< Ayubu 35 >

1 Aidha, Elihu aliendelea kusema,
Konsa, Élihu te kontinye. Li te di:
2 “Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
“Èske ou sipoze ke ou ge dwa sa a? Èske ou ap di ‘Ladwati pa m nan depase sa k nan Bondye a?’
3 Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
Paske ou mande: ‘Ki avantaj sa ye pou ou? Ki pwofi m ap jwenn ki plis pase si m te fè peche?’
4 Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
Mwen va reponn ou, menm ak zanmi ou yo tou.
5 Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
Gade nan syèl yo pou wè; epi gade byen nan nwaj yo. Yo pi wo pase ou.
6 Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
Si ou te peche, kisa ou akonpli kont Li? Epi si transgresyon ou yo anpil, kisa ou fè Li?
7 Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
Si ou jis, kisa ou ba Li, oswa kisa Li ta jwenn nan men ou?
8 Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
Mechanste ou ka donmaje yon nonm tankou ou menm, e ladwati ou gen benefis pou yon fis a lòm.
9 Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
“Akoz fòs kantite opresyon yo, yo kriye fò. Yo kriye pou sekou akoz bra a pwisan an.
10 Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
Men pèsòn pa di: ‘Kote Bondye, Kreyatè mwen an, ki bay chan kè kontan yo pandan nwit lan,
11 ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
ki enstwi nou plis pase bèt latè yo, pou fè nou vin pi saj pase zwazo nan syèl yo?’
12 Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
La, yo kriye fò, men nanpwen repons akoz ògèy moun mechan yo.
13 Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
Anverite, Bondye p ap koute yon kri ki vid, ni Toupwisan an p ap okipe l.
14 Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
Konbyen anmwens, lè ou di ou pa wè Li. Ka a pase devan L, e fòk se Li ou tann!
15 Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
Men koulye a, akoz Li pa t fè vizit nan kòlè Li, ni Li pa t apresye awogans,
16 Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”
pou sa, Job ouvri bouch li an ven; li ogmante pawòl li yo san konesans.”

< Ayubu 35 >