na banzube, etambolaka lokola ebende oyo ebalolaka mabele.
31 Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
Eningisaka mayi ya mozindo lokola mayi oyo ezali kotoka na nzungu, ekomisaka ebale monene lokola nzungu oyo batokiselaka malasi.
32 Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
Engengisaka nzela na sima na yango lokola suki ya pembe likolo ya mayi.
33 Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
Na mokili, nyama moko te ekokani na yango; mpe ebangaka te.
34 Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”
Ebangaka te kobundisa banyama minene, ezali mokonzi ya banyama nyonso ya lolendo. »

< Ayubu 41 >