< Ayubu 35 >
1 Aidha, Elihu aliendelea kusema,
Og Elihu tok atter til orde og sa:
2 “Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
Holder du det for rett, du som har sagt: Jeg er rettferdigere enn Gud,
3 Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
at du sier: Hvad nytter det mig, hvad gagn har jeg av at jeg ikke synder?
4 Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
Jeg vil gi dig svar, og dine venner med dig.
5 Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
Vend ditt øie mot himmelen og se, gi akt på skyene høit over dig!
6 Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
Om du synder, hvad gjør du ham med det? Og er dine overtredelser mange, hvad skade volder du ham?
7 Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
Er du rettferdig, hvad kan du gi ham, hvad mottar han av din hånd?
8 Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
Bare for et menneske, din likemann, kan din ugudelighet ha noget å si, og bare for et menneskebarn din rettferdighet.
9 Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
Over de mange undertrykkelser klager de; de skriker om hjelp mot de mektiges arm.
10 Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
Men ingen sier: Hvor er Gud, min skaper, han som lar lovsanger lyde om natten,
11 ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
han som gir oss forstand fremfor jordens dyr og gjør oss vise fremfor himmelens fugler?
12 Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
Da roper de, uten at han svarer, om hjelp mot de ondes overmot.
13 Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
Ja visselig, Gud hører ikke på tomme ord, den Allmektige akter ikke på slikt.
14 Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
Også når du sier at du ikke ser ham, så ser han nok din sak, og du må bie på ham.
15 Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
Men nu, fordi du ikke gjør det, hjemsøker han dig i sin vrede, og han akter ikke stort på overmodige ord.
16 Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”
Og Job oplater sin munn med tom tale; han bruker mange ord i sin uforstand.