< Ayubu 41 >

1 Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
Можеш ли да извлечеш крокодила с въдица, Или да притиснеш езика му с въже?
2 Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
Можеш ли тури оглавник на носа му, Или да пробиеш челюстта му с кука?
3 Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
Ще отправи ли той към тебе много моления? Ще ти говори ли със сладки думи?
4 Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
Ще направи ли договор с тебе, Та да го вземеш за вечен слуга?
5 Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
Можеш ли игра с него както с птица? Или ще то вържеш ли за забава на момичетата си?
6 Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
Дружините риболовци ще търгуват ли с него? Ще го разделят ли между търговците?
7 Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
Можеш ли прониза кожата му със сулици, Или главата му с рибарски копия?
8 Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
Тури ръката си на него; Спомни си боя, и не прави вече това.
9 Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
Ето, надеждата да го хване някой е празна; Даже от изгледа му не отпада ли човек?
10 Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
Няма човек толкова дързък щото да смее да го раздразни. Тогава кой може да застане пред Мене?
11 Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
Кой Ми е дал по-напред, та да му отплатя? Все що има под цялото небе е Мое.
12 Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
Няма да мълча за телесните му части, нито за силата Му. Нито за хубавото му устройство.
13 Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
Кой може да смъкне външната му дреха? Кой може да влезе вътре в двойните му челюсти?
14 Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
Кой може да отвори вратите на лицето му? Зъбите му изоколо са ужасни.
15 Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
Той се гордее с наредените си люспи, Съединени заедно като че ли плътно запечатани;
16 Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
Едната се допира до другата Така щото ни въздух не може да влезе между тях;
17 Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
Прилепени са една за друга, Държат се помежду си тъй щото не могат да се отделят.
18 Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
Когато киха блещи светлина, И очите му са като клепачите на зората.
19 Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
Из устата му излизат запалени факли, И огнени искри изкачат.
20 Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
Из ноздрите му излиза дим, Като на възвряло гърне над пламнали тръстики.
21 Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
Дишането му запаля въглища. И пламъкът излиза из устата му.
22 Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
На врата му обитава сила. И всички заплашени скачат пред него.
23 Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
Пластовете на месата му са слепени, Твърди са на него, не могат се поклати.
24 Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
Сърцето му е твърдо като камък, Даже твърдо като долния воденичен камък.
25 Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
Когато става, силните се ужасяват, От страх се смайват.
26 Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
Мечът на тогова, който би го улучил, не може да удържи, - Ни копие, ни сулица, ни остра стрела.
27 Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
Той счита желязото като плява, Медта като гнило дърво.
28 Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
Стрелите не могат го накара да бяга; Камъните на прашката са за него като слама;
29 Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
Сопи се считат като слама; Той се присмива на махането на копието.
30 Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
Като остри камъни има по долните му части; Простира като белези от диканя върху тинята;
31 Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
Прави бездната да ври като котел; Прави морето като варилница за миро.
32 Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
Оставя подир себе си светла диря, Тъй щото някой би помислил, че бездната е побеляла от старост.
33 Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
На земята няма подобен нему, Създаден да няма страх.
34 Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”
Той изглежда всяко високо нещо; Цар е над всичките горделиви зверове.

< Ayubu 41 >