< Ayubu 40 >

1 Yahweh aliendelea kuongea na Ayubu na kusema,
Og Herren blev ved å svare Job og sa:
2 “Je mtu yeyote anayetaka kukosoa na ajaribu kumsahihisha Mwenye enzi? Na yeye anayehojiana na Mungu, na ajibu yeye.”
Vil du som klandrer den Allmektige, vil du trette med ham? Du som laster Gud, må svare på dette!
3 Ndipo Ayubu akamjibu Yahweh na kusema, “
Da svarte Job Herren og sa:
4 Tazama, mimi si mtu muhimu; je nawezaje kukujibu? Ninauweka mkono wangu juu ya mdomo wangu.
Nei, jeg er for ringe; hvad skulde jeg svare dig? Jeg legger min hånd på min munn.
5 Ninazungumza mara moja, na sitakujibu; hakika, mara mbili, lakini sitaendelea zaidi.”
En gang har jeg talt, men jeg tar ikke mere til orde - ja to ganger, men jeg gjør det ikke mere.
6 Kisha Yahweh akamjibu Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kusema,
Og Herren svarte Job ut av stormen og sa:
7 “Jifunge sasa mkanda kiunoni mwako kama mwanaume, kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
Omgjord dine lender som en mann! Jeg vil spørre dig, og du skal lære mig.
8 Je waweza kusema kwa hakika kwamba mimi si mwenye haki? Je utanihukumu mimi ili useme wewe ni mwenye haki?
Vil du endog gjøre min rettferdighet til intet? Vil du dømme mig skyldig, så du får rett?
9 Je una mkono kama wa Mungu? Je waweza kutoa kishindo kwa sauti kama yeye?
Har du slik en arm som Gud, og kan du tordne med en røst som hans?
10 Jivike sasa katika utukufu na katika utu; jivalie mwenyewe heshima na enzi.
Pryd dig med majestet og høihet og klæ dig i glans og herlighet!
11 Sambaza ziada ya hasira yako; mtazame kila mmoja mwenye kiburi na umshushe chini.
La din vrede strømme frem og se på alle overmodige og ydmyk dem!
12 Mwangalie kila mmoja mwenye kiburi na umweke chini; wakanyage chini watu waovu mahali wanaposimama.
Se på alle overmodige og bøi dem og tred de ugudelige ned der de står!
13 Wazike ardhini pamoja; zifunge nyuso zao katika sehemu zilizositirika.
Skjul dem alle i støvet, bind deres ansikter fast i mørket!
14 Ndipo pia nitakapokubali ya kwamba mkono wako wa kulia waweza kukuokoa.
Da skal også jeg prise dig, fordi din høire hånd kan hjelpe dig.
15 Mwangalie sasa kiboko, ambaye niliwafanya kama nilivyokufanya wewe; anakula nyasi kama ng'ombe.
Se på Behemot, som jeg har skapt like så vel som dig; den eter gress som en okse.
16 Ona sasa, nguvu zake ziko katika viuno vyake; nguvu zake zi katika mishipa ya tumbo lake.
Se hvad kraft den har i sine lender, og hvad styrke den har i sine bukmuskler!
17 Yeye huuondoa mkia wake kama mti wa mwerezi; mishipa ya paja lake imeunganishwa pamoja.
Den strekker sin hale som en seder; senene i dens lår er sammenslynget.
18 Mifupa yake ni kama ya mirija ya shaba; na miguu yake ni kama kipande cha chuma.
Dens ben er som kobberrør, dens knokler som jernstenger.
19 Yeye ni mkuu wa viumbe vya Mungu. Ni Mungu pekee, ambaye alimwumba, anaweza kumshinda.
Den er den ypperste av Guds skapninger; av sin skaper fikk den sitt sverd.
20 Kwa kuwa milima humpatia chakula; hayawani wa mashambani hucheza karibu.
Fjellene bærer fôr for den, og alle ville dyr leker der.
21 Hujilaza chini ya mimiea ya kivuli katika makao ya mianzi, na katika bwawa la matope.
Under lotusbusker hviler den, i ly av rør og siv.
22 Miti yenye vivuli humfunika katika vivuli vyake; mierebi ya kijito inamzunguka pande zote.
Lotusbusker gir den tak og skygge, piletrærne ved bekken omgir den.
23 Tazama, kama mto utazigharikisha kingo zake, hatikisiki; yeye anajiamini, hata kama Mto wa Yordani unajaa hadi katika pua yake.
Selv om strømmen går stri blir den ikke redd; den er trygg om så en Jordan fosser frem mot dens gap.
24 Je mtu yeyote aweza kumnasa kwa ndoano, au kuichoma pua yake kwa mtego?
Kan nogen fange den så den ser det? Kan nogen dra en snare gjennem dens nese?

< Ayubu 40 >