< Ayubu 37 >
1 Hakika, moyo wangu hutetemeka kwa hili; umeondolewa kutoka katika sehemu yake.
Igenis, ezért remeg szívem s felszökken helyéből.
2 Sikia, Ee, Sikia kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake.
Hallva halljátok hangja háborgását s a morajt, mely szájából kél;
3 Huiagiza sauti chini ya mbingu yote, na huutuma mwanga wake katika mipaka ya dunia.
az egész ég alatt van terjedése és fénye a föld szélein.
4 Sauti huunguruma baada yake; yeye huunguruma kwa sauti ya ukuu wake; hauzuii mshindo wa mwanga wakati sauti yake inaposikika.
Utána ordít a hang: dörög fenséges hangján, s nem tartja vissza, midőn hallatszik hangja.
5 Mungu huunguruma kwa sauti yake kwa namna ya ajabu; yeye hufanya mambo makubwa ambayo sisi hatuwezi kuyafahamu.
Csodásan dörög Isten a hangján, nagyokat tesz, s nem ismerjük meg.
6 Kwa kuwa huiambia theluji, 'Angukeni juu ya dunia'; hali kadhalika kwa manyunyu ya mvua, 'Iweni manyunyu makubwa ya mvua.'
Mert a hónak mondja: szállj a földre, meg a hulló esőnek, hatalmasan hulló esőjének
7 Huuzuia mkono wa kila mtu usifanye kazi, ili kwamba watu wote aliowaumba wataona matendo yake.
Minden ember kezét lepecsételi, hogy megismerje alkotását minden halandó.
8 Kisha hayawani huenda na kujificha na kukaa katika mapango yake.
S bemegy a vad a leshelyre, és tanyáiban lakozik.
9 Dhoruba hutoka katika chumba chake upande wa kusini na baridi kutoka katika pepo zilizotawanyika katika upande wa Kaskazini.
A kamarából szélvész jő és a szóró szelektől a hideg.
10 Barafu imetolewa kwa pumzi ya Mungu; upana wa maji umeganda kama chuma.
Isten leheletétől jég keletkezik s a vizek tágassága szilárddá lesz.
11 Hakika, huyapima mawingu manene yenye unyevu; yeye huusambaza mwanga wake katika mawingu.
Nedvességgel meg is terheli a felleget, szétterjeszti fényének felhőjét.
12 Yeye huyazungusha mawingu kwa uongozi wake, ili yafanye chochote anayoyaagiza juu ya uso wote wa ulimwengu.
S az körökben egyre forog, kormányzása által, cselekvésök szerint, bár mire rendeli őket a földkerekség színén;
13 Huyafanya haya yote yatokee; wakati mwingine hutokea kwa ajili ya kusahihisha, wakati mwingine kwa ajili ya nchi yake, na wakati mwingine ni kwa matendo ya agano la uaminifu.
hol ostorul, ha földjének javára van, hol szeretetre nyújtja.
14 Yasikilize haya, Ayubu; acha na ufikiri juu matendo ya ajabu ya Mungu.
Figyelj erre, Jób, állj meg és vedd észre Isten csodáit!
15 Je unajua ni kwa namna gani Mungu hushurutisha mawingu na kuufanya mwanga wa radi ung'ae ndani yake?
Tudsz-e róla, midőn Isten ügyel rájuk, s tündökölteti felhőjének fényét?
16 Je unafahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, Je ni nani aliyemkamilifu katika maarifa?
Tudsz-e a fellegnek lengéséről, a tökéletes tudásúnak csodáiról?
17 Je unafahamu ni kwa jinsi gani mavazi yako huwa ya moto wakati nchi ikiwa imetulia kwasababu ya upepo unaotoka upande wa kusini?
Te, kinek melegek a ruhái, midőn a földet pihenteti a déli szél által.
18 Je unaweza kulitandaza anga kama anavyofanya - anga ambalo lina nguvu kama kioo cha chuma kigumu?
Vele boltozod a mennyeket, melyek erősek, mint a szilárd tükör?
19 Tufundishe sisi kile tunachopaswa kumwambia yeye, kwa kuwa hatuwezi kutoa hoja zetu katika mpangilio kwasababu ya kiza katika akili zetu.
Tudasd velünk, mit mondjunk neki! Mit sem hozhatunk fel a sötétség miatt.
20 Je anapaswa kuambiwa kwamba ninapenda kuongea naye? Je mtu angependa kumezwa?
Jelentetik-e neki, hogy beszélek, avagy szólt-e ember, hogy elpusztíttassék?
21 Sasa, watu hawawezi kulitazama jua wakati linang'aa katika anga baada ya upepo kupita katikati yake na umelisafisha kwa mawingu yake.
Most ugyan nem látni a fényt, mely ragyogó a mennyekben; de a szél átvonul s megtisztítja azokat.
22 Kutoka upande wa kaskazini hutokea fahari ya dhahabu - juu ya Mungu kuna ukuu wa kutisha.
Észak felől arany jön, Isten mellett félelmes fenség.
23 Na kuhusu Mwenye nguvu, hatuwezi kumpata; yeye ni mkuu katika nguvu na haki. Yeye hatesi watu.
A Mindenhatót, nem érjük őt fel, a nagy erejűt, de a jogot és teljes igazságot nem sérti meg.
24 Hivyo basi, watu humwogopa. Yeye huwa hawajali wale ambao ni wenye hekima katika akili zao wenyewe.”
Azért félik őt az emberek, nem nézi ő mind a bölcsszívűeket.