< Ayubu 39 >

1 Je unajua ni wakati gani mbuzi mwitu huzaa watoto wao katika miamba? Je waweza kuwangalia paa wakati wanapozaa watoto wao?
Tahukah engkau kapan kambing gunung dilahirkan induknya? Pernahkah kauamati rusa liar melahirkan anaknya?
2 Waweza kuhesabu miezi ya kuchukua mimba? Je unaujua muda ambao huzaa watoto wao?
Tahukah engkau berapa lama mereka mengandung? Dapatkah saatnya beranak engkau hitung?
3 Wanainama chini na kuzaa watoto wao, na kisha maumivu yao ya uzazi yanaishi.
Tahukah engkau kapan mereka meringkukkan tubuhnya, lalu melahirkan anak-anaknya?
4 Watoto wao huwa na nguvu na kukua katika uwanda wa wazi; hutoka nje na hawarudi tena.
Anak-anaknya bertambah besar dan kuat di padang belantara; mereka pergi dan tak kembali kepada induknya.
5 Ni nani huwaacha punda mwitu waende huru? Je nani amevilegeza vifungo vya punda wepesi,
Siapa melepaskan keledai liar di hutan? Siapa membuka talinya dan membiarkan dia berkeliaran?
6 ni nyumba ya nani nimeifanya katika Araba, au nyumba yake katika nchi ya chumvi?
Kepadanya Kuberikan gurun sebagai rumahnya dan padang-padang garam untuk tempat tinggalnya.
7 Hucheka kwa dharau katika kelele katika mji; hasikilizi kelele za mwongozaji.
Ia menjauhi kota-kota dan keramaiannya, tak ada yang dapat menjinakkan dan mempekerjakannya.
8 Hutembeatembea juu ya milima kama malisho yake; huko hutafuta kila mmea ulio wa kijani kwa ajili ya kula.
Padang rumput di gunung tempat makanannya, dicarinya tetumbuhan yang hijau di sana.
9 Je nyati atakuwa na furaha kukutumikia? Je atakubali kukaa katika zizi lako?
Apakah lembu liar mau bekerja untukmu? Maukah ia bermalam di dalam kandangmu?
10 Waweza kumwongoza nyati kulima mtaro kwa kamba? Je atachimba bonde kwa ajili yako?
Dapatkah kauikat dia dan kaupaksa membajak untukmu? Dapatkah kausuruh dia menggaru ladangmu?
11 Je waweza kumtumaini kwasababu ya nguvu zake nyingi? Je waweza kumwachia kazi yako ili aifanye?
Dapatkah kauandalkan tenaganya yang kuat, dan kauserahkan kepadanya kerjamu yang berat?
12 Je waweza kumtegemea akuletee nyumbani nafaka, au kukusanya nafaka katika uwanda wako wa kupuria?
Apakah kaupercayakan dia mengumpulkan panenmu, dan membawanya ke tempat penebahanmu?
13 Mabawa ya mbuni hupunga kwa majivuno, bali je mabawa na manyoya yana upendo?
Betapa cepatnya kibasan sayap burung unta! Tetapi terbang burung bangau tak dapat diimbanginya.
14 Kwa maana huuacha mayai yake katika nchi, na huyaacha yapate joto katika mavumbi;
Burung unta bertelur di tanah, lalu ditinggalkannya; maka pasirlah yang akan memanaskan telurnya.
15 husahau kuwa mguu waweza kuyaharibu au kwamba mnyama mwitu aweza kuyakanyaga.
Ia tak sadar bahwa mungkin orang memijaknya dan binatang-binatang liar menginjaknya.
16 Huyatendea vibaya makinda yake kana kwamba si yake; haogopi kwamba kazi yake yaweza kupotea bure,
Ia bersikap seolah-olah anaknya bukan miliknya; ia tidak peduli jika usahanya sia-sia saja.
17 kwasababu Mungu amemnyima hekima na hajampa ufahamu wowote.
Akulah yang membuat dia bodoh dan bebal, tak Kuberikan kepadanya hikmat dan akal.
18 Na wakati anapokimbia kwa haraka, huwacheka kwa dharau farasi na mpanda farasi wake.
Tetapi apabila ia mulai berlari kencang, ia mengalahkan kuda serta penunggang.
19 Je umempa farasi nguvu zake? Je umeivika shingo yake kwa manyoya?
Hai Ayub, engkaukah yang memberi tenaga kepada kuda dan surai yang melambai-lambai pada tengkuknya?
20 Je umemfanya aruke kama panzi? Enzi ya mlio wake ni wa kutisha.
Engkaukah yang menyuruhnya melompat seperti belalang, dan dengan dengusnya menakut-nakuti orang?
21 Hurarua kwa nguvu na kufurahia katika nguvu zake; hukimbia upesi kukutana na silaha.
Ia menggaruk tanah di lembah dengan gembira, dan penuh semangat ia menyerbu ke medan laga.
22 Huidharau hofu na hashangazwi; huwa harudi nyuma kutoka katika upanga.
Ia tak tahu artinya gentar dan takut; tak ada pedang yang membuat dia surut.
23 Podo hugongagonga ubavuni mwake, pamoja na mkuki unaong'aa na fumo.
Senjata yang disandang penunggangnya gemerincing dan gemerlapan kena cahaya.
24 Huimeza nchi kwa hasira na ghadhabu; katika sauti ya tarumbeta, hawezi kusimama sehemu moja.
Dengan semangat menyala-nyala kuda itu berlari; bila trompet berbunyi tak dapat ia menahan diri.
25 Wakati wowote tarumbeta inapolia, husema, 'Ooh! Huisikia harufu ya vita kutoka mbali - vishindo vya radi za makamanda na makelele.
Ia mendengus setiap kali trompet dibunyikan dari jauh tercium olehnya bau pertempuran. Didengarnya teriak para perwira ketika mereka memberi aba-aba.
26 Je ni kwa hekima yako kwamba mwewe hupaa juu, na ya kuwa huyanyosha mabawa yake kwa upande wa kusini?
Apakah burung elang kauajar terbang bila ia menuju ke selatan dengan sayap terkembang?
27 Je ni kwa agizo lako kwamba tai huruka juu na kufanya kiota chake katika sehemu za juu?
Perintahmukah yang diikuti burung rajawali sebelum ia membuat sarangnya di gunung yang tinggi?
28 Huishi katika majabali na hufanya makao yake katika vilele vya majabali, na ngomeni.
Di puncak gunung batu ia membangun rumahnya; ujung batu-batu yang runcing menjadi bentengnya.
29 Kutoka huko hutafuta mawindo; macho yake huyaona mawindo kutoka mbali.
Dari situ ia mengawasi segala arah matanya mengintai mencari mangsa.
30 Makinda yake hunywa damu pia; na pale walipo watu wafu, ndipo na yeye alipo.
Di mana ada yang tewas, di situlah dia, dan darah mangsa itu diminum oleh anak-anaknya.

< Ayubu 39 >