< Ayubu 38 >

1 Ndipo Yahweh alimwita Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kumwambia,
Tedy odpověděl Hospodin Jobovi z vichru, a řekl:
2 “Huyu ni nani aletaye giza katika mipango kwa njia ya maneno bila maarifa?
Kdož jest to, jenž zatemňuje radu řečmi neumělými?
3 Basi sasa jifunge kiunoni mwako kama mwanaume kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
Přepaš nyní jako muž bedra svá, a nač se tebe tázati budu, oznam mi.
4 Wewe ulikuwa wapi wakati nilipoitandaza misingi ya dunia? Niambie, kama unao ufahamu zaidi.
Kdes byl, když jsem zakládal zemi? Pověz, jestliže máš rozum.
5 Je ni nani aliyeamuru vipimo vyake? Niambie, kama unajua, ni nani alivinyosha vipimo juu yake?
Kdo rozměřil ji, víš-li? Aneb kdo vztáhl pravidlo na ni?
6 Misingi yake ilitandazwa juu ya nini? Ni nani aliyeliweka jiwe lake la pembeni
Na čem podstavkové její upevněni jsou? Aneb kdo založil úhelný kámen její,
7 wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha?
Když prozpěvovaly spolu hvězdy jitřní, a plésali všickni synové Boží?
8 Ni nani huifunga bahari kwa milango wakati inapofurika, kana kwamba inatoka katika tumbo,
Aneb kdo zavřel jako dveřmi moře, když vyšlo z života, a zjevilo se?
9 wakati nilipoyafanya mawingu kuwa ni mavazi yake, na giza nene kuwa mkanda wake wa kujifungia?
Když jsem mu položil oblak za oděv, a mrákotu místo plének jeho,
10 Hapo ilikuwa wakati nilipoweka bahari mpaka wangu, na nilipoweka makomeo yake na milango,
Když jsem jemu uložil úsudek svůj, přistaviv závory a dvéře,
11 na wakati nilipoiambia, 'Unaweza kuja hapa kutoka mbali, lakini si zaidi; na hapa ndipo nitauweka mpaka kwa fahari ya mawimbi yako.'
I řekl jsem: Až potud vycházeti budeš, a dále nic, tu, pravím, skládati budeš dutí vlnobití svého.
12 Je tangu mwanzo wa siku zako, ulishawahi kuigiza asubuhi ianze, na kuyafanya mapambazuko yajue sehemu yake katika mpangilio wa vitu,
Zdaž jsi kdy za dnů svých rozkázal jitru? Ukázal-lis záři jitřní místo její,
13 ili kwamba ishikilie sehemu za dunia ili watu waovu watikiswe mbali nayo.
Aby uchvacovala kraje země, a bezbožní aby z ní vymítáni byli?
14 Dunia imebadilishwa katika mwonekano kama udongo unavyobadilika chini ya muhuri; vitu vyote husimama juu yake dhahiri kama cha kibindo cha nguo.
Tak aby proměnu přijímala jako vosk pečetní, oni pak aby nedlouho stáli jako roucho,
15 'Mwanga' wao umeondolewa kutoka kwa watu waovu; na mkono wao ulioinuliwa umevunjwa.
A aby bezbožným zbraňováno bylo světla jejich, a rámě vyvýšené zlámáno bylo?
16 Je umeshaenda kwenye vyanzo vya maji ya bahari? Je umeshatembea sehemu za chini kabisa za kilindi?
Přišel-lis až k hlubinám mořským? A u vnitřnosti propasti chodil-lis?
17 Je malango ya mauti yamefunuliwa kwako? Je umeshaona malango ya uvuli wa mauti?
Jsou-li tobě zjeveny brány smrti? A brány stínu smrti viděl-lis?
18 Je umeifahamu dunia katika upana wake? Niambie kama unayajua yote hayo.
Shlédl-lis širokosti země? Oznam, jestliže ji znáš všecku.
19 Je iko wapi njia ya sehemu ya kupumzikia kwa mwanga, na kama ilivyo kwa giza, iko wapi sehemu yake?
Která jest cesta k obydlí světla, a které místo temností,
20 Je unaweza kuuongoza mwanga na giza katika sehemu zake za kazi? Waweza kuitambua njia ya kurudi katika nyumba zao?
Že bys je pojal v meze jeho, poněvadž bys srozumíval stezkám domu jeho?
21 Bila shaka unajua, kwa kuwa ulizaliwa wakati huo; hesabu ya siku zako ni kubwa sana!
Věděl-lis tehdáž, že jsi měl se naroditi, a počet dnů tvých jak veliký býti má?
