< Ayubu 40 >

1 Yahweh aliendelea kuongea na Ayubu na kusema,
Jehovha akati kuna Jobho:
2 “Je mtu yeyote anayetaka kukosoa na ajaribu kumsahihisha Mwenye enzi? Na yeye anayehojiana na Mungu, na ajibu yeye.”
“Ko, munhu anokakavadzana noWamasimba Ose angamurayira here? Anopomera Mwari mhosva ngaamupindure!”
3 Ndipo Ayubu akamjibu Yahweh na kusema, “
Ipapo Jobho akapindura Jehovha akati:
4 Tazama, mimi si mtu muhimu; je nawezaje kukujibu? Ninauweka mkono wangu juu ya mdomo wangu.
“Ini handina maturo, ndingakupindurai seiko? Ndafumbira muromo wangu.
5 Ninazungumza mara moja, na sitakujibu; hakika, mara mbili, lakini sitaendelea zaidi.”
Ndakataura kamwe chete, asi handina mhinduro, kaviri, asi handichapamhidzazve.”
6 Kisha Yahweh akamjibu Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kusema,
Ipapo Jehovha akataura naJobho ari mudutu akati:
7 “Jifunge sasa mkanda kiunoni mwako kama mwanaume, kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
“Chizvisunga chiuno somurume; ini ndichakubvunza, uye iwe uchandipindura.
8 Je waweza kusema kwa hakika kwamba mimi si mwenye haki? Je utanihukumu mimi ili useme wewe ni mwenye haki?
“Ko, iwe unoda kukanganisa kururamisira kwangu here? Ko, unondipomera kuti uzviruramise here?
9 Je una mkono kama wa Mungu? Je waweza kutoa kishindo kwa sauti kama yeye?
Uno ruoko rwakaita sorwaMwari here, uye inzwi rako ringatinhira serake here?
10 Jivike sasa katika utukufu na katika utu; jivalie mwenyewe heshima na enzi.
Chizvishongedza zvino nokukudzwa uye nokubwinya, uye zvishongedze nokuremekedzwa uye noumambo.
11 Sambaza ziada ya hasira yako; mtazame kila mmoja mwenye kiburi na umshushe chini.
Regedzera ukasha hwehasha dzako, utarire munhu mumwe nomumwe anozvikudza ugomuderedza,
12 Mwangalie kila mmoja mwenye kiburi na umweke chini; wakanyage chini watu waovu mahali wanaposimama.
tarira murume mumwe nomumwe anozvikudza ugomuninipisa, pwanya vakaipa ipapo pavamire.
13 Wazike ardhini pamoja; zifunge nyuso zao katika sehemu zilizositirika.
Uvavige vose pamwe chete muguruva; ufukidze zviso zvavo muguva.
14 Ndipo pia nitakapokubali ya kwamba mkono wako wa kulia waweza kukuokoa.
Ipapo ini pachangu ndichabvuma kwauri kuti ruoko rwako rworudyi rungakuponesa.
15 Mwangalie sasa kiboko, ambaye niliwafanya kama nilivyokufanya wewe; anakula nyasi kama ng'ombe.
“Tarisa kumvuu, yandakaita pamwe chete newe uye inofura uswa senzombe.
16 Ona sasa, nguvu zake ziko katika viuno vyake; nguvu zake zi katika mishipa ya tumbo lake.
Simba rainaro muchiuno chayo, kusimba kwayo kuri mumakakava edumbu rayo.
17 Yeye huuondoa mkia wake kama mti wa mwerezi; mishipa ya paja lake imeunganishwa pamoja.
Muswe wayo unotsvikidza somusidhari; marunda ezvidya zvayo akasonanidzwa.
18 Mifupa yake ni kama ya mirija ya shaba; na miguu yake ni kama kipande cha chuma.
Mapfupa ayo ipombi dzendarira, miromo yayo yakaita setsvimbo dzesimbi.
19 Yeye ni mkuu wa viumbe vya Mungu. Ni Mungu pekee, ambaye alimwumba, anaweza kumshinda.
Iyo iri pachinzvimbo chokutanga pakati pamabasa aMwari, asi Muiti wayo anogona kusvika pairi nomunondo wake.
20 Kwa kuwa milima humpatia chakula; hayawani wa mashambani hucheza karibu.
Zvikomo zvinoivigira zvibereko zvayo, uye zvikara zvose zvesango zvinotambira pedyo nayo.
21 Hujilaza chini ya mimiea ya kivuli katika makao ya mianzi, na katika bwawa la matope.
Inovata pasi pemiti yemirotasi yakavanda pakati petsanga munhope.
22 Miti yenye vivuli humfunika katika vivuli vyake; mierebi ya kijito inamzunguka pande zote.
Mirotasi inoivanza pamimvuri yayo; mikonachando iri mujinga morukova inoipoteredza.
23 Tazama, kama mto utazigharikisha kingo zake, hatikisiki; yeye anajiamini, hata kama Mto wa Yordani unajaa hadi katika pua yake.
Panozara rwizi, iyo haivhunduki; inodekara zvayo, kunyange Jorodhani rukapfachukira kumuromo wayo.
24 Je mtu yeyote aweza kumnasa kwa ndoano, au kuichoma pua yake kwa mtego?
Pano munhu angagona kuibata neziso, kana kuiteya uye nokuibaya pamhino yayo here?

< Ayubu 40 >