< Ayubu 38 >

1 Ndipo Yahweh alimwita Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kumwambia,
Тоді відповів Господь Йову із бурі й сказав:
2 “Huyu ni nani aletaye giza katika mipango kwa njia ya maneno bila maarifa?
„Хто́ то такий, що зате́мнює раду слова́ми без розуму?
3 Basi sasa jifunge kiunoni mwako kama mwanaume kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
Підпережи́ но ти сте́гна свої, як мужчи́на, а Я буду питати тебе, — ти ж Мені поясни!
4 Wewe ulikuwa wapi wakati nilipoitandaza misingi ya dunia? Niambie, kama unao ufahamu zaidi.
Де́ ти був, коли землю осно́вував Я? Розкажи, якщо маєш знання́!
5 Je ni nani aliyeamuru vipimo vyake? Niambie, kama unajua, ni nani alivinyosha vipimo juu yake?
Хто осно́ви її положив, чи ти знаєш? Або хто́ розтягнув по ній шнура?
6 Misingi yake ilitandazwa juu ya nini? Ni nani aliyeliweka jiwe lake la pembeni
У що підстави її позапу́щувані, або хто́ поклав камінь нарі́жний її,
7 wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha?
коли ра́зом співали всі зо́рі пора́нні та радісний о́крик здіймали всі Божі сини?
8 Ni nani huifunga bahari kwa milango wakati inapofurika, kana kwamba inatoka katika tumbo,
І хто море воро́тами загороди́в, як воно виступа́ло, немов би з утро́би вихо́дило,
9 wakati nilipoyafanya mawingu kuwa ni mavazi yake, na giza nene kuwa mkanda wake wa kujifungia?
коли хмари поклав Я за одіж йому, а імлу́ — за його пелюшки́,
10 Hapo ilikuwa wakati nilipoweka bahari mpaka wangu, na nilipoweka makomeo yake na milango,
і призна́чив йому Я границю Свою та поставив засу́ва й воро́та,
11 na wakati nilipoiambia, 'Unaweza kuja hapa kutoka mbali, lakini si zaidi; na hapa ndipo nitauweka mpaka kwa fahari ya mawimbi yako.'
і сказав: „Аж досі ти ді́йдеш, не далі, і тут ось межа́ твоїх хвиль гордови́тих?“
12 Je tangu mwanzo wa siku zako, ulishawahi kuigiza asubuhi ianze, na kuyafanya mapambazuko yajue sehemu yake katika mpangilio wa vitu,
Чи за своїх днів ти наказував ра́нкові? Чи досві́тній зорі́ показав її місце,
13 ili kwamba ishikilie sehemu za dunia ili watu waovu watikiswe mbali nayo.
щоб хапа́лась за кі́нці землі та поси́пались з неї безбожні?
14 Dunia imebadilishwa katika mwonekano kama udongo unavyobadilika chini ya muhuri; vitu vyote husimama juu yake dhahiri kama cha kibindo cha nguo.
Земля змі́нюється, мов та глина печа́тки, і стають, немов о́діж, вони!
15 'Mwanga' wao umeondolewa kutoka kwa watu waovu; na mkono wao ulioinuliwa umevunjwa.
І нехай від безбожних їх світло віді́йметься, а високе раме́но злама́ється!
16 Je umeshaenda kwenye vyanzo vya maji ya bahari? Je umeshatembea sehemu za chini kabisa za kilindi?
Чи ти схо́див коли аж до мо́рських джере́л, і чи ти перехо́джувався дном безодні?
17 Je malango ya mauti yamefunuliwa kwako? Je umeshaona malango ya uvuli wa mauti?
Чи для тебе відкриті були брами смерти, і чи бачив ти брами смерте́льної тіні?
18 Je umeifahamu dunia katika upana wake? Niambie kama unayajua yote hayo.
Чи широкість землі ти оглянув? Розкажи, якщо знаєш це все!
19 Je iko wapi njia ya sehemu ya kupumzikia kwa mwanga, na kama ilivyo kwa giza, iko wapi sehemu yake?
Де́ та доро́га, що світло на ній пробуває? А те́мрява — де її місце,
20 Je unaweza kuuongoza mwanga na giza katika sehemu zake za kazi? Waweza kuitambua njia ya kurudi katika nyumba zao?
щоб узяти її до границі її, і щоб знати стежки́ її дому?
21 Bila shaka unajua, kwa kuwa ulizaliwa wakati huo; hesabu ya siku zako ni kubwa sana!
Знаєш ти, бо тоді народився ж ти був, і велике число твоїх днів!
