< Ayubu 36 >
1 Elihu aliendelea na kusema,
エリフは重ねて言った、
2 “Niruhusu niseme kidogo zaidi, nami nitakuonesha baadhi ya mambo kwasababu nina maneno machache ya kusema kwa ajili ya Mungu.
「しばらく待て、わたしはあなたに示すことがある。なお神のために言うべき事がある。
3 Nitapata maarifa yangu kutoka mbali; nitatambua kwamba haki ni ya Muumba wangu.
わたしは遠くからわが知識を取り、わが造り主に正義を帰する。
4 Kwa kweli, maneno yangu hayatakuwa ya uongo; mtu fulani aliyekomaa katika maarifa yu pamoja nawe.
まことにわたしの言葉は偽らない。知識の全き者があなたと共にいる。
5 Angalia, Mungu ni mwenye nguvu, na hamdharau mtu yeyote; yeye ni mwenye nguvu katika uweza wa ufahamu.
見よ、神は力ある者であるが、何をも卑しめられない、その悟りの力は大きい。
6 Yeye huwa hayahifadhi maisha ya watu waovu bali badala yake hufanya yaliyo ya haki kwa wale wanaoteseka.
彼は悪しき者を生かしておかれない、苦しむ者のためにさばきを行われる。
7 Haondoi macho yake kwa wenye haki bali badala yake huwaweka juu ya viti vya enzi kama wafalme milele, nao wameinuliwa juu.
彼は正しい者から目を離さず、位にある王たちと共に、とこしえに、彼らをすわらせて、尊くされる。
8 Ikiwa wamefungwa minyororo na kunaswa katika kamba za mateso,
もし彼らが足かせにつながれ、悩みのなわに捕えられる時は、
9 kisha huwafunulia kile walichokifanya, na maovu yao na kiburi chao.
彼らの行いと、とがと、その高ぶったふるまいを彼らに示し、
10 Hufungua pia masikio yao kwa ajili ya agizo lake, na huwaamuru wageuke kutoka katika uovu.
彼らの耳を開いて、教を聞かせ、悪を離れて帰ることを命じられる。
11 Ikiwa watamsikiliza na kumwabudu yeye, wataishi katika mafanikio katika siku zao, na miaka yao katika hali ya kuridhika.
もし彼らが聞いて彼に仕えるならば、彼らはその日を幸福に過ごし、その年を楽しく送るであろう。
12 Hata hivyo, kama hawatasikiliza, wataangamia kwa upanga; watakufa kwasababu hawana maarifa.
しかし彼らが聞かないならば、つるぎによって滅び、知識を得ないで死ぬであろう。
13 Na wale wasiomjua Mungu hutunza hasiria zao katika mioyo; hawaombi msaada hata wakati ambapo Mungu huwafunga.
心に神を信じない者どもは怒りをたくわえ、神に縛られる時も、助けを呼び求めることをしない。
14 Hawa hufa katika ujana wao; na maisha yao hukoma kati ya makahaba.
彼らは年若くして死に、その命は恥のうちに終る。
15 Mungu huwainua watu walioonewa kwa njia ya mateso yao; hufungua masikio yao kwa njia ya uonevu wao.
神は苦しむ者をその苦しみによって救い、彼らの耳を逆境によって開かれる。
16 Kwa hakika, yeye angependa kuwatoa ninyi katika mateso na kuwaweka katika sehemu pana ambapo hakuna masumbufu na mahali ambapo meza yenu ingewekwa ikiwa na chakula kilichojaa mafuta.
神はまたあなたを悩みから、束縛のない広い所に誘い出された。そしてあなたの食卓に置かれた物はすべて肥えた物であった。
17 Lakini wewe umejaa hukumu juu ya watu waovu; hukumu na haki umeziachilia.
しかしあなたは悪人のうくべきさばきをおのれに満たし、さばきと公義はあなたを捕えている。
18 Usiuache utajiri ukuvute katika udanganyifu; na sehemu kubwa ya rushwa isikugeuze upande kutoka katika haki.
あなたは怒りに誘われて、あざけりに陥らぬように心せよ。あがないしろの大いなるがために、おのれを誤るな。
19 Je utajiri wako waweza kukunufaisha, ili kwamba usiwe katika taabu, au nguvu zako zote za uwezo zaweza kukusaidia?
あなたの叫びはあなたを守って、悩みを免れさせるであろうか、いかに力をつくしても役に立たない。
20 Usiutamani usiku ili utende dhambi dhidi ya wengine wakati ambapo mataifa hukatiliwa mbali katika nafasi zao.
人々がその所から断たれるその夜を慕ってはならない。
21 Uwe mwangalifu ili kwamba usigeukie dhambi kwasababu unajaribiwa kwa mateso ili kwamba ukae mbali na dhambi.
慎んで悪に傾いてはならない。あなたは悩みよりもむしろこれを選んだからだ。
22 Angalia, Mungu ameinuliwa katika nguvu zake; ni nani aliye mwalimu kama yeye?
見よ、神はその力をもってあがめられる。だれか彼のように教える者があるか。
23 Ni nani alishamwalekeza njia yake? Nani anayeweza kumwambia, 'Wewe umetenda mambo yasiyo ya haki?'
だれか彼のためにその道を定めた者があるか。だれか『あなたは悪い事をした』と言いうる者があるか。
24 Kumbuka kuyasifu matendo yake, ambayo watu wameyaimba.
神のみわざをほめたたえる事を忘れてはならない。これは人々の歌いあがめるところである。
25 Watu wote wameshayatazama hayo matendo, lakini wanayaona tu matendo hayo kwa mbali sana.
すべての人はこれを仰ぎ見る。人は遠くからこれを見るにすぎない。
26 Tazama, Mungu ni mkuu, lakini sisi hatumfahamu yeye vizuri; hesabu ya miaka yake haihesabiki.
見よ、神は大いなる者にいまして、われわれは彼を知らない。その年の数も計り知ることができない。
27 Kwa kuwa yeye huvuta matone ya maji ili kuyachuja kama mvua katka mvuke wake,
彼は水のしたたりを引きあげ、その霧をしたたらせて雨とされる。
28 ambayo mawingu yake huyamwaga chini na kuyandondosha kwa wingi kwa mwanadamu.
空はこれを降らせて、人の上に豊かに注ぐ。
29 Hakika, kuna hata mmoja awezaye kuelewa kwa undani kusambaa kwa mawingu na radi kutoka katika nyumba yake?
だれか雲の広がるわけと、その幕屋のとどろくわけとを悟ることができようか。
30 Angalia, hueneza mwanga wake kumzunguka na kufunika mizizi ya bahari.
見よ、彼はその光をおのれのまわりにひろげ、また海の底をおおわれる。
31 Kwa namna hii huyahukumu mataifa na kuwapa chakula kwa wingi.
彼はこれらをもって民をさばき、食物を豊かに賜い、
32 Yeye huuijaza mikono yake kwa mwanga mpaka pale anapouamuru kupiga shabaha yake.
いなずまをもってもろ手を包み、これに命じて敵を打たせられる。
33 Na muungurumo wake huonya kwa dhoruba, wanyama wanaweza kusikia kuja kwake.
そのとどろきは、悪にむかって怒りに燃える彼を現す。