< Ayubu 40 >

1 Yahweh aliendelea kuongea na Ayubu na kusema,
Yawe ayanolaki Yobo:
2 “Je mtu yeyote anayetaka kukosoa na ajaribu kumsahihisha Mwenye enzi? Na yeye anayehojiana na Mungu, na ajibu yeye.”
« Boni, moto oyo atiaka tembe na Nkolo-Na-Nguya-Nyonso akoki koteya Ye? Tika ete oyo azali koswanisa Nzambe ayanola Ye! »
3 Ndipo Ayubu akamjibu Yahweh na kusema, “
Yobo azongiselaki Yawe:
4 Tazama, mimi si mtu muhimu; je nawezaje kukujibu? Ninauweka mkono wangu juu ya mdomo wangu.
« Tala ngai, nazali se ekelamu ya pamba, eyano nini nakoki kopesa Yo? Natie loboko na ngai na monoko.
5 Ninazungumza mara moja, na sitakujibu; hakika, mara mbili, lakini sitaendelea zaidi.”
Nalobaki mbala moko, kasi nakoyanola lisusu te; na mbala ya mibale, nakobakisa lisusu eloko te. »
6 Kisha Yahweh akamjibu Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kusema,
Yawe alobaki na Yobo wuta na mopepe makasi:
7 “Jifunge sasa mkanda kiunoni mwako kama mwanaume, kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
« Kanga mokaba na loketo na yo lokola elombe mobali; nakotuna yo mituna, mpe okoyanola ngai.
8 Je waweza kusema kwa hakika kwamba mimi si mwenye haki? Je utanihukumu mimi ili useme wewe ni mwenye haki?
Olingi kotiola bosembo na ngai? Okani kokweyisa ngai mpo ete yo moko omilongisa?
9 Je una mkono kama wa Mungu? Je waweza kutoa kishindo kwa sauti kama yeye?
Ozali na loboko lokola oyo ya Nzambe? Mongongo na yo ekoki konguluma makasi lokola oyo ya Ye?
10 Jivike sasa katika utukufu na katika utu; jivalie mwenyewe heshima na enzi.
Lata nkembo mpe kongenga, milatisa lokumu mpe monene!
11 Sambaza ziada ya hasira yako; mtazame kila mmoja mwenye kiburi na umshushe chini.
Sopa nguya ya kanda na yo likolo ya bato, tala bato nyonso ya lolendo liboso na yo mpe kitisa bango!
12 Mwangalie kila mmoja mwenye kiburi na umweke chini; wakanyage chini watu waovu mahali wanaposimama.
Tala bato nyonso ya lolendo, yokisa bango soni! Nyata-nyata bato mabe na esika oyo bazali.
13 Wazike ardhini pamoja; zifunge nyuso zao katika sehemu zilizositirika.
Kunda bango nyonso kati na putulu, zipa bilongi na bango na esika ya kobombama.
14 Ndipo pia nitakapokubali ya kwamba mkono wako wa kulia waweza kukuokoa.
Boye, ngai moko nakopesa yo lokumu, pamba te loboko na yo ya mobali ekoki mpo na kobikisa yo.
15 Mwangalie sasa kiboko, ambaye niliwafanya kama nilivyokufanya wewe; anakula nyasi kama ng'ombe.
Tala ngubu: nakelaki yango ndenge nakelaki yo, kasi eliaka kaka matiti lokola ngombe.
16 Ona sasa, nguvu zake ziko katika viuno vyake; nguvu zake zi katika mishipa ya tumbo lake.
Tala makasi oyo ezali kati na loketo na yango, nguya oyo ezali kati na misuni ya libumu na yango!
17 Yeye huuondoa mkia wake kama mti wa mwerezi; mishipa ya paja lake imeunganishwa pamoja.
Ekembisaka mokila na yango lokola nzete ya sedele; misisa ya mipende na yango elingama-lingama;
18 Mifupa yake ni kama ya mirija ya shaba; na miguu yake ni kama kipande cha chuma.
mikuwa na yango ezali lokola bibende ya bronze; mipanzi na yango ezali lokola biteni ya bibende.
19 Yeye ni mkuu wa viumbe vya Mungu. Ni Mungu pekee, ambaye alimwumba, anaweza kumshinda.
Ezali ekelamu ya liboso ya Nzambe, kasi Mokeli na yango atieli yango mopanga pene.
20 Kwa kuwa milima humpatia chakula; hayawani wa mashambani hucheza karibu.
Ngomba ezali kopesa yango matiti ya kolia, esika oyo banyama nyonso ya zamba esakanaka.
21 Hujilaza chini ya mimiea ya kivuli katika makao ya mianzi, na katika bwawa la matope.
Elalaka na se ya banzete ya mike-mike, na se ya matiti oyo ezalaka pembeni ya mayi mpe na potopoto.
22 Miti yenye vivuli humfunika katika vivuli vyake; mierebi ya kijito inamzunguka pande zote.
Banzete ya mike-mike ebombaka yango na se ya elili na yango, banzete ya pepiliye ezingeli yango.
23 Tazama, kama mto utazigharikisha kingo zake, hatikisiki; yeye anajiamini, hata kama Mto wa Yordani unajaa hadi katika pua yake.
Soki mayi ya ebale etomboki, yango ebangaka te; ata mayi ya Yordani esopaneli yango na monoko, evandaka kaka kimia.
24 Je mtu yeyote aweza kumnasa kwa ndoano, au kuichoma pua yake kwa mtego?
Boni, moto akoki kokanga yango na motambo na tango ezali kotala to kotobola yango zolo na ndobo, mpo na kobenda yango?

< Ayubu 40 >