< Ayubu 35 >

1 Aidha, Elihu aliendelea kusema,
エリフまた答へて曰く
2 “Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
なんぢは言ふ 我が義しきは神に愈れりと なんぢ之を正しとおもふや
3 Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
すなはち汝いへらく 是は我に何の益あらんや 罪を犯すに較ぶれば何の愈るところか有んと
4 Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
われ言詞をもて汝およびなんぢにそへる汝の友等に答へん
5 Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
天を仰ぎて見よ 汝の上なる高き空を望め
6 Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
なんぢ罪を犯すとも神に何の害か有ん 愆を熾んにするとも神に何を爲えんや
7 Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
汝正義かるとも神に何を與るを得んや 神なんぢの手より何をか受たまはん
8 Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
なんぢの惡は只なんぢに同じき人を損ぜん而已 なんぢの善は只人の子を益せんのみ
9 Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
暴虐の甚だしきに因て叫び 權勢ある者の腕に壓れて呼はる人々あり
10 Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
然れども一人として我を造れる神は何處にいますやといふ者なし 彼は人をして夜の中に歌を歌ふに至らしめ
11 ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
地の獸畜よりも善くわれらを敎へ 空の鳥よりも我らを智からしめたまふ者なり
12 Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
惡き者等の驕傲ぶるに因て斯のごとく人々叫べども應ふる者あらず
13 Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
虚しき語は神かならず之を聽たまはず 全能者これを顧みたまはじ
14 Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
汝は我かれを見たてまつらずと言といへども審判は神の前にあり この故に汝彼を待べきなり
15 Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
今かれ震怒をもて罰することを爲ず 罪愆を深く心に留たまはざる(が如くなる)に因て
16 Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”
ヨブ口を啓きて虚しき事を述べ無知の言語を繁くす

< Ayubu 35 >