< Ayubu 36 >

1 Elihu aliendelea na kusema,
Og Elihu blev ved og sa:
2 “Niruhusu niseme kidogo zaidi, nami nitakuonesha baadhi ya mambo kwasababu nina maneno machache ya kusema kwa ajili ya Mungu.
Vent litt på mig, så jeg kan få sagt dig min mening! For ennu er der noget å si til forsvar for Gud.
3 Nitapata maarifa yangu kutoka mbali; nitatambua kwamba haki ni ya Muumba wangu.
Jeg vil hente min kunnskap langt borte fra, og jeg vil vise at min skaper har rett.
4 Kwa kweli, maneno yangu hayatakuwa ya uongo; mtu fulani aliyekomaa katika maarifa yu pamoja nawe.
For sannelig, mine ord er ikke falske; en mann med fullkommen kunnskap har du for dig.
5 Angalia, Mungu ni mwenye nguvu, na hamdharau mtu yeyote; yeye ni mwenye nguvu katika uweza wa ufahamu.
Se, Gud er sterk, men han akter ikke nogen ringe; han er sterk i forstandens kraft.
6 Yeye huwa hayahifadhi maisha ya watu waovu bali badala yake hufanya yaliyo ya haki kwa wale wanaoteseka.
Han lar ikke en ugudelig leve, og de undertrykte hjelper han til deres rett.
7 Haondoi macho yake kwa wenye haki bali badala yake huwaweka juu ya viti vya enzi kama wafalme milele, nao wameinuliwa juu.
Han tar ikke sine øine fra de rettferdige, og hos konger på tronen lar han dem sitte all deres tid høit hedret.
8 Ikiwa wamefungwa minyororo na kunaswa katika kamba za mateso,
Og om de blir bundet med lenker og fanget i ulykkens snarer,
9 kisha huwafunulia kile walichokifanya, na maovu yao na kiburi chao.
så vil han dermed foreholde dem deres gjerninger, deres synder, at de viste sig gjenstridige,
10 Hufungua pia masikio yao kwa ajili ya agizo lake, na huwaamuru wageuke kutoka katika uovu.
og åpne deres øre for advarselen og formane dem til å vende om fra det onde.
11 Ikiwa watamsikiliza na kumwabudu yeye, wataishi katika mafanikio katika siku zao, na miaka yao katika hali ya kuridhika.
Om de da hører og tjener ham, så får de leve sine dager i lykke og sine år i herlighet og glede.
12 Hata hivyo, kama hawatasikiliza, wataangamia kwa upanga; watakufa kwasababu hawana maarifa.
Hører de ikke, da skal de gjennembores av spydet og omkomme i sin uforstand.
13 Na wale wasiomjua Mungu hutunza hasiria zao katika mioyo; hawaombi msaada hata wakati ambapo Mungu huwafunga.
Men mennesker med gudløst sinn huser vrede; de roper ikke til Gud når han legger dem i bånd.
14 Hawa hufa katika ujana wao; na maisha yao hukoma kati ya makahaba.
De dør i ungdommen, og deres liv ender som tempel-bolernes.
15 Mungu huwainua watu walioonewa kwa njia ya mateso yao; hufungua masikio yao kwa njia ya uonevu wao.
Han frelser de ulykkelige ved deres ulykke og åpner deres øre ved trengselen.
16 Kwa hakika, yeye angependa kuwatoa ninyi katika mateso na kuwaweka katika sehemu pana ambapo hakuna masumbufu na mahali ambapo meza yenu ingewekwa ikiwa na chakula kilichojaa mafuta.
Også dig lokker han ut av trengselens svelg til en åpen plass hvor det ikke er trangt; og ditt bord skal være fullt av fete retter.
17 Lakini wewe umejaa hukumu juu ya watu waovu; hukumu na haki umeziachilia.
Men er du full av den ugudeliges brøde, så skal brøde og dom følges at.
18 Usiuache utajiri ukuvute katika udanganyifu; na sehemu kubwa ya rushwa isikugeuze upande kutoka katika haki.
La bare ikke vrede lokke dig til spott, og la ikke den store bot lokke dig på avvei!
19 Je utajiri wako waweza kukunufaisha, ili kwamba usiwe katika taabu, au nguvu zako zote za uwezo zaweza kukusaidia?
Kan vel ditt skrik fri dig ut av trengsel, og kan vel alt ditt strev og slit utrette det?
20 Usiutamani usiku ili utende dhambi dhidi ya wengine wakati ambapo mataifa hukatiliwa mbali katika nafasi zao.
Stund ikke efter natten, den natt da hele folkeslag blåses bort fra sitt sted!
21 Uwe mwangalifu ili kwamba usigeukie dhambi kwasababu unajaribiwa kwa mateso ili kwamba ukae mbali na dhambi.
Vokt dig, vend dig ikke til synd! For det har du mere lyst til enn til å lide.
22 Angalia, Mungu ameinuliwa katika nguvu zake; ni nani aliye mwalimu kama yeye?
Se, Gud er ophøiet i sin kraft; hvem er en læremester som han?
23 Ni nani alishamwalekeza njia yake? Nani anayeweza kumwambia, 'Wewe umetenda mambo yasiyo ya haki?'
Hvem har foreskrevet ham hans vei, og hvem kan si: Du gjorde urett?
24 Kumbuka kuyasifu matendo yake, ambayo watu wameyaimba.
Kom i hu at du ophøier hans gjerning, den som menneskene har sunget om!
25 Watu wote wameshayatazama hayo matendo, lakini wanayaona tu matendo hayo kwa mbali sana.
All verden ser på den med lyst; menneskene skuer den langt borte fra.
26 Tazama, Mungu ni mkuu, lakini sisi hatumfahamu yeye vizuri; hesabu ya miaka yake haihesabiki.
Se, Gud er stor, og vi forstår ham ikke; hans års tall er uutgrundelig;
27 Kwa kuwa yeye huvuta matone ya maji ili kuyachuja kama mvua katka mvuke wake,
han drar vanndråper op til sig, og av tåken siler regnet ned;
28 ambayo mawingu yake huyamwaga chini na kuyandondosha kwa wingi kwa mwanadamu.
fra skyene strømmer det og drypper ned over mange mennesker.
29 Hakika, kuna hata mmoja awezaye kuelewa kwa undani kusambaa kwa mawingu na radi kutoka katika nyumba yake?
Kan også nogen forstå hvorledes skyene breder sig ut, hvorledes det braker fra hans telt?
30 Angalia, hueneza mwanga wake kumzunguka na kufunika mizizi ya bahari.
Se, han breder ut sitt lys omkring sig og dekker det med havets røtter.
31 Kwa namna hii huyahukumu mataifa na kuwapa chakula kwa wingi.
For således straffer han folkeslag, men gir også føde i overflod.
32 Yeye huuijaza mikono yake kwa mwanga mpaka pale anapouamuru kupiga shabaha yake.
Han dekker sine hender med lys og byder det å fare ut mot fienden.
33 Na muungurumo wake huonya kwa dhoruba, wanyama wanaweza kusikia kuja kwake.
Hans tordenbrak bærer bud om ham; endog feet varsler når han rykker frem.

< Ayubu 36 >