< Ayubu 40 >

1 Yahweh aliendelea kuongea na Ayubu na kusema,
Afei Awurade buaa Hiob se,
2 “Je mtu yeyote anayetaka kukosoa na ajaribu kumsahihisha Mwenye enzi? Na yeye anayehojiana na Mungu, na ajibu yeye.”
“Nea ɔne Otumfo no wɔ asɛm no bɛteɛ ne so ana? Ma nea ɔbɔ Onyankopɔn kwaadu no mmua no ɛ!”
3 Ndipo Ayubu akamjibu Yahweh na kusema, “
Na Hiob buaa Awurade se,
4 Tazama, mimi si mtu muhimu; je nawezaje kukujibu? Ninauweka mkono wangu juu ya mdomo wangu.
“Mensɛ na memfata, ɛbɛyɛ dɛn na matumi anya mmuae? Mede me nsa mua mʼano.
5 Ninazungumza mara moja, na sitakujibu; hakika, mara mbili, lakini sitaendelea zaidi.”
Makasa baako, nanso minni mmuae mprenu so, na merenkasa bio.”
6 Kisha Yahweh akamjibu Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kusema,
Afei, Awurade fi ahum mu buaa Hiob se,
7 “Jifunge sasa mkanda kiunoni mwako kama mwanaume, kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
“Hyɛ wo ho den sɛ ɔbarima; mebisa wo nsɛm, na ɛsɛ sɛ wubua me.
8 Je waweza kusema kwa hakika kwamba mimi si mwenye haki? Je utanihukumu mimi ili useme wewe ni mwenye haki?
“Wobɛka mʼatemmu ho asɛm bɔne ana? Wubebu me fɔ de abu wo ho bem ana?
9 Je una mkono kama wa Mungu? Je waweza kutoa kishindo kwa sauti kama yeye?
Wowɔ abasa te sɛ Onyankopɔn de, na wo nne betumi abobɔ mu sɛ ne de ana?
10 Jivike sasa katika utukufu na katika utu; jivalie mwenyewe heshima na enzi.
Ɛno de fa anuonyam ne ɔhyerɛn hyehyɛ wo ho, na fura nidi ne kɛseyɛ.
11 Sambaza ziada ya hasira yako; mtazame kila mmoja mwenye kiburi na umshushe chini.
Hwie wʼabufuwhyew mmoroso no gu, hwɛ ɔhantanni biara na brɛ no ase,
12 Mwangalie kila mmoja mwenye kiburi na umweke chini; wakanyage chini watu waovu mahali wanaposimama.
hwɛ ɔhantanni biara na si no fam na tiatia amumɔyɛfo so wɔ faako a wogyina hɔ.
13 Wazike ardhini pamoja; zifunge nyuso zao katika sehemu zilizositirika.
Sie wɔn nyinaa bɔ mu wɔ mfutuma mu; kata wɔn anim wɔ ɔda mu.
14 Ndipo pia nitakapokubali ya kwamba mkono wako wa kulia waweza kukuokoa.
Na afei mʼankasa megye ato mu sɛ wo ara wo basa nifa betumi agye wo nkwa.
15 Mwangalie sasa kiboko, ambaye niliwafanya kama nilivyokufanya wewe; anakula nyasi kama ng'ombe.
“Hwɛ susono, nea meyɛɛ no kaa wo ho na ɔwe sare te sɛ nantwi.
16 Ona sasa, nguvu zake ziko katika viuno vyake; nguvu zake zi katika mishipa ya tumbo lake.
Hwɛ ahoɔden a ɔwɔ wɔ nʼasen mu ne ahoɔden a ɛwɔ ne yafunu so were mu!
17 Yeye huuondoa mkia wake kama mti wa mwerezi; mishipa ya paja lake imeunganishwa pamoja.
Ne dua hinhim sɛ sida; ne srɛ mu ntin yɛ peperee.
18 Mifupa yake ni kama ya mirija ya shaba; na miguu yake ni kama kipande cha chuma.
Ne nnompe te sɛ kɔbere mfrafrae dorobɛn, nʼabasa ne ne nʼanan te sɛ nnade praban.
19 Yeye ni mkuu wa viumbe vya Mungu. Ni Mungu pekee, ambaye alimwumba, anaweza kumshinda.
Odi Onyankopɔn nsa ano adwuma mu kan, nanso ne Yɛfo betumi de nʼafoa akɔ ne so.
20 Kwa kuwa milima humpatia chakula; hayawani wa mashambani hucheza karibu.
Nkoko fifi wɔn nnɔbae ma no, na wuram mmoa nyinaa goru bɛn hɔ.
21 Hujilaza chini ya mimiea ya kivuli katika makao ya mianzi, na katika bwawa la matope.
Nsɔensɔe nnua ase na ɔda, na dontori mu demmire akata no so.
22 Miti yenye vivuli humfunika katika vivuli vyake; mierebi ya kijito inamzunguka pande zote.
Nsɔensɔe nwini no kata ne so; na nsunoa nnua twa ne ho hyia.
23 Tazama, kama mto utazigharikisha kingo zake, hatikisiki; yeye anajiamini, hata kama Mto wa Yordani unajaa hadi katika pua yake.
Nsu nworoso nhaw no; mpo sɛ Yordan bobɔ ba nʼano a, onni ɔhaw.
24 Je mtu yeyote aweza kumnasa kwa ndoano, au kuichoma pua yake kwa mtego?
Obi betumi akyere no animono; anaa obi betumi de afiri ayi no na wabɔre ne hwene mu ana?

< Ayubu 40 >