< Ayubu 39 >

1 Je unajua ni wakati gani mbuzi mwitu huzaa watoto wao katika miamba? Je waweza kuwangalia paa wakati wanapozaa watoto wao?
Víš-li, kterého času rodí kamsíkové, a laň ku porodu pracující spatřil-lis?
2 Waweza kuhesabu miezi ya kuchukua mimba? Je unaujua muda ambao huzaa watoto wao?
Máš-li v počtu měsíce, kteréž vyplňují? Znáš-li, pravím, čas porodu jejich?
3 Wanainama chini na kuzaa watoto wao, na kisha maumivu yao ya uzazi yanaishi.
Jak se kladou, plod svůj utiskají, a s bolestí ho pozbývají?
4 Watoto wao huwa na nguvu na kukua katika uwanda wa wazi; hutoka nje na hawarudi tena.
Jak se zmocňují mladí jejich, i odchovávají picí polní, a vycházejíce, nenavracují se k nim?
5 Ni nani huwaacha punda mwitu waende huru? Je nani amevilegeza vifungo vya punda wepesi,
Kdo propustil zvěř, aby byla svobodná? A řemení divokého osla kdo rozvázal?
6 ni nyumba ya nani nimeifanya katika Araba, au nyumba yake katika nchi ya chumvi?
Jemuž jsem dal pustinu místo domu jeho, a místo příbytku jeho zemi slatinnou.
7 Hucheka kwa dharau katika kelele katika mji; hasikilizi kelele za mwongozaji.
Posmívá se hluku městskému, a na křikání toho, kdož by jej honil, nic nedbá.
8 Hutembeatembea juu ya milima kama malisho yake; huko hutafuta kila mmea ulio wa kijani kwa ajili ya kula.
To, což nachází v horách, jest pastva jeho; nebo toliko zeliny hledá.
9 Je nyati atakuwa na furaha kukutumikia? Je atakubali kukaa katika zizi lako?
Svolí-liž jednorožec, aby tobě sloužil, a u jeslí tvých aby nocoval?
10 Waweza kumwongoza nyati kulima mtaro kwa kamba? Je atachimba bonde kwa ajili yako?
Připřáhneš-liž provazem jednorožce k orání? Bude-liž vláčeti brázdy za tebou?
11 Je waweza kumtumaini kwasababu ya nguvu zake nyingi? Je waweza kumwachia kazi yako ili aifanye?
Zdaž se na něj ubezpečíš, proto že jest veliká síla jeho, a poručíš jemu svou práci?
12 Je waweza kumtegemea akuletee nyumbani nafaka, au kukusanya nafaka katika uwanda wako wa kupuria?
Zdaž se jemu dověříš, že sveze semeno tvé, a na humno tvé shromáždí?
13 Mabawa ya mbuni hupunga kwa majivuno, bali je mabawa na manyoya yana upendo?
Ty-lis dal pávům křídlo pěkné, aneb péro čápu neb pstrosu?
14 Kwa maana huuacha mayai yake katika nchi, na huyaacha yapate joto katika mavumbi;
A že opouští na zemi vejce svá, ačkoli je v prachu osedí,
15 husahau kuwa mguu waweza kuyaharibu au kwamba mnyama mwitu aweza kuyakanyaga.
Nic nemysle, že by je noha potlačiti, aneb zvěř polní pošlapati mohla?
16 Huyatendea vibaya makinda yake kana kwamba si yake; haogopi kwamba kazi yake yaweza kupotea bure,
Tak se zatvrzuje k mladým svým, jako by jich neměl; jako by neužitečná byla práce jeho, tak jest bez starosti.
17 kwasababu Mungu amemnyima hekima na hajampa ufahamu wowote.
Nebo nedal jemu Bůh moudrosti, aniž mu udělil rozumnosti.
18 Na wakati anapokimbia kwa haraka, huwacheka kwa dharau farasi na mpanda farasi wake.
Èasem svým zhůru se vznášeje, posmívá se koni i jezdci jeho.
19 Je umempa farasi nguvu zake? Je umeivika shingo yake kwa manyoya?
Zdaž ty dáti můžeš koni sílu? Ty-li ozdobíš šíji jeho řehtáním?
20 Je umemfanya aruke kama panzi? Enzi ya mlio wake ni wa kutisha.
Zdali jej zastrašíš jako kobylku? Anobrž frkání chřípí jeho strašlivé jest.
21 Hurarua kwa nguvu na kufurahia katika nguvu zake; hukimbia upesi kukutana na silaha.
Kopá důl, a pléše v síle své, vycházeje vstříc i zbroji.
22 Huidharau hofu na hashangazwi; huwa harudi nyuma kutoka katika upanga.
Směje se strachu, aniž se leká, aniž ustupuje zpátkem před ostrostí meče,
23 Podo hugongagonga ubavuni mwake, pamoja na mkuki unaong'aa na fumo.
Ač i toul na něm chřestí, a blyští se dřevce a kopí.
24 Huimeza nchi kwa hasira na ghadhabu; katika sauti ya tarumbeta, hawezi kusimama sehemu moja.
S hřmotem a s hněvem kopá zemi, aniž pokojně stojí k zvuku trouby.
25 Wakati wowote tarumbeta inapolia, husema, 'Ooh! Huisikia harufu ya vita kutoka mbali - vishindo vya radi za makamanda na makelele.
Anobrž k zvuku trouby řehce, a zdaleka cítí boj, hluk knížat a prokřikování.
26 Je ni kwa hekima yako kwamba mwewe hupaa juu, na ya kuwa huyanyosha mabawa yake kwa upande wa kusini?
Zdali podlé rozumu tvého létá jestřáb, roztahuje křídla svá na poledne?
27 Je ni kwa agizo lako kwamba tai huruka juu na kufanya kiota chake katika sehemu za juu?
Zdali k rozkazu tvému zhůru se vznáší orlice, a vysoko se hnízdí?
28 Huishi katika majabali na hufanya makao yake katika vilele vya majabali, na ngomeni.
Na skále přebývá, přebývá na špičaté skále jako na hradě,
29 Kutoka huko hutafuta mawindo; macho yake huyaona mawindo kutoka mbali.
Odkudž hledá pokrmu, kterýž z daleka očima svýma spatřuje.
30 Makinda yake hunywa damu pia; na pale walipo watu wafu, ndipo na yeye alipo.
Ano i mladí její střebí krev, a kde těla mrtvá, tu i ona jest.

< Ayubu 39 >