< Ayubu 39 >

1 Je unajua ni wakati gani mbuzi mwitu huzaa watoto wao katika miamba? Je waweza kuwangalia paa wakati wanapozaa watoto wao?
Di da goumia esalebe goudi ilia lalelegesu eso dawa: sala: ? Di da sigua ‘dia’ gebo ilia mano lalelegei hou ba: bela: ?
2 Waweza kuhesabu miezi ya kuchukua mimba? Je unaujua muda ambao huzaa watoto wao?
Di da ilia eso habodayane galuiyale dawa: bela: Di da ilia lalelegemu eso ilegei dawa: sala: ?
3 Wanainama chini na kuzaa watoto wao, na kisha maumivu yao ya uzazi yanaishi.
Ilia habogala mano lamusa: beguduli lobo gaguladabe, amo di dawa: bela: ?
4 Watoto wao huwa na nguvu na kukua katika uwanda wa wazi; hutoka nje na hawarudi tena.
Ilia da iwiladafa amo ganodini gasa lale, alesa. Ilia da ga asili, hame buhagisa.
5 Ni nani huwaacha punda mwitu waende huru? Je nani amevilegeza vifungo vya punda wepesi,
Sigua dougi halegale masa: ne, nowa ilia logo doasibala: ?
6 ni nyumba ya nani nimeifanya katika Araba, au nyumba yake katika nchi ya chumvi?
Na da ili amogai esaloma: ne, hafoga: i soge ilima i. Ilia da hafoga: i deme (sali) dialebe umiga esaloma: ne, Na logo doasi.
7 Hucheka kwa dharau katika kelele katika mji; hasikilizi kelele za mwongozaji.
Ilia sia: gulubagebe moilai bai bagade gadenene hame esala. Amola dunu ilia da ili fofole amola ilia hawa: hamoma: ne sia: mu hamedei ba: sa.
8 Hutembeatembea juu ya milima kama malisho yake; huko hutafuta kila mmea ulio wa kijani kwa ajili ya kula.
Ilia goumia mola: iya: i ha: i manu hogosa.
9 Je nyati atakuwa na furaha kukutumikia? Je atakubali kukaa katika zizi lako?
Sigua bulamagau gawali da digili hawa: hamonesima: bela: ? E da dia bulamagau diasuga gasi afae esaloma: bela: ?
10 Waweza kumwongoza nyati kulima mtaro kwa kamba? Je atachimba bonde kwa ajili yako?
Di da sigua bulamagau gawali afaema efe gomenesili, osobo gidinama: ne sia: mu dawa: bela: ? Di da e gomenesili, osobo gisuga gima: ne sia: mu dawa: bela: ?
11 Je waweza kumtumaini kwasababu ya nguvu zake nyingi? Je waweza kumwachia kazi yako ili aifanye?
Di da ea gasa bagade amoga e da dia hawa: hamosu fawane hamoma: ne dafawaneyale dawa: bela: ?
12 Je waweza kumtegemea akuletee nyumbani nafaka, au kukusanya nafaka katika uwanda wako wa kupuria?
E da dia bugi gamisu dima gaguli misa: bela: ? E da gagoma dia dabasu faia dialebe, amo gagadole lidima: bela: ?
13 Mabawa ya mbuni hupunga kwa majivuno, bali je mabawa na manyoya yana upendo?
‘Osadaligi’ (wida agoai) ea ougia da hedolodafa dada ahoa. Be ‘osadaligi’ afae da ‘sidoge’ ea hagili ahoabe defele hame dawa:
14 Kwa maana huuacha mayai yake katika nchi, na huyaacha yapate joto katika mavumbi;
‘Osadaligi’ da ea oso da osobo da: iya dogoloma: ne legesa.
15 husahau kuwa mguu waweza kuyaharibu au kwamba mnyama mwitu aweza kuyakanyaga.
