< Ayubu 35 >
1 Aidha, Elihu aliendelea kusema,
Élihu reprit et dit:
2 “Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
Imagines-tu avoir raison, Penses-tu te justifier devant Dieu,
3 Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
Quand tu dis: Que me sert-il, Que me revient-il de ne pas pécher?
4 Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
C’est à toi que je vais répondre, Et à tes amis en même temps.
5 Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
Considère les cieux, et regarde! Vois les nuées, comme elles sont au-dessus de toi!
6 Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
Si tu pèches, quel tort lui causes-tu? Et quand tes péchés se multiplient, que lui fais-tu?
7 Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
Si tu es juste, que lui donnes-tu? Que reçoit-il de ta main?
8 Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
Ta méchanceté ne peut nuire qu’à ton semblable, Ta justice n’est utile qu’au fils de l’homme.
9 Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
On crie contre la multitude des oppresseurs, On se plaint de la violence d’un grand nombre;
10 Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
Mais nul ne dit: Où est Dieu, mon créateur, Qui inspire des chants d’allégresse pendant la nuit,
11 ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
Qui nous instruit plus que les bêtes de la terre, Et nous donne l’intelligence plus qu’aux oiseaux du ciel?
12 Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
On a beau crier alors, Dieu ne répond pas, A cause de l’orgueil des méchants.
13 Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
C’est en vain que l’on crie, Dieu n’écoute pas, Le Tout-Puissant n’y a point égard.
14 Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
Bien que tu dises que tu ne le vois pas, Ta cause est devant lui: attends-le!
15 Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
Mais, parce que sa colère ne sévit point encore, Ce n’est pas à dire qu’il ait peu souci du crime.
16 Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”
Ainsi Job ouvre vainement la bouche, Il multiplie les paroles sans intelligence.