22 Je ulishaingia katika ghala ya barafu, au umeshaiona ghala ya mawe ya mvua,
Чи дохо́див коли ти до схо́ванок снігу, і схо́ванки граду ти бачив,
23 vitu hivi nimeviweka kwa ajili ya siku za mateso, kwa siku za mapigano na vita?
які Я тримаю на час лихолі́ття, на день бо́ю й війни?
24 Je iko wapi njia ya mshindo wa mwanga hutokea au je upepo husambazwa kutoka mashariki juu ya dunia?
Якою дорогою ді́литься вітер, розпоро́шується по землі вітере́ць?
25 Ni nani aliyezitengeneza mifereji ya gharika ya mvua, au ni nani aliyezifanya njia za milipuko ya radi,
Хто для зливи прото́ку прові́в, а для громови́ці — дорогу,
26 na kuifanya mvua inyeshe juu ya nchi ambazo hakuna mtu aishiye ndani yake, na juu ya jangwa, ambayo ndani yake hakuna mtu yeyote,
щоб дощи́ти на землю безлюдну, на пустиню, в якій чоловіка нема,
27 kwa kusudi la kutimiza mahitaji ya mikoa iliyo kame na yenye ukiwa, na kuyastawisha majani mororo?
щоб пустиню та пущу наси́чувати, і щоб забезпе́чити ви́хід траві?
28 Je kuna baba wa mvua? Ni nani aliyeyafanya matone ya umande?
Чи є ба́тько в доща, чи хто кра́плі роси́ породи́в?
29 Je barafu ilitoka katika tumbo la nani? Na ni nani aliyeizaa theluji nyeupe katika anga?
Із чиєї утро́би лід вийшов, а і́ній небесний — хто його породив?
30 Maji hujificha menyewe na kuwa kama jiwe; sehemu za juu za vilindi huwa kama barafu.
Як камінь, тужа́віють води, а пове́рхня безо́дні ховається.
31 Je unaweza kuzifunga minyororo ya Kilimia, au kuvifungua vifundo vya Orioni?
Чи зв'яжеш ти за́в'язки Волосожа́ру, чи розв'я́жеш віжки́ в Оріо́на?
32 Je unaweza kuziongoza nyota kutokea katika nyakati zake? Je waweza kuongoza dubu pamoja na watoto wake?
Чи ви́ведеш ча́су свого Зодія́ка, чи Во́за з синами його попрова́диш?
33 Je unazijua sheria za anga? Wewe uliweza kuanzisha sheria za anga juu ya dunia?
Чи ти знаєш уста́ви небе́с? Чи ти покладе́ш на землі їхню вла́ду?
34 Je waweza kupaza sauti yako hadi mawinguni, ili kwamba maji mengi ya mvua yakufunike?
Чи піді́ймеш свій голос до хмар, — і багато води тебе вкриє?
35 Je waweza kuagiza miali ya mwanga ili itokee, na kukwambia, 'Sisi tupo hapa'?
Чи бли́скавки ти посилаєш, і пі́дуть вони, й тобі скажуть „Ось ми“?
36 Ni nani ameweka hekima katika mawingu au ni nani ameweka ufahamu kwa ukungu?
Хто мудрість вкладає людині в нутро́? Або — хто́ дає се́рцеві розум?
37 Nani anaweza kuyahesabu mawingu kwa maarifa yake? Na ni nani awezaye kuvimwaga viriba vya anga
Хто мудрістю хмари зрахує, і хто може затримати небесні посу́ди,
38 wakati mavumbi yanapoungana kuwa kitu kigumu na mabonge ya dunia yanaposhikama kwa pamoja?
коли по́рох зливається в зли́вки, а кавалки злипаються?
39 Je waweza kuwinda mawindo kwa ajili ya simba jike au kutosheleza hamu ya watoto wadogo wa simba
Чи здо́бич левиці ти зловиш, і заспоко́їш життя левчукі́в,
40 wakati wanapokwaruza kwaruza katika pango lao na kukaa katika kificho ili kulala katika hali ya kuvizia?
як вони по лего́вищах ту́ляться, на ча́тах сидять по куща́х?
41 Ni nani aletaye mawindo kwa ajili ya kunguru wakati ambapo watoto wao wanapomlilia Mungu na kutangatanga kwa kukosa chakula?
Хто готує для кру́ка поживу його, як до Бога кричать його діти, як без ї́жі блукають вони?

< Ayubu 38 >