< Ayubu 37 >

1 Hakika, moyo wangu hutetemeka kwa hili; umeondolewa kutoka katika sehemu yake.
I drży z tego powodu moje serce, i wyrywa się ze swego miejsca.
2 Sikia, Ee, Sikia kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake.
Słuchajcie uważnie grzmotu jego głosu i dźwięku, który wychodzi z jego ust.
3 Huiagiza sauti chini ya mbingu yote, na huutuma mwanga wake katika mipaka ya dunia.
Pod całym niebem go wypuszcza, a jego błyskawicę – na krańce ziemi.
4 Sauti huunguruma baada yake; yeye huunguruma kwa sauti ya ukuu wake; hauzuii mshindo wa mwanga wakati sauti yake inaposikika.
Po niej huczy grzmot, grzmi głosem swojego majestatu, i nie powstrzymuje ich, gdy słychać jego głos.
5 Mungu huunguruma kwa sauti yake kwa namna ya ajabu; yeye hufanya mambo makubwa ambayo sisi hatuwezi kuyafahamu.
Bóg cudownie grzmi swoim głosem, czyni wielkie rzeczy, których nie możemy zrozumieć.
6 Kwa kuwa huiambia theluji, 'Angukeni juu ya dunia'; hali kadhalika kwa manyunyu ya mvua, 'Iweni manyunyu makubwa ya mvua.'
Mówi bowiem do śniegu: Padaj na ziemię, a także do deszczu i do ulewy jego potęgi.
7 Huuzuia mkono wa kila mtu usifanye kazi, ili kwamba watu wote aliowaumba wataona matendo yake.
Pieczętuje rękę każdego człowieka, aby wszyscy ludzie poznali jego dzieło.
8 Kisha hayawani huenda na kujificha na kukaa katika mapango yake.
Wtedy zwierzęta wchodzą do jaskini i zostają w swoich jamach.
9 Dhoruba hutoka katika chumba chake upande wa kusini na baridi kutoka katika pepo zilizotawanyika katika upande wa Kaskazini.
Od południa przychodzi wicher, a zima od wiatrów północnych.
10 Barafu imetolewa kwa pumzi ya Mungu; upana wa maji umeganda kama chuma.
Swoim tchnieniem Bóg czyni lód i ścinają się szerokie wody.
11 Hakika, huyapima mawingu manene yenye unyevu; yeye huusambaza mwanga wake katika mawingu.
Także wilgocią [ziemi] obciąża obłok, rozpędza chmurę swoim światłem.
12 Yeye huyazungusha mawingu kwa uongozi wake, ili yafanye chochote anayoyaagiza juu ya uso wote wa ulimwengu.
One krążą według jego rady, aby czyniły wszystko, co rozkazuje na powierzchni okręgu ziemi.
13 Huyafanya haya yote yatokee; wakati mwingine hutokea kwa ajili ya kusahihisha, wakati mwingine kwa ajili ya nchi yake, na wakati mwingine ni kwa matendo ya agano la uaminifu.
A on sprawia, że się pojawiają – czy to dla karania, czy dla swojej ziemi, czy dla [okazywania] miłosierdzia.
14 Yasikilize haya, Ayubu; acha na ufikiri juu matendo ya ajabu ya Mungu.
Słuchaj tego uważnie, Hiobie; zastanów się i rozważ cudowne dzieła Boga.
15 Je unajua ni kwa namna gani Mungu hushurutisha mawingu na kuufanya mwanga wa radi ung'ae ndani yake?
Czy wiesz, kiedy i [co] postanawia Bóg o tych sprawach albo kiedy rozjaśnia światło swej chmury?
16 Je unafahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, Je ni nani aliyemkamilifu katika maarifa?
Czy wiesz, jak wiszą chmury – cuda tego, który jest doskonały we wszelkiej wiedzy?
17 Je unafahamu ni kwa jinsi gani mavazi yako huwa ya moto wakati nchi ikiwa imetulia kwasababu ya upepo unaotoka upande wa kusini?
[Czy wiesz], jak twoje szaty się rozgrzewają, gdy on uspokaja ziemię wiatrem południowym?
18 Je unaweza kulitandaza anga kama anavyofanya - anga ambalo lina nguvu kama kioo cha chuma kigumu?
Czy rozpościerałeś z nim niebiosa, [które są] trwałe i podobne do zwierciadła odlanego?
19 Tufundishe sisi kile tunachopaswa kumwambia yeye, kwa kuwa hatuwezi kutoa hoja zetu katika mpangilio kwasababu ya kiza katika akili zetu.
Poucz nas, co mamy mu powiedzieć, [bo] nie możemy ułożyć słów z powodu ciemności.
20 Je anapaswa kuambiwa kwamba ninapenda kuongea naye? Je mtu angependa kumezwa?
Czy należy go powiadomić, że przemawiam? [Przecież] jeśli ktoś przemówi, zostanie na pewno pożarty.
21 Sasa, watu hawawezi kulitazama jua wakati linang'aa katika anga baada ya upepo kupita katikati yake na umelisafisha kwa mawingu yake.
Teraz jednak [ludzie] nie mogą patrzyć na światło, gdy jaśnieje w chmurach, gdy wiatr przechodzi [i] rozprasza je.
22 Kutoka upande wa kaskazini hutokea fahari ya dhahabu - juu ya Mungu kuna ukuu wa kutisha.
Od północy przychodzi [jakby] złoty [blask, ale] w Bogu jest straszliwy majestat.
23 Na kuhusu Mwenye nguvu, hatuwezi kumpata; yeye ni mkuu katika nguvu na haki. Yeye hatesi watu.
On jest Wszechmocny, nie możemy go doścignąć. On jest wielki w potędze i sądzie i bogaty w sprawiedliwość. Nie uciska [nikogo].
24 Hivyo basi, watu humwogopa. Yeye huwa hawajali wale ambao ni wenye hekima katika akili zao wenyewe.”
Dlatego boją się go ludzie. On nie ma względu na żadnego, który jest mądry w sercu.

< Ayubu 37 >