< Ayubu 41 >

1 Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
Kannst du den Leviathan ziehen mit dem Hamen und seine Zunge mit einem Strick fassen?
2 Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
Kannst du ihm eine Angel in die Nase legen und mit einem Stachel ihm die Backen durchbohren?
3 Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
Meinest du, er werde dir viel Flehens machen oder dir heucheln?
4 Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
Meinest du, daß er einen Bund mit dir machen werde, daß du ihn immer zum Knecht habest?
5 Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
Kannst du mit ihm spielen wie mit einem Vogel, oder ihn deinen Dirnen binden?
6 Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
Meinest du, die Gesellschaften werden ihn zerschneiden, daß er unter die Kaufleute zerteilet wird?
7 Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
Kannst du das Netz füllen mit seiner Haut und die Fischreusen mit seinem Kopf?
8 Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
Wenn du deine Hand an ihn legst, so gedenke, daß ein Streit sei, den du nicht ausführen wirst.
9 Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
Siehe, seine Hoffnung wird ihm fehlen; und wenn er sein ansichtig wird, schwinget er sich dahin.
10 Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
Niemand ist so kühn, der ihn reizen darf; wer ist denn, der vor mir stehen könne?
11 Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
Wer hat mir was zuvor getan, daß ich's ihm vergelte? Es ist mein, was unter allen Himmeln ist.
12 Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
Dazu muß ich nun sagen, wie groß, wie mächtig und wohl geschaffen er ist.
13 Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
Wer kann ihm sein Kleid aufdecken? Und wer darf es wagen, ihm zwischen die Zähne zu greifen?
14 Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
Wer kann die Kinnbacken seines Antlitzes auftun? Schrecklich stehen seine Zähne umher.
15 Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
Seine stolzen Schuppen sind wie feste Schilde, fest und enge ineinander.
16 Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
Eine rührt an die andere, daß nicht ein Lüftlein dazwischengehet.
17 Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
Es hängt eine an der andern, und halten sich zusammen, daß sie sich nicht voneinander trennen.
18 Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
Sein Niesen glänzet wie ein Licht; seine Augen sind wie die Augenlider der Morgenröte.
19 Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
Aus seinem Munde fahren Fackeln, und feurige Funken schießen heraus.
20 Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
Aus seiner Nase gehet Rauch wie von heißen Töpfen und Kessel.
21 Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
Sein Odem ist wie lichte Lohe, und aus seinem Munde gehen Flammen.
22 Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
Er hat einen starken Hals; und ist seine Lust, wo er etwas verderbet.
23 Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
Die Gliedmaßen seines Fleisches hangen aneinander und halten hart an ihm, daß er nicht zerfallen kann.
24 Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
Sein Herz ist so hart wie ein Stein und so fest wie ein Stück vom untersten Mühlstein.
25 Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
Wenn er sich erhebt, so entsetzen sich die Starken; und wenn er daherbricht, so ist keine Gnade da.
26 Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
Wenn man zu ihm will mit dem Schwert, so regt er sich nicht; oder mit Spieß, Geschoß und Panzer.
27 Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
Er achtet Eisen wie Stroh und Erz wie faul Holz.
28 Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
Kein Pfeil wird ihn verjagen; die Schleudersteine sind wie Stoppeln.
29 Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
Den Hammer achtet er wie Stoppeln; er spottet der bebenden Lanze.
30 Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
Unter ihm liegen scharfe Steine und fährt über die scharfen Felsen wie über Kot.
31 Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
Er macht, daß das tiefe Meer siedet wie ein Topf, und rührt es ineinander, wie man eine Salbe menget.
32 Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
Nach ihm leuchtet der Weg, er macht die Tiefe ganz grau.
33 Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
Auf Erden ist ihm niemand zu gleichen; er ist gemacht ohne Furcht zu sein.
34 Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”
Er verachtet alles, was hoch ist; er ist ein König über alle Stolzen.

< Ayubu 41 >