< Ayubu 4 >

1 Kisha Elifazi Mtemani akajibu na kusema,
Jemuž odpovídaje Elifaz Temanský, řekl:
2 Kama mtu yeyote akijaribu kuzungumza na wewe, je utakosa ustahimilivu? Lakini ni nani anaweza kujizuia asizungumze?
Počneme-li mluviti s tebou, neponeseš-liž toho těžce? Ale kdož by se zdržeti mohl, aby neměl mluviti?
3 Tazama, wewe umewafunza wengi; wewe imeipa nguvu mikono iliyokuwa dhaifu.
Aj, učívals mnohé, a rukou opuštěných jsi posiloval.
4 Maneno yako yamemsaidia yeye mwanamme aliyekuwa anaanguka; wewe umeyaimarisha magoti dhaifu.
Padajícího pozdvihovals řečmi svými, a kolena zemdlená jsi zmocňoval.
5 Lakini sasa matatizo yamekuja kwako, na wewe umechoka; yanakugusa wewe, na wewe umetatizika.
Nyní pak, jakž toto přišlo na tebe, těžce to neseš, a jakž tě dotklo, předěšen jsi.
6 Je si hofu yako imani yako, na ukamilifu wa njia zako tumaini lako?
Nebylo-liž náboženství tvé nadějí tvou, a upřímost cest tvých očekáváním tvým?
7 Tafakari juu ya hili, tafadhari: ni nani aliyeangamia akiwa hana kosa? Au ni lini watu wakamilifu walikatiliwa mbali?
Rozpomeň se, prosím, kdo jest kdy nevinný zahynul? Aneb kde upřímí vyhlazeni jsou?
8 Kutokana na vile nilivyoona, wale walimao uovu na kupanda taabu huvuna hayo.
Jakož jsem já vídal ty, kteříž orali nepravost, a rozsívali převrácenost, že ji i žali.
9 Kwa pumzi ya Mungu huangamia; kwa mlipuko wa hasira zake huteketea.
Od dchnutí Božího hynou, a duchem prchlivosti jeho v nic obracíni bývají.
10 Kuunguruma kwa simba, sauti ya simba mkali, meno ya simba wadogo - yamevunjika.
Řvání lva a hlas lvice a zubové mladých lvíčat setříni bývají.
11 Simba mzee huangamia kwa kukosa wahanga; watoto wa simba jike wametawanyiko kila mahali.
Hyne lev, že nemá loupeže, a lvíčata mladá rozptýlena bývají.
12 Sasa nililetewa kwangu jambo fulani kisiri, na sikio langu likapokea uvumi kuhusu hilo.
Nebo i tajně doneslo se mne slovo, a pochopilo ucho mé něco maličko toho.
13 Kisha yakaja mawazo kupitia ndoto wakati wa usiku, wakati uwaangukiwapo usingizi mzito watu.
V přemyšlováních z vidění nočních, když připadá tvrdý sen na lidi,
14 Ilikuwa usiku wakati nilipopatwa hofu na kutetemeka, na mifupa yangu yote ikatikisika.
Strach připadl na mne a lekání, kteréž předěsilo všecky kosti mé.
15 Kisha nafsi ikapita mbele ya uso wangu, na nywele zangu za mwili zilisimama.
Duch zajisté před tváří mou šel, tak že vlasové vstávali na těle mém.
16 Nafsi ilisimama kimya, lakini sikuweza kupambanua sura yake. Umbo lilikuwa mbele ya macho yangu; kulikuwa kimya, nami nikasikia sauti ikisema,
Zastavil se, ale neznal jsem tváři jeho; tvárnost jen byla před očima mýma. Mezi tím mlče, slyšel jsem hlas:
17 “Je binadamu anaweza kuwa mwenye haki zaidi kuliko Mungu? Je mtu anaweza kuwa msafi zaidi kuliko muumba wake?
Zdaliž může člověk spravedlivějším býti než Bůh, aneb muž čistším nad toho, kterýž ho učinil?
18 Tazama, kama Mungu hawaamini watumishi wake; kama hulaumu upumbavu wa malaika zake,
Ano mezi služebníky jeho není dokonalosti, a při andělích svých zanechal nedostatku.
19 je si zaidi sana ukweli huu kwa wale waishio katika nyumba za udongo, ambao misingi yao ipo katika vumbi, wale waliopondwa mbele ya nondo?
Čím více při těch, kteříž bydlejí v domích hliněných, jejichž základ jest na prachu, a setříni bývají snáze než mol.
20 Kati ya asubuhi na jioni wameangamizwa; wameangamia milele wala bila yeyote kuwatambua.
Od jitra až do večera stíráni bývají, a kdož toho nerozvažují, na věky zahynou.
21 Je kamba za hema yao hazikung'olewa kati yao? Wanakufa; wanakufa bila hekima.
Zdaliž nepomíjí sláva jejich s nimi? Umírají, ale ne v moudrosti.

< Ayubu 4 >