< Ayubu 37 >

1 Hakika, moyo wangu hutetemeka kwa hili; umeondolewa kutoka katika sehemu yake.
A nad tem zdumiewa się serce moje, i porusza się z miejsca swego.
2 Sikia, Ee, Sikia kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake.
Słuchajcie z pilnością grzmienia głosu jego, i dźwięku który wychodzi z ust jego.
3 Huiagiza sauti chini ya mbingu yote, na huutuma mwanga wake katika mipaka ya dunia.
Pod wszystkiem niebem prosto go wypuszcza, a światłość jego po wszystkich kończynach ziemi.
4 Sauti huunguruma baada yake; yeye huunguruma kwa sauti ya ukuu wake; hauzuii mshindo wa mwanga wakati sauti yake inaposikika.
Za nią wnet huczy dźwiękiem, grzmi głosem zacności swojej, i nie odkłada innych rzeczy, gdy bywa słyszany głos jego.
5 Mungu huunguruma kwa sauti yake kwa namna ya ajabu; yeye hufanya mambo makubwa ambayo sisi hatuwezi kuyafahamu.
Dziwnie Bóg grzmi głosem swoim; sprawuje rzeczy tak wielkie, że ich rozumieć nie możemy.
6 Kwa kuwa huiambia theluji, 'Angukeni juu ya dunia'; hali kadhalika kwa manyunyu ya mvua, 'Iweni manyunyu makubwa ya mvua.'
Bo mówi do śniegu: Padaj na ziemię; także i do deszczu wolnego, i do deszczu gwałtownego.
7 Huuzuia mkono wa kila mtu usifanye kazi, ili kwamba watu wote aliowaumba wataona matendo yake.
Rękę wszystkich ludzi zawiera, aby nikt z ludzi nie doglądał roboty swojej.
8 Kisha hayawani huenda na kujificha na kukaa katika mapango yake.
Tedy zwierz wchodzi do jaskini, a w jamach swoich zostaje.
9 Dhoruba hutoka katika chumba chake upande wa kusini na baridi kutoka katika pepo zilizotawanyika katika upande wa Kaskazini.
Wicher z skrytych miejsc wychodzi, a zima z wiatrów północnych.
10 Barafu imetolewa kwa pumzi ya Mungu; upana wa maji umeganda kama chuma.
Tchnieniem swojem Bóg czyni lód, tak iż się szerokość wód ściska.
11 Hakika, huyapima mawingu manene yenye unyevu; yeye huusambaza mwanga wake katika mawingu.
Także dla pokropienia ziemi obciąża obłok, i rozpędza chmurę światłem swojem.
12 Yeye huyazungusha mawingu kwa uongozi wake, ili yafanye chochote anayoyaagiza juu ya uso wote wa ulimwengu.
A ten się obraca w koło według rady jego, aby czynił wszystko, co Bóg rozkaże, na oblicze okręgu ziemskiego.
13 Huyafanya haya yote yatokee; wakati mwingine hutokea kwa ajili ya kusahihisha, wakati mwingine kwa ajili ya nchi yake, na wakati mwingine ni kwa matendo ya agano la uaminifu.
A czyni to Bóg, że się stawia bądź na skaranie, bądź dla pożytku ziemi swojej, bądź dla jakiej dobroczynności.
14 Yasikilize haya, Ayubu; acha na ufikiri juu matendo ya ajabu ya Mungu.
Słuchajże tego pilnie, Ijobie! zastanów się, a uważaj dziwne sprawy Boże.
15 Je unajua ni kwa namna gani Mungu hushurutisha mawingu na kuufanya mwanga wa radi ung'ae ndani yake?
Izali wiesz, kiedy co Bóg stanowi o tych rzeczach? albo gdy ma rozjaśnić światło obłoku swego?
16 Je unafahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, Je ni nani aliyemkamilifu katika maarifa?
Izali wiesz, co za waga obłoków? Izali wiesz cuda Doskonałego we wszelakiej umiejętności?
17 Je unafahamu ni kwa jinsi gani mavazi yako huwa ya moto wakati nchi ikiwa imetulia kwasababu ya upepo unaotoka upande wa kusini?
Wieszże, jako cię szaty twoje ogrzewają, gdy ucisza ziemię od południa?
18 Je unaweza kulitandaza anga kama anavyofanya - anga ambalo lina nguvu kama kioo cha chuma kigumu?
Izażeś z nim rozpościerał niebiosa, które są trwałe, a zwierciadłu odlewanemu podobne?
19 Tufundishe sisi kile tunachopaswa kumwambia yeye, kwa kuwa hatuwezi kutoa hoja zetu katika mpangilio kwasababu ya kiza katika akili zetu.
Ukażże nam, co mu mamy powiedzieć; bo nie możemy sporządzić słów dla ciemności.
20 Je anapaswa kuambiwa kwamba ninapenda kuongea naye? Je mtu angependa kumezwa?
Izali mu kto odniesie to, cobym mówił? I owszem, gdyby to kto przedłożył, byłby pewnie pożarty.
21 Sasa, watu hawawezi kulitazama jua wakati linang'aa katika anga baada ya upepo kupita katikati yake na umelisafisha kwa mawingu yake.
Wszak teraz nie mogą ludzie patrzyć i na światło, gdy jest jasne na obłokach, gdy wiatr przechodzi, i przeczyszcza je.
22 Kutoka upande wa kaskazini hutokea fahari ya dhahabu - juu ya Mungu kuna ukuu wa kutisha.
Od północy jako złoto przychodzi, ale w Bogu straszniejsza jest chwała.
23 Na kuhusu Mwenye nguvu, hatuwezi kumpata; yeye ni mkuu katika nguvu na haki. Yeye hatesi watu.
Wszechmogący jest, doścignąć go nie możemy; wielki w mocy, wszakże sądem i ostrą sprawiedliwością ludzi nie trapi.
24 Hivyo basi, watu humwogopa. Yeye huwa hawajali wale ambao ni wenye hekima katika akili zao wenyewe.”
Przetoż boją się go ludzie; nie ma względu na żadnego, by też był i najmędrszy.

< Ayubu 37 >