< Ayubu 39 >

1 Je unajua ni wakati gani mbuzi mwitu huzaa watoto wao katika miamba? Je waweza kuwangalia paa wakati wanapozaa watoto wao?
Tiedätkös, koska metsävuohet poikivat, eli oletkos havainnut peurat käyvän tiineenä?
2 Waweza kuhesabu miezi ya kuchukua mimba? Je unaujua muda ambao huzaa watoto wao?
Oletkos lukenut heidän kuukautensa, koska ne täydellänsä ovat? eli tiedätkös ajan, koska he poikivat?
3 Wanainama chini na kuzaa watoto wao, na kisha maumivu yao ya uzazi yanaishi.
He kumartavat heitänsä poikiessansa, ja ajavat sen pois, josta heillä kipu on.
4 Watoto wao huwa na nguvu na kukua katika uwanda wa wazi; hutoka nje na hawarudi tena.
Heidän poikansa vahvistuvat ja kasvavat jyvistä: ne menevät ulos, ja ei palaja heidän tykönsä.
5 Ni nani huwaacha punda mwitu waende huru? Je nani amevilegeza vifungo vya punda wepesi,
Kuka on metsä-aasin antanut niin vapaana käydä? kuka on metsä-aasin siteen päästänyt?
6 ni nyumba ya nani nimeifanya katika Araba, au nyumba yake katika nchi ya chumvi?
Jolle minä olen erämaan huoneeksi antanut ja korven asuinsiaksi.
7 Hucheka kwa dharau katika kelele katika mji; hasikilizi kelele za mwongozaji.
Hän katsoo ylön kaupungin pauhinaa: vartian huutoa ei hän kuule.
8 Hutembeatembea juu ya milima kama malisho yake; huko hutafuta kila mmea ulio wa kijani kwa ajili ya kula.
Hän katsoo vuorella laiduntansa, ja etsii kussa viheriäistä on.
9 Je nyati atakuwa na furaha kukutumikia? Je atakubali kukaa katika zizi lako?
Luuletkos yksisarvisen palvelevan sinuas, ja makaavan yötä sinun seimelläs?
10 Waweza kumwongoza nyati kulima mtaro kwa kamba? Je atachimba bonde kwa ajili yako?
Taidatkos sitoa yksisarvisen vaolle köydellä, niin että hän kiskois ketoa laaksossa sinun perässäs?
11 Je waweza kumtumaini kwasababu ya nguvu zake nyingi? Je waweza kumwachia kazi yako ili aifanye?
Taidatkos sinus luottaa häneen, ehkä hän paljon voi, ja jättää työs hänen haltuunsa?
12 Je waweza kumtegemea akuletee nyumbani nafaka, au kukusanya nafaka katika uwanda wako wa kupuria?
Uskotkos hänen siemenes kotia tuovan, ja riihees kokoovan?
13 Mabawa ya mbuni hupunga kwa majivuno, bali je mabawa na manyoya yana upendo?
Ovatko riikinkukkoin sulat kauniimmat kuin nälkäkurjen sulat?
14 Kwa maana huuacha mayai yake katika nchi, na huyaacha yapate joto katika mavumbi;
Joka munansa jättää maahan, ja antaa maan lämpimän hautoa niitä.
15 husahau kuwa mguu waweza kuyaharibu au kwamba mnyama mwitu aweza kuyakanyaga.
Hän unohtaa ne tallattavan, ja että peto kedolla ne rikkois.
16 Huyatendea vibaya makinda yake kana kwamba si yake; haogopi kwamba kazi yake yaweza kupotea bure,
Hän on niin kova poikiansa vastaan, kuin ei ne hänen olisikaan: Ei hän tottele turhaan työtä tehdä.
17 kwasababu Mungu amemnyima hekima na hajampa ufahamu wowote.
Sillä Jumala on häneltä taidon ottanut pois, ja ei ole antanut hänelle ymmärrystä.
18 Na wakati anapokimbia kwa haraka, huwacheka kwa dharau farasi na mpanda farasi wake.
Kuin hän ylentää itsensä korkeuteen, nauraa hän hevosta ja miestä.
19 Je umempa farasi nguvu zake? Je umeivika shingo yake kwa manyoya?
Taidatkos antaa hevoselle väen, eli taidatkos kaunistaa hänen kaulansa hirnumisella?
20 Je umemfanya aruke kama panzi? Enzi ya mlio wake ni wa kutisha.
Taidatkos peljättää hänen niinkuin heinäsirkan? peljättävä on hänen sieramiensa päristys.
21 Hurarua kwa nguvu na kufurahia katika nguvu zake; hukimbia upesi kukutana na silaha.
Hän kaivaa maata kavioillansa, on riemuinen väkevyydessänsä, ja menee sota-aseita vastaan.
22 Huidharau hofu na hashangazwi; huwa harudi nyuma kutoka katika upanga.
Hän nauraa pelkoa ja ei hämmästy, eikä pakene miekkaa.
23 Podo hugongagonga ubavuni mwake, pamoja na mkuki unaong'aa na fumo.
Ehkä vielä viini kalisis häntä vastaan, ja keihäät ja kilvet välkkyisivät;
24 Huimeza nchi kwa hasira na ghadhabu; katika sauti ya tarumbeta, hawezi kusimama sehemu moja.
Hän korskuu, pudistelee ja kaivaa maata, ja ei tottele vasikitorven helinää.
25 Wakati wowote tarumbeta inapolia, husema, 'Ooh! Huisikia harufu ya vita kutoka mbali - vishindo vya radi za makamanda na makelele.
Kuin vaskitorvi heliästi soi, luihkaa hän: hui, ja haastaa sodan taampaa, niin myös päämiesten huudon ja riemun.
26 Je ni kwa hekima yako kwamba mwewe hupaa juu, na ya kuwa huyanyosha mabawa yake kwa upande wa kusini?
Lentääkö haukka sinun ymmärryksestäs, ja hajoittaa siipensä etelään käsin?
27 Je ni kwa agizo lako kwamba tai huruka juu na kufanya kiota chake katika sehemu za juu?
Lentääkö kotka sinun kädestäs niin korkialle, että hän tekee pesänsä korkeuteen?
28 Huishi katika majabali na hufanya makao yake katika vilele vya majabali, na ngomeni.
Hän asuu vuorilla ja yöttelee vuorten kukkuloilla ja vahvoissa paikoissa.
29 Kutoka huko hutafuta mawindo; macho yake huyaona mawindo kutoka mbali.
Sieltä hän katsoo ruan perään, ja hänen silmänsä näkevät kauvas.
30 Makinda yake hunywa damu pia; na pale walipo watu wafu, ndipo na yeye alipo.
Hänen poikansa särpävät verta; ja kussa raato on, siellä myös hän on.

< Ayubu 39 >