< Ayubu 40 >
1 Yahweh aliendelea kuongea na Ayubu na kusema,
I Jahve se obrati Jobu i reče mu:
2 “Je mtu yeyote anayetaka kukosoa na ajaribu kumsahihisha Mwenye enzi? Na yeye anayehojiana na Mungu, na ajibu yeye.”
“Zar će se s Jakim preti još kudilac? Tužitelj Božji nek' sam odgovori!”
3 Ndipo Ayubu akamjibu Yahweh na kusema, “
A Job odgovori Jahvi i reče:
4 Tazama, mimi si mtu muhimu; je nawezaje kukujibu? Ninauweka mkono wangu juu ya mdomo wangu.
“Odveć sam malen: što da odgovorim? Rukom ću svoja zatisnuti usta.
5 Ninazungumza mara moja, na sitakujibu; hakika, mara mbili, lakini sitaendelea zaidi.”
Riječ rekoh - neću više započeti; rekoh dvije - al' neću nastaviti.”
6 Kisha Yahweh akamjibu Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kusema,
Nato Jahve odgovori Jobu iz oluje i reče:
7 “Jifunge sasa mkanda kiunoni mwako kama mwanaume, kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
“Bokove svoje opaši k'o junak, ja ću te pitat', a ti me pouči.
8 Je waweza kusema kwa hakika kwamba mimi si mwenye haki? Je utanihukumu mimi ili useme wewe ni mwenye haki?
Zar bi i moj sud pogaziti htio, okrivio me da sebe opravdaš?
9 Je una mkono kama wa Mungu? Je waweza kutoa kishindo kwa sauti kama yeye?
Zar ti mišica snagu Božju ima, zar glasom grmjet' možeš poput njega?
10 Jivike sasa katika utukufu na katika utu; jivalie mwenyewe heshima na enzi.
Ogrni se sjajem i veličanstvom, dostojanstvom se odjeni i slavom.
11 Sambaza ziada ya hasira yako; mtazame kila mmoja mwenye kiburi na umshushe chini.
Plani dÓe bijesom ognja jarosnoga, pogledom jednim snizi oholnika.
12 Mwangalie kila mmoja mwenye kiburi na umweke chini; wakanyage chini watu waovu mahali wanaposimama.
Ponositoga pogledaj, slomi ga, na mjestu satri svakoga zlikovca.
13 Wazike ardhini pamoja; zifunge nyuso zao katika sehemu zilizositirika.
U zemlju sve njih zajedno zakopaj, u mračnu ih pozatvaraj tamnicu.
14 Ndipo pia nitakapokubali ya kwamba mkono wako wa kulia waweza kukuokoa.
Tada ću i ja tebi odat' hvalu što si se svojom desnicom spasio.
15 Mwangalie sasa kiboko, ambaye niliwafanya kama nilivyokufanya wewe; anakula nyasi kama ng'ombe.
A sada, dÓe promotri Behemota! Travom se hrani poput govečeta,
16 Ona sasa, nguvu zake ziko katika viuno vyake; nguvu zake zi katika mishipa ya tumbo lake.
u bedrima je, gle, snaga njegova, a krepkost mu u mišićju trbušnom.
17 Yeye huuondoa mkia wake kama mti wa mwerezi; mishipa ya paja lake imeunganishwa pamoja.
Poput cedra rep podignut ukruti, sva su mu stegna ispreplele žile.
18 Mifupa yake ni kama ya mirija ya shaba; na miguu yake ni kama kipande cha chuma.
Mjedene cijevi kosti su njegove, zglobovi mu od željeza kvrge.
19 Yeye ni mkuu wa viumbe vya Mungu. Ni Mungu pekee, ambaye alimwumba, anaweza kumshinda.
Prvenac on je Božjega stvaranja; mačem ga je naoružao tvorac.
20 Kwa kuwa milima humpatia chakula; hayawani wa mashambani hucheza karibu.
Gore mu danak u hrani donose i sve zvijerje što po njima se igra.
21 Hujilaza chini ya mimiea ya kivuli katika makao ya mianzi, na katika bwawa la matope.
Pod lotosom on zavaljen počiva, guštik močvarni i glib kriju ga.
22 Miti yenye vivuli humfunika katika vivuli vyake; mierebi ya kijito inamzunguka pande zote.
Sjenu mu pravi lotosovo lišće, pod vrbama on hladuje potočnim.
23 Tazama, kama mto utazigharikisha kingo zake, hatikisiki; yeye anajiamini, hata kama Mto wa Yordani unajaa hadi katika pua yake.
Nabuja li rijeka, on ne strahuje: nimalo njega ne bi zabrinulo da mu u žvale i sav Jordan jurne.
24 Je mtu yeyote aweza kumnasa kwa ndoano, au kuichoma pua yake kwa mtego?
Tko bi za oči uhvatio njega i tko bi mu nos sulicom probio?