< Ayubu 38 >

1 Ndipo Yahweh alimwita Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kumwambia,
Amalalu, foga mulu bagade amodili, Hina Gode da Youbema amane sia: i,
2 “Huyu ni nani aletaye giza katika mipango kwa njia ya maneno bila maarifa?
“Di da abuliba: le Na bagade dawa: su hou da defele hame sia: sala: ? Dia sia: da gagaoui amola hamedei sia: fawane.
3 Basi sasa jifunge kiunoni mwako kama mwanaume kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
Wali, molole wa: legadole, Na dima adole ba: be amo nama dabe adole ima.
4 Wewe ulikuwa wapi wakati nilipoitandaza misingi ya dunia? Niambie, kama unao ufahamu zaidi.
Na da osobo bagade hahamonoba, di amogawi esalebe ba: bela: ? Di da liligi huluane dawa: beba: le, Nama dabe adole ima.
5 Je ni nani aliyeamuru vipimo vyake? Niambie, kama unajua, ni nani alivinyosha vipimo juu yake?
Nowa da osobo bagade ea defei ilegebela: ? Nowa da amo defemusa: , defesu efe bobaila: ? Di da adole iasu huluane dawa: sala: ?
6 Misingi yake ilitandazwa juu ya nini? Ni nani aliyeliweka jiwe lake la pembeni
Fedege agoane, dunu bugi amo da osobo bagade udidia gadosa, amo adiga udidisala: ? Osobo bagade ea igi bai bagade, nowa da fa: bela: ?
7 wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha?
Osobo bagade hahamoi eso hehebolo amoga gasumuni huluane da gilisili gesami hea: lalu. Amola Hebene esalebe fi huluane da hahawaneba: le, wele sia: i.
8 Ni nani huifunga bahari kwa milango wakati inapofurika, kana kwamba inatoka katika tumbo,
Hano wayabo bagade da musa: osobo bagade dogoa ganodini galu amo fudagala: le, ga ahoanoba, osobo bi hamoi amo hasalasisa: besa: le, nowa da ea logo hedofama: ne, logo ga: su ga: sibala: ?
9 wakati nilipoyafanya mawingu kuwa ni mavazi yake, na giza nene kuwa mkanda wake wa kujifungia?
Na Nisu fawane da hano wayabo bagade mumobiga dedebolesi dagoi. Na Nisu fawane da hano wayabo bagade gasiga lala: boloi.
10 Hapo ilikuwa wakati nilipoweka bahari mpaka wangu, na nilipoweka makomeo yake na milango,
Na da hano wayabo bagade alalo ilegei, amola ga mae masa: ne logo gaga: lesi.
11 na wakati nilipoiambia, 'Unaweza kuja hapa kutoka mbali, lakini si zaidi; na hapa ndipo nitauweka mpaka kwa fahari ya mawimbi yako.'
Na da hano wayabo bagadema amane sia: i, ‘Dia alalo da goea! Amo mae baligigama! Dia gasa bagade gafulubi amoga, amo alalo mae baligiligama!’
12 Je tangu mwanzo wa siku zako, ulishawahi kuigiza asubuhi ianze, na kuyafanya mapambazuko yajue sehemu yake katika mpangilio wa vitu,
Yoube! Di da dia esalusu ganodini huluane amo eso hehebolo misa: ne sia: bela: ?
13 ili kwamba ishikilie sehemu za dunia ili watu waovu watikiswe mbali nayo.
Di da hehebolo amoma amane hamoma: ne sia: bela: ? ‘Osobo bagade gagulaligima! Wadela: i hamosu dunu ilia wamoaligisu amoga uguguli gugudili fasima!’ Di da amo hamoma: ne sia: bela: ?
14 Dunia imebadilishwa katika mwonekano kama udongo unavyobadilika chini ya muhuri; vitu vyote husimama juu yake dhahiri kama cha kibindo cha nguo.
Haiyoga, agolo amola fago ilia da abula miginisisi amola laga osoboga dedei agoane, noga: i ba: sa.
15 'Mwanga' wao umeondolewa kutoka kwa watu waovu; na mkono wao ulioinuliwa umevunjwa.
Wadela: i hamosu dunu da esohaiyo si gagasenei agoai ba: sa. Bai amo da ilia wadela: le hamomu logo hedofasa.
16 Je umeshaenda kwenye vyanzo vya maji ya bahari? Je umeshatembea sehemu za chini kabisa za kilindi?
Di da hano wayabo bagade lugudu amoga gudunini bubuga: ne gadobe amo ba: la asibala: ? Di hano wayabo bagade amo hano oso hagudu amo da: iya lalula: ?
17 Je malango ya mauti yamefunuliwa kwako? Je umeshaona malango ya uvuli wa mauti?
Dunu afae da dima logo ga: su, amo da bogoi gasi soge ga: sibi, amo dima olebela: ?
18 Je umeifahamu dunia katika upana wake? Niambie kama unayajua yote hayo.
Di da osobo bagade ea bagade defei amo dawa: bela: ? Dia da dawa: i galea, nama adoma!
19 Je iko wapi njia ya sehemu ya kupumzikia kwa mwanga, na kama ilivyo kwa giza, iko wapi sehemu yake?
Dia da hadigi ea mabe bai dawa: bela: ? Amola gasi ea banuguma dawa: bela: ?
20 Je unaweza kuuongoza mwanga na giza katika sehemu zake za kazi? Waweza kuitambua njia ya kurudi katika nyumba zao?
Dia da hadigi amola gasi amoma ela masa: ne olemu dawa: bela: ? Amola ela bu sinidigima: ne adomu dawa: sala: ?