Be e da asigi dawa: su hame dawa: beba: le, amo oso da emoga hasalasimu o sigua ohe amoga goudanisimu, amo e da hame dawa:
16 Huyatendea vibaya makinda yake kana kwamba si yake; haogopi kwamba kazi yake yaweza kupotea bure,
E da amo oso da ea: hameyale defele, e da hamosa. E da ea oso udigili legebayale dawa: beba: le, hame da: i diosa.
17 kwasababu Mungu amemnyima hekima na hajampa ufahamu wowote.
Be Ni fawane da e gagaoulisi, amola ema bagade dawa: su hame i.
18 Na wakati anapokimbia kwa haraka, huwacheka kwa dharau farasi na mpanda farasi wake.
Be e da muni hehenane ahoasea, e da hosi amola hosi fila heda: i dunu amoba: le ousa.
19 Je umempa farasi nguvu zake? Je umeivika shingo yake kwa manyoya?
Yoube! Di fawane da hosi ilima gasa ibala: ? Di fawane da ilima ilia mugi hinabo sedade ibala: ?
20 Je umemfanya aruke kama panzi? Enzi ya mlio wake ni wa kutisha.
Di da ili danuba: defele soagagala: ma: ne ilima ibala: ? Amola ili dunu beda: ma: ne hagogala: ma: ne hamobela: ?
21 Hurarua kwa nguvu na kufurahia katika nguvu zake; hukimbia upesi kukutana na silaha.
Hosi da nimiwane osobo fagoa gudu gigila: sa. Ilia da ilia gasa huluane defele, gegemusa: hehenasa.
22 Huidharau hofu na hashangazwi; huwa harudi nyuma kutoka katika upanga.
Ilia da beda: su hamedafa dawa: Amola gegesu gobihei afae da ili sinidigima: ne hamomu hame dawa:
23 Podo hugongagonga ubavuni mwake, pamoja na mkuki unaong'aa na fumo.
Ilima fila heda: i dunu ilia gegesu liligi da ginina: ginina: sa, amola esoga baba gaga: la: sa.
24 Huimeza nchi kwa hasira na ghadhabu; katika sauti ya tarumbeta, hawezi kusimama sehemu moja.
Fofogadigili yaguguli, ilia misosogane hehenasa. Gegesu dalabede da wesea, ilia da nimi agoane fofoga: sa.
25 Wakati wowote tarumbeta inapolia, husema, 'Ooh! Huisikia harufu ya vita kutoka mbali - vishindo vya radi za makamanda na makelele.
Dalabede da afae wele gasea, hosi da hagogala: sa. Ilia da gegesua hame gadeneawane, nimi gaha naba. Ilia dadi gagui ouligisu dunu ilia hamoma: ne wele sia: su naba.
26 Je ni kwa hekima yako kwamba mwewe hupaa juu, na ya kuwa huyanyosha mabawa yake kwa upande wa kusini?
Buhiba da ea ougia ga (south) amodili da: legasea, di da hagili ahoabe amo ema olelebela: ?
27 Je ni kwa agizo lako kwamba tai huruka juu na kufanya kiota chake katika sehemu za juu?
Sia sio da goumi gadodafa amo da: iya bibimusa: dawa: sea, e da hidadea dia hamoma: ne sia: nabimusa: ouesaloma: bela: ?
28 Huishi katika majabali na hufanya makao yake katika vilele vya majabali, na ngomeni.
E da igi gadodafa da: iya bibisa. Amola goumi agesone fisiagagadoi, da ea gagili sali diasu agoai gala.
29 Kutoka huko hutafuta mawindo; macho yake huyaona mawindo kutoka mbali.
Amogainini, e da ga amola gadenene huluane liligi medoma: ne amola moma: ne hogosa.
30 Makinda yake hunywa damu pia; na pale walipo watu wafu, ndipo na yeye alipo.
Sia sio ilia da bogoi da: i manusa: beba: le sisiga: sa. Waha debe sia da maga: me nososa.

< Ayubu 39 >