< Ayubu 37 >

1 Hakika, moyo wangu hutetemeka kwa hili; umeondolewa kutoka katika sehemu yake.
Hete hnonaw ni hai ka lungthin a pâyaw sak teh, lung paluekpaluek ati sak.
2 Sikia, Ee, Sikia kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake.
Khoparit pawlawk hah kahawicalah thai haw, a pahni dawk hoi ka tâcawt e ka cairing e naw hah.
3 Huiagiza sauti chini ya mbingu yote, na huutuma mwanga wake katika mipaka ya dunia.
Kalvan rahim pueng a tha teh, a angnae teh talai apout touh.
4 Sauti huunguruma baada yake; yeye huunguruma kwa sauti ya ukuu wake; hauzuii mshindo wa mwanga wakati sauti yake inaposikika.
Hahoi lawk a tâco teh, a lentoenae lawk hah a kampaw sak. A lawk a thai awh nakunghai kâhat sak hoeh.
5 Mungu huunguruma kwa sauti yake kwa namna ya ajabu; yeye hufanya mambo makubwa ambayo sisi hatuwezi kuyafahamu.
Cathut ni kângairunae hoi a lawk a kampaw sak, a lentoenae hno panue thai awh hoeh e hah a sak.
6 Kwa kuwa huiambia theluji, 'Angukeni juu ya dunia'; hali kadhalika kwa manyunyu ya mvua, 'Iweni manyunyu makubwa ya mvua.'
Bangkongtetpawiteh, tadamtui koe vah, talai dawk bawt haw telah ati. Hot patetlah, athaonae hoi khorak kayoun hoi khorak kapap koehai a dei pouh.
7 Huuzuia mkono wa kila mtu usifanye kazi, ili kwamba watu wote aliowaumba wataona matendo yake.
Tami pueng ni a sak e a panue awh thai nahanelah, tami pueng e kut hah mitnout a ta pouh.
8 Kisha hayawani huenda na kujificha na kukaa katika mapango yake.
Moithangnaw ni lungngoum thung a kâen awh teh, a onae hmuen dawk lengkaleng ao awh.
9 Dhoruba hutoka katika chumba chake upande wa kusini na baridi kutoka katika pepo zilizotawanyika katika upande wa Kaskazini.
Aka lahoi bongparui a tâco teh, Atunglah hoi kahlî pâding a tâco.
10 Barafu imetolewa kwa pumzi ya Mungu; upana wa maji umeganda kama chuma.
Cathut e a kâha ni tui a kamkak sak teh, kakawpoung lah kâkadai e tui hah a kamkak sak.
11 Hakika, huyapima mawingu manene yenye unyevu; yeye huusambaza mwanga wake katika mawingu.
Tâmai dawk hoi kho a rak sak teh, a raeng hoi tâmai a kâhin sak.
12 Yeye huyazungusha mawingu kwa uongozi wake, ili yafanye chochote anayoyaagiza juu ya uso wote wa ulimwengu.
Talaivan pueng dawkvah kâ a poe e naw pueng hah a sak awh nahanelah, amae hrawinae dawk hoi a kamlang awh teh, meng a ban awh.
13 Huyafanya haya yote yatokee; wakati mwingine hutokea kwa ajili ya kusahihisha, wakati mwingine kwa ajili ya nchi yake, na wakati mwingine ni kwa matendo ya agano la uaminifu.
Hring tounnae dawk thoseh, a ram hane dawk thoseh, a lungmanae dawk thoseh, ao sak e doeh.
14 Yasikilize haya, Ayubu; acha na ufikiri juu matendo ya ajabu ya Mungu.
Oe Job, hetheh thai haw, duem awm nateh, kangdout haw. Kângairu Cathut ni a sak e hah pouk haw.
15 Je unajua ni kwa namna gani Mungu hushurutisha mawingu na kuufanya mwanga wa radi ung'ae ndani yake?
Cathut ni ka ang e tâmai hah ang hanelah, nâtuek vaimoe a patoun tie hah na panue maw.
16 Je unafahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, Je ni nani aliyemkamilifu katika maarifa?
Tâmai a tawmnae hoi panuenae kakueplah ka tawn e ni, a sak e kângairunae hah na panue maw.
17 Je unafahamu ni kwa jinsi gani mavazi yako huwa ya moto wakati nchi ikiwa imetulia kwasababu ya upepo unaotoka upande wa kusini?
Bangdawkmaw na hnicunaw a phubet teh, nâtuek maw akalae kahlî ni talai a pâding sak.
18 Je unaweza kulitandaza anga kama anavyofanya - anga ambalo lina nguvu kama kioo cha chuma kigumu?
Hlun e rahum hlalang patetlah a tha ka sai e kalvan hah ama hoi reirei na phai roi boimaw.
19 Tufundishe sisi kile tunachopaswa kumwambia yeye, kwa kuwa hatuwezi kutoa hoja zetu katika mpangilio kwasababu ya kiza katika akili zetu.
Ama koe dei awh hanelah na cangkhai awh haw, bangkongtetpawiteh, hmonae kecu dawk, banghai kârakueng thai awh hoeh.
20 Je anapaswa kuambiwa kwamba ninapenda kuongea naye? Je mtu angependa kumezwa?
Dei han ka ngai telah, ama koe dei hane na maw. Tami buetbuet touh dei sak boipawiteh, a payon roeroe han.
21 Sasa, watu hawawezi kulitazama jua wakati linang'aa katika anga baada ya upepo kupita katikati yake na umelisafisha kwa mawingu yake.
Kahlî a tho teh kalvan hah pin a kâhin sak torei teh, tami ni a angnae hah khen thai hoeh.
22 Kutoka upande wa kaskazini hutokea fahari ya dhahabu - juu ya Mungu kuna ukuu wa kutisha.
Atung lahoi sui raimonae patetlah a tâco teh, Cathut hoi takitho taluenae lah ao.
23 Na kuhusu Mwenye nguvu, hatuwezi kumpata; yeye ni mkuu katika nguvu na haki. Yeye hatesi watu.
Athakasaipounge, teh hmawt thai hoeh. Ama teh ahlawilah hnotithainae a tawn teh, a lannae hoi lawkcengnae dawk hnephnapnae awm hoeh.
24 Hivyo basi, watu humwogopa. Yeye huwa hawajali wale ambao ni wenye hekima katika akili zao wenyewe.”
Hatdawkvah, ama teh tami ni a taki awh. A lungkaang e taminaw koe hai, kapeknae tawn hoeh telah ati.

< Ayubu 37 >