21 Bila shaka unajua, kwa kuwa ulizaliwa wakati huo; hesabu ya siku zako ni kubwa sana!
Dafawane! Di da amo hou huluane dawa: ! Di da da: i hamoi dagoi. Amola Na da osobo bagade hahamoloba, di amo amogai esalula: ?
22 Je ulishaingia katika ghala ya barafu, au umeshaiona ghala ya mawe ya mvua,
Di da liligi legesu diasu amoga Na da mugene (snow) amola mugene ga: nasi (hail) legesa, amoga ba: la asibala: ?
23 vitu hivi nimeviweka kwa ajili ya siku za mateso, kwa siku za mapigano na vita?
Na da gegesu amola bidi hamosu eso amoga, ha lai dunuma gegema: ne amo liligi ouligisa.
24 Je iko wapi njia ya mshindo wa mwanga hutokea au je upepo husambazwa kutoka mashariki juu ya dunia?
Di da eso ea mabe sogebi amo ba: la asibala: ? Di da gusudili fo ea mabe sogebi amo ba: la asibala: ?
25 Ni nani aliyezitengeneza mifereji ya gharika ya mvua, au ni nani aliyezifanya njia za milipuko ya radi,
Gibu bagade dasea, hano sa: ima: ne, nowa ogabela: ? Isu gibula bobodole masa: ne, nowa da logo fodobela: ?
26 na kuifanya mvua inyeshe juu ya nchi ambazo hakuna mtu aishiye ndani yake, na juu ya jangwa, ambayo ndani yake hakuna mtu yeyote,
Dunu hame esalebe soge amogai gibu sa: ima: ne, nowa da hamobela: ?
27 kwa kusudi la kutimiza mahitaji ya mikoa iliyo kame na yenye ukiwa, na kuyastawisha majani mororo?
Gisi noga: le heda: ma: ne, nowa da hafoga: i sogega gibu iabela: ?
28 Je kuna baba wa mvua? Ni nani aliyeyafanya matone ya umande?
Gibu amola oubi baeya ela da eda ganabela: ?
29 Je barafu ilitoka katika tumbo la nani? Na ni nani aliyeizaa theluji nyeupe katika anga?
‘Aisi’ amola mugene ela eme da nowala: ?
30 Maji hujificha menyewe na kuwa kama jiwe; sehemu za juu za vilindi huwa kama barafu.
Mugene da hano amo igi ga: nasi agoai hamosa, amola hano wayabo bagade ea odagi ga: nasi hamosa.
31 Je unaweza kuzifunga minyororo ya Kilimia, au kuvifungua vifundo vya Orioni?
Di da Balia: idese gasumuni ili dodobole la: la: gimusa: dawa: bela: ? Di da Olione gasumuni la: la: gi fadegamusa: dawa: bela: ?
32 Je unaweza kuziongoza nyota kutokea katika nyakati zake? Je waweza kuongoza dubu pamoja na watoto wake?
Di da eso huluane gasumuni ilima logo olelemusa: dawa: bela: ? Di da Bea Bagade amola Bea Fonobahadi gasumuni ilima masunu logo olelemusa: dawa: bela: ?
33 Je unazijua sheria za anga? Wewe uliweza kuanzisha sheria za anga juu ya dunia?
Di da malei amo da mu ouligibi, amo dawa: bela: ? Amola amo malei da osobo bagade ouligima: ne, afadenemusa: dawa: bela: ?
34 Je waweza kupaza sauti yako hadi mawinguni, ili kwamba maji mengi ya mvua yakufunike?
Di da mumobima, ili hamoma: ne wele sia: mu dawa: bela: ? Amola ili dia gibuga nanegama: ne sia: musa: dawa: bela: ?
35 Je waweza kuagiza miali ya mwanga ili itokee, na kukwambia, 'Sisi tupo hapa'?
Amola di da ha: ha: nama nene gala: ma: ne sia: sea, ha: ha: na da dima misini, ‘Na da dia hamoma: ne sia: i defele hamomu’, amane sia: ma: bela: ?
36 Ni nani ameweka hekima katika mawingu au ni nani ameweka ufahamu kwa ukungu?
Nowa da aowahea sio amoma Naile hano ea fili gala: be eso olelesala: ? Nowa da gagala gawalima gibu da sa: ima: ne sia: sala: ?
37 Nani anaweza kuyahesabu mawingu kwa maarifa yake? Na ni nani awezaye kuvimwaga viriba vya anga
38 wakati mavumbi yanapoungana kuwa kitu kigumu na mabonge ya dunia yanaposhikama kwa pamoja?
Nowa ea bagade dawa: suga mumobi idima: bela: ? Amola nowa ea bagade dawa: suga mumobi amo gibu sogadigima: ne, giwigilisimusa: dawa: sala: ? (Gibu da gulu ganumu ga ganumunisisa.)
39 Je waweza kuwinda mawindo kwa ajili ya simba jike au kutosheleza hamu ya watoto wadogo wa simba
40 wakati wanapokwaruza kwaruza katika pango lao na kukaa katika kificho ili kulala katika hali ya kuvizia?
Laione wa: me amola ha: aligi laione wa: me waha debe, amo da magufu gelaba amola ilia diasu ganodini wamoaligisa, di da iligili ha: i manu hogole iabela: ?
41 Ni nani aletaye mawindo kwa ajili ya kunguru wakati ambapo watoto wao wanapomlilia Mungu na kutangatanga kwa kukosa chakula?
Da: sio da ha: aligili udigili lalea, amola ilia mano da Nama ha: i manusa: dini iasea, nowa da ilima ha: i manu iahabela: ?

< Ayubu 38 >