< Ayubu 36 >

1 Elihu aliendelea na kusema,
Elihu ni hettelah bout a dei,
2 “Niruhusu niseme kidogo zaidi, nami nitakuonesha baadhi ya mambo kwasababu nina maneno machache ya kusema kwa ajili ya Mungu.
Na ngaithoum awh ei, na hmusak awh han rah. Cathut yueng lah lawk dei hane ka tawn rah.
3 Nitapata maarifa yangu kutoka mbali; nitatambua kwamba haki ni ya Muumba wangu.
Ka panuenae hah ahlanae koe e ka la han rah, lannae hah kasakkung koe kamnue sak han.
4 Kwa kweli, maneno yangu hayatakuwa ya uongo; mtu fulani aliyekomaa katika maarifa yu pamoja nawe.
Bangkongtetpawiteh, ka lawknaw heh ayawmyin lah khoeroe ao hoeh dawkvah, panuenae kuep katawnkung teh nang koe ao.
5 Angalia, Mungu ni mwenye nguvu, na hamdharau mtu yeyote; yeye ni mwenye nguvu katika uweza wa ufahamu.
Khenhaw! Cathut teh a thasai eiteh, apihai dudam hoeh. Ama teh athao teh thonae thaipanueknae hoi a kawi
6 Yeye huwa hayahifadhi maisha ya watu waovu bali badala yake hufanya yaliyo ya haki kwa wale wanaoteseka.
Tamikathoutnaw hah pâhlung hoeh. Hateiteh, hnephnap e naw hah lannae a poe.
7 Haondoi macho yake kwa wenye haki bali badala yake huwaweka juu ya viti vya enzi kama wafalme milele, nao wameinuliwa juu.
Tamikalan teh khen laipalah awm hoeh, hateiteh, siangpahrang hah bawitungkhung dawk yungyoe hanelah a tahung sak teh, ahnimouh teh tawmrasang e lah ao awh.
8 Ikiwa wamefungwa minyororo na kunaswa katika kamba za mateso,
Puenghoi kacaklah katek e lah o awh teh, rucat khangnae rui hoi katek e lah awm boipawiteh,
9 kisha huwafunulia kile walichokifanya, na maovu yao na kiburi chao.
Kâtapoenae hoi a sak e hah lungpata lahoi sakyoenae hoi a kamnue sak.
10 Hufungua pia masikio yao kwa ajili ya agizo lake, na huwaamuru wageuke kutoka katika uovu.
Cangkhainae koelah hna a ang sak teh, yonnae dawk hoi bout a ban nahane kâ a poe.
11 Ikiwa watamsikiliza na kumwabudu yeye, wataishi katika mafanikio katika siku zao, na miaka yao katika hali ya kuridhika.
Lawkngai laihoi amae thaw tawk awh pawiteh, hnopai tawnta e dawk nawm awh vaiteh, hnin, thapa, kum naw hah lunghawinae hoi a loum sak han.
12 Hata hivyo, kama hawatasikiliza, wataangamia kwa upanga; watakufa kwasababu hawana maarifa.
Hateiteh, lawkngai awh hoeh pawiteh, tahloi hoi kahmat ka ta awh vaiteh, panuenae tawn laipalah due awh han.
13 Na wale wasiomjua Mungu hutunza hasiria zao katika mioyo; hawaombi msaada hata wakati ambapo Mungu huwafunga.
Hateiteh, tamikathout e lungthin ni lungkhueknae a pâtung teh, ama ni a katek torei teh, kabawpnae hei hanelah hram awh hoeh.
14 Hawa hufa katika ujana wao; na maisha yao hukoma kati ya makahaba.
A nawca nah a due awh teh, a hringnae hah tami kahawihoehnaw hoi rei a pout.
15 Mungu huwainua watu walioonewa kwa njia ya mateso yao; hufungua masikio yao kwa njia ya uonevu wao.
Ama ni tami ka roedeng hah reithainae thung hoi a hlout sak. Hnephnapnaw hno lahoi a hnâ a ang sak.
16 Kwa hakika, yeye angependa kuwatoa ninyi katika mateso na kuwaweka katika sehemu pana ambapo hakuna masumbufu na mahali ambapo meza yenu ingewekwa ikiwa na chakula kilichojaa mafuta.
Takithopoung e kângairunae thung hoi ama ni a hlout sak han. Khori kaawm hoeh e, hmuen kakawpoung koe, tawntanae dawk a kâenkhai han, na caboi teh tawntanae hoi kawi vaiteh a poum sak han.