22 Je ulishaingia katika ghala ya barafu, au umeshaiona ghala ya mawe ya mvua,
Přišel-lis až ku pokladům sněhu? A poklady krupobití viděl-lis,
23 vitu hivi nimeviweka kwa ajili ya siku za mateso, kwa siku za mapigano na vita?
Kteréž chovám k času ssoužení, ke dni bitvy a boje?
24 Je iko wapi njia ya mshindo wa mwanga hutokea au je upepo husambazwa kutoka mashariki juu ya dunia?
Kterými se cestami rozděluje světlo, kteréž rozhání východní vítr po zemi?
25 Ni nani aliyezitengeneza mifereji ya gharika ya mvua, au ni nani aliyezifanya njia za milipuko ya radi,
Kdo rozdělil povodní tok, a cestu blýskání hromovému,
26 na kuifanya mvua inyeshe juu ya nchi ambazo hakuna mtu aishiye ndani yake, na juu ya jangwa, ambayo ndani yake hakuna mtu yeyote,
Tak aby pršel déšť i na tu zemi, kdež není lidí, na poušť, kdež není člověka,
27 kwa kusudi la kutimiza mahitaji ya mikoa iliyo kame na yenye ukiwa, na kuyastawisha majani mororo?
Aby zapájel místa planá a pustá, a k zrůstu přivodil trávu mladistvou?
28 Je kuna baba wa mvua? Ni nani aliyeyafanya matone ya umande?
Má-liž déšť otce? A kdo plodí krůpěje rosy?
29 Je barafu ilitoka katika tumbo la nani? Na ni nani aliyeizaa theluji nyeupe katika anga?
Z čího života vychází mráz? A jíní nebeské kdo plodí?
30 Maji hujificha menyewe na kuwa kama jiwe; sehemu za juu za vilindi huwa kama barafu.
Až i vody jako v kámen se proměňují, a svrchek propasti zamrzá.
31 Je unaweza kuzifunga minyororo ya Kilimia, au kuvifungua vifundo vya Orioni?
Zdali zavázati můžeš rozkoše Kuřátek, aneb stahování Orionovo rozvázati?
32 Je unaweza kuziongoza nyota kutokea katika nyakati zake? Je waweza kuongoza dubu pamoja na watoto wake?
Můžeš-li vyvoditi hvězdy polední v čas jistý, aneb Arktura s syny jeho povedeš-li?
33 Je unazijua sheria za anga? Wewe uliweza kuanzisha sheria za anga juu ya dunia?
Znáš-li řád nebes? Můžeš-li spravovati panování jejich na zemi?
34 Je waweza kupaza sauti yako hadi mawinguni, ili kwamba maji mengi ya mvua yakufunike?
Můžeš-li pozdvihnouti k oblaku hlasu svého, aby hojnost vod přikryla tebe?
35 Je waweza kuagiza miali ya mwanga ili itokee, na kukwambia, 'Sisi tupo hapa'?
Ty-liž vypustíš blýskání, aby vycházela? Zdaliž řeknou tobě: Aj teď jsme?
36 Ni nani ameweka hekima katika mawingu au ni nani ameweka ufahamu kwa ukungu?
Kdo složil u vnitřnostech lidských moudrost? Aneb kdo dal rozumu stižitelnost?
37 Nani anaweza kuyahesabu mawingu kwa maarifa yake? Na ni nani awezaye kuvimwaga viriba vya anga
Kdo vypravovati bude o nebesích moudře? A láhvice nebeské kdo nastrojuje,
38 wakati mavumbi yanapoungana kuwa kitu kigumu na mabonge ya dunia yanaposhikama kwa pamoja?
Aby svlažená země zase stuhnouti mohla, a hrudy se v hromadě držely?
39 Je waweza kuwinda mawindo kwa ajili ya simba jike au kutosheleza hamu ya watoto wadogo wa simba
Honíš-liž ty lvu loupež? A hltavost lvíčat naplňuješ-liž,
40 wakati wanapokwaruza kwaruza katika pango lao na kukaa katika kificho ili kulala katika hali ya kuvizia?
Když se stulují v peleších svých, ustavičně z skrýší čihajíce?
41 Ni nani aletaye mawindo kwa ajili ya kunguru wakati ambapo watoto wao wanapomlilia Mungu na kutangatanga kwa kukosa chakula?
Kdo připravuje krkavci pokrm jeho, když mladí jeho k Bohu silnému volají, a toulají se sem i tam pro nedostatek pokrmu?

< Ayubu 38 >