17 Lakini wewe umejaa hukumu juu ya watu waovu; hukumu na haki umeziachilia.
Hateiteh, tamikathoutnaw ni hmu han kamcu e lawkcengnae hoi, na kâvan teh, lawkcengnae hoi lannae ni na kuet.
18 Usiuache utajiri ukuvute katika udanganyifu; na sehemu kubwa ya rushwa isikugeuze upande kutoka katika haki.
Lungkhueknae ao dawkvah, kâhruetcuet. Nahoeh pawiteh, vai touh hemnae dawk ama ni na cetkhai payon vaih. Bangkongtetpawiteh, ratangnae kalen poung ni na hlout nahane na kabawm mahoeh.
19 Je utajiri wako waweza kukunufaisha, ili kwamba usiwe katika taabu, au nguvu zako zote za uwezo zaweza kukusaidia?
Na tawntanae hoi na thaonae, na bahu onae pueng ni, na kângairunae dawk hoi na hlout sak han na maw.
20 Usiutamani usiku ili utende dhambi dhidi ya wengine wakati ambapo mataifa hukatiliwa mbali katika nafasi zao.
Karum hah kâuepkhai hanh. Taminaw karum dawk kahmanae tueng lah ao.
21 Uwe mwangalifu ili kwamba usigeukie dhambi kwasababu unajaribiwa kwa mateso ili kwamba ukae mbali na dhambi.
Yonnae dawkvah kamlang hoeh nahanlah kâhruetcuet, bangkongtetpawiteh, reithai khangnae hlak hai na kârawi e lah ao.
22 Angalia, Mungu ameinuliwa katika nguvu zake; ni nani aliye mwalimu kama yeye?
Khenhaw! Cathut teh hnotithainae dawk hoi tawmrasang e lah ao. Apinimaw ama patetlah a cangkhai boi.
23 Ni nani alishamwalekeza njia yake? Nani anayeweza kumwambia, 'Wewe umetenda mambo yasiyo ya haki?'
Apinimaw a lamthung hah a poukkhai boi. Apinimaw na sak e hah na payon telah atipouh boi.
24 Kumbuka kuyasifu matendo yake, ambayo watu wameyaimba.
A tawk e thaw hah len sak hanelah pahnim hanh, tami ni la lah a sak awh e hah.
25 Watu wote wameshayatazama hayo matendo, lakini wanayaona tu matendo hayo kwa mbali sana.
Tami pueng ni a hmu awh teh, tami ni ahlanae koehoi a radoung awh.
26 Tazama, Mungu ni mkuu, lakini sisi hatumfahamu yeye vizuri; hesabu ya miaka yake haihesabiki.
Khenhaw! Cathut teh a lentoe poung, maimouh ni panuek thai awh hoeh. Kumnaw hai panue thai lah awm hoeh.
27 Kwa kuwa yeye huvuta matone ya maji ili kuyachuja kama mvua katka mvuke wake,
Bangkongtetpawiteh, tui ka ca e naw hah, a lathueng lah a sawn teh, tuikahu kaawm e patetlah kho a rak sak.
28 ambayo mawingu yake huyamwaga chini na kuyandondosha kwa wingi kwa mwanadamu.
Hote tâmai dawk hoi a rak sak teh, tami e lathueng vah, kho a nan sak.
29 Hakika, kuna hata mmoja awezaye kuelewa kwa undani kusambaa kwa mawingu na radi kutoka katika nyumba yake?
Tâmai ka tabawk e hoi ama ni a lathueng vah a ramuk e khoparitnaw hah, apinimaw a panue thai han.
30 Angalia, hueneza mwanga wake kumzunguka na kufunika mizizi ya bahari.
Khenhaw! a lathueng vah a angnae pheng a tue sak teh, kadung poung e tuipuinaw hah pheng a ramuk.
31 Kwa namna hii huyahukumu mataifa na kuwapa chakula kwa wingi.
Bangkongtetpawiteh, hete hnonaw lahoi, tami hah lawk a ceng teh, rawca koung kakhoutlah a poe.
32 Yeye huuijaza mikono yake kwa mwanga mpaka pale anapouamuru kupiga shabaha yake.
Na kut hah sumpapalik hoi a ramuk teh, ka hanelah kâ a poe.
33 Na muungurumo wake huonya kwa dhoruba, wanyama wanaweza kusikia kuja kwake.
Khoparit e ni a kamnue sak teh, saringnaw ni hai tûilî a thonae hah a kamnue sak.

< Ayubu 